Kampuni ya ElSewedy Electric Co inayotengeneza bwawa la umeme Rufiji imewekewa vikwazo, haitaweza kukopesheka nje

Kampuni ya ElSewedy Electric Co inayotengeneza bwawa la umeme Rufiji imewekewa vikwazo, haitaweza kukopesheka nje

Tuna Rais wa jabu sana haijapata kutokea" -Tundu Lissu. Haya ndiyo matokeo ya ukaidi wa wa Magufuli. Anajidai ana maono kumbe ZERO tupu kichwani. JKN mwenyewe aliyebuni huo mradi hakutekeleza, Marais waliomfuata watatu hawakutekeleza, yeye anaamua kwa akili zake ndogo kuingia kichwa kichwa.
Mwalimu alisema habari ya kuhamia dodoma akashindwa,huyu ameweza
yapo mengi yanayoonyesha jamaa amefanya kazi,ila tuendelee
kuvaa miwani ya mbao,atasifiwa na watoto wetu baada ya sisi kufa.
 
Mkataba ni kati yetu sisi na Elsewedy mkataba kati ya Elsewedy na wafadhili wake ambao mojawapo ni sweden sisi hautuhusu.
Ni wajibu wa Elsewedy kutafuta mfadhili mwingine ili wakamilishe mradi wetu tuwalipe chao.
Kama umewahi kujenga mradi wowote kwa kupitia kampuni utaelewa kuwa mkataba wa kampuni na wafadhili wake wewe haukuhusu.
Isitoshe mradi wa Stiglers unajengwa na kampuni mbili tanzu, iwapo Elsewedy watashindwa kupata mfadhili mradi utaendelea japo utachelewa kukamilika.
Naona wachangiaji wengi wamechangia kwa chuki kiasi cha kupofusha uwezo wao wa kupambanua mambo madogo kama haya.
Kufurahia kufeli kwa huu mradi ni upumbavu mkubwa kwasababu huu mradi sio JPM ni mradi wa Watanzania wote na vizazi vijavyo.

Hujui implications ya hiyo decision. Ni hivi, huyo mkandarasi hana namna zaidi ya kujitoa maana hatapata kazi nyingine mahali pengine. Na hakuna mkandarasi (unless awe anatokea China, Korea Kaskazini au Iran) atakaeitaka hiyo kazi kwa sababu hiyo hiyo. Na sababu nyingine ni kuwa sisi wenyewe tunategemea kukopa ili tuweze kukamilisha huo mradi, HAKUNA international financial institution yeyote itakayotoa mkopo ku-finance mradi ambao umekuwa blacklisted.

Huo mradi ndio umefikia mwisho wake.
 
Huu mradi utaenda mpaka mwisho hakuna namna , vikwazo ni sehemu ya maisha , hata utajiri hauji umenyooka ,maana hakuna fedha rahisi Munguatatubariki natutafika kwenye maisha mema na matamu.
 
Yaani watoto wetu waje kusifia kuhamia Dodoma. Kwani kuna faida gani kuhamia Dodoma?
Sisi tuliosoma kipindi cha siasa enzi za mwalimu,sababu za kuhamia dodoma
tulijifunza darasani japo hakuitekeleza sera yake.
Nikupe sababu mojawapo ni wale wa mikoa ya kagera,kigoma na geita
kwa sasa wanauwezo wa kufika makao makuu ya nchi na kutatua kero zao
kuliko ilivyokuwa zamani,ukiambiwa uende makao makuu ya wizara,tenga wiki na zaidi.
 
Nimesoma Wizara imetenga kwenye bajeti zaidi ya 60% kukamilisha huo ujenzi

Sioni mradi ukiathirikia


Ila Mabeberu yanaroho mbaya sana yanajifanya yanajali mazingira yetu wakati wao wameharibu mazingira kwa maviwanda yao oooo urithi wa Dunia! Mbona kwenye Nchi zao Hakuna maeneo ya urithi wa Dunia

Nashauri kampuni iende kwa Nchi rafiki
Mabeberu ni hatari Ndugu yangu....Na nchi hiyo rafiki isiwe China kwani hao ni wabaya kuliko mabeberu wanaofahamika...nchi za ulaya zinaendelea kwa sababu ya Afrika na America ya Kusini...imperialism at work...walianza na slave trade...wakaharibu na kuua raslimali watu in millions..wakaua teknolojia ya Afrika..ukaja ukoloni...nao ukawa ni hatari zaidi...resources zote kwenda ulaya...wakaua our dignity, utamaduni na kadhalika...wakaua hata self belief yetu...psychologically tunajiona hatuna akili wala uwezo kuliko wazungu..,ikaja neo-colonialism plus imperialism and globalization...
 
Huko Chato naona Betri inaweza kupiga shoti
Yaani ule mradi ambao ndio ilikuwa karata ya kampeni nao ndio huo Corona nayo inatafuna uchumi kila kukicha

Mbuga za wanyama hazina mtalii hata wa dawa

Mahoteli yamefungwa huku TRA bado wanagonga milango ili wapewe chao

Majirani wametususa na kutufungia mipaka

Wauguzi huko hospitali wanapukutika kwa ukosefu wa PPE

Halafu guess what!...order inatoka kwamba Mrema aende kuchukua mabulungutu ya fedha za walipakodi ili akafanye mkutano wa kumsifu Tausi
Inaelekea unafurahia kinachotokea kuhusu matatizo
 
Hii ni habari mbaya kwa siku nyengine baada ya Sweden kusitisha ku fund kampuni ya Egypt, ambayo ndio walikua constructor wa mradi huu.

ElSewedy Electric Co

The Council on Ethics recommends that Elsewedy Electric Co be excluded from investment by the fund due to an unacceptable risk that the company is contributing to or is itself responsible for serious environmental damage
Elsewedy Electric is an Egyptian electrical power company and one of two partners in a joint venture which builds a dam and a hydroelectric power plant on the Rufiji River at Stiegler’s Gorge in Tanzania.

The entire project is located inside the Selous Game Reserve, which has been included on UNESCO’s list of World Heritage Sites in Danger. The reserve is also one of the last remaining large-scale wilderness areas in Africa and considered of extraordinary importance for the preservation of biodiversity. The hydroelectric power plant will cause widespread and irreversible damage to the world heritage site’s outstanding universal values. Mitigating measures would have little impact on this outcome.

The Council on Ethics submitted its recommendation 2 July 2019. Norges Bank published its decision to exclude the company on 12 May 2020.


ElSewedy Electric Co - Council on Ethics
WATANZANIA tunasikitishwa sana na hii serikali ya kibabe na isiyofuata ushauri, infact siyo serikali ni UKAIDI WA MAGUFULI
 
Tunajenga miradi mikubwa kwa fedha za ndani ha ha, hizi kauli nazo tuziangalie sana huwezi jinasibu una hela then uende kwa mtu umwambie nikopeshe hela, mazingira jambo moja ila upande wa pili lazima kama nchi tuangalie kauli tuzitowazo eti donor country.
 
Kumbe haya makampuni hayana uwezo wa kifedha, yanategemea kukopa toka kwa mabeberu. Nilijiuliza sana hawa waarabu utaalamu wa kujenha haya majitu makubwa hivi na expertise ya hali ya juu wameutoa wpi? Kumbe ni ubia na wazungu.....Norwegians ambao wako juu sana katika oil and gas exploration ... ambayo inajumuisha na vitu kama dams etc etc!
Hoja yangu, why not go to Norway directly ukawapa tender ya kujenga mradi huo? I stand to be corrected! It seems to me, huyu Elsawedy ni middle man ?????
Kwa factor ya mazingira hakuna kampuni yoyote ya Wazungu wangekubali kujenga huo mradi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom