Kampuni ya Energizer imeanza kutengeneza Simu ya Smartphone Yenye Uwezo wa kukaa na Chaji kwa Muda wa usiopungua Siku 50 bila kucharge tena

Kampuni ya Energizer imeanza kutengeneza Simu ya Smartphone Yenye Uwezo wa kukaa na Chaji kwa Muda wa usiopungua Siku 50 bila kucharge tena

Simu kutokaa na chaji huwenda ikawani ni moja kati ya lalamiko kubwa kwa wamiliki walio wengi wa simu janja (smartphone).

Vipi ukipata simu ambayo inakaa na chaji kwa muda mrefu, huwenda ikawa ni furaha ya kudumu kwako.

Basi fahamu kuwa kampuni ya ''Energizer'' imekuja na aina mpya ya simu yenye uwezo wa kukaa na chaji kwa muda wa siku 50.

Simu hiyo inatajwa kuwa na betri yenye uwezo wa (18,000 mAh) huku betri yenye uwezo mkubwa kwa sasa kwenye simu za mkononi inatajwa kufikia 5000mAh.

mAh ndiyo kipimo cha uwezo wa betri ya simu, mAh ni kifupi cha ‘’milliampere-hour’’ ambayo inatumika kupima uwezo wa betri kwa muda fulani.

View attachment 2889977
Simu kilo 2 nani abebe, hiyo sio business
 
Simu kutokaa na chaji huwenda ikawani ni moja kati ya lalamiko kubwa kwa wamiliki walio wengi wa simu janja (smartphone).

Vipi ukipata simu ambayo inakaa na chaji kwa muda mrefu, huwenda ikawa ni furaha ya kudumu kwako.

Basi fahamu kuwa kampuni ya ''Energizer'' imekuja na aina mpya ya simu yenye uwezo wa kukaa na chaji kwa muda wa siku 50.

Simu hiyo inatajwa kuwa na betri yenye uwezo wa (18,000 mAh) huku betri yenye uwezo mkubwa kwa sasa kwenye simu za mkononi inatajwa kufikia 5000mAh.

mAh ndiyo kipimo cha uwezo wa betri ya simu, mAh ni kifupi cha ‘’milliampere-hour’’ ambayo inatumika kupima uwezo wa betri kwa muda fulani.

View attachment 2889977
Iliishia charge inachargiwa kwa muda gani? Usikute ndio unakaa siku 15 bila simu kisa iko charge 😂😂
By the way ni nzuri kwa watu wa adventures and tourists
 
Maendeleo ya Teknolojia

Huwa najiuliza Kuna Siku nasi Tanzania tunaweza kufikia uvumbuzi wa namna hiyo?

Maana gari tu la Masoud Kipanya (KP) Serikali ilishindwa kumsapoti.
Tatizo alianza kutengeneza bila kuangalia hitaji la soko .huaanzii tu kutengeneza soko kwanza lipo?Watu wangeona Ina soko wafanyabiasha binafsi wenye pesa wangejiunga naye huo mradi sio serikali .Au kama angependa kukomaa na anaamini hiyo gari yake itakuwa na soko angeenda kukopa Benki andeleze huo mradi wake
 
Tatizo alianza kutengeneza bila kuangalia hitaji la soko .huaanzii tu kutengeneza soko kwanza lipo?Watu wangeona Ina soko wafanyabiasha binafsi wenye pesa wangejiunga naye huo mradi sio serikali .Au kama angependa kukomaa na anaamini hiyo gari yake itakuwa na soko angeenda kukopa Benki andeleze huo mradi wake
Pamoja na hilo Mkuu ila jitihada za Serikali zingeonekana kwenye kumsapoti as Serikali ina tools zote za kumfanya jamaa ubunifu wake ujue.

Nakumbuka wakati tupo Sekondari, Kuna Dogo wa form II aliwahi kubuni helicopter akiwa kwenye kazi za workshop as Shule yetu ilikuwa ya mchepuo wa ufundi Kwa O'level

Lakini pamoja na ubunifu ule, Serikali haikuwahi kumsapoti Kwa chochote zaidi ya kumwambia hana license ya kufanya ule ubunifu 🙌

Kama hali ni hiyo, unadhani tutapata nafasi ya kutengeneza vyetu?
 
Back
Top Bottom