GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Je, Wazalendo wa Kweli wa Tanzania wakiongozwa nami GENTAMYCINE tukienda TRA kuona kama wanalipa Kodi tutajua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatoa sana Misaada ya Mamilioni ya Shilingi ila kila nikihoji Biashara zao na kama wanalipa Kodi najibiwa tofauti tofauti.Bwana Bwana!!
Ndugu hao ndio wenye Nchi, kama wamegawana Yanga ambayo hata wakati inaanzishwa Wazazi wao hawakuwepo ndio iwe hili?Wanatoa sana Misaada ya Mamilioni ya Shilingi ila kila nikihoji Biashara zao na kama wanalipa Kodi najibiwa tofauti tofauti.
Mtakutana na UBAYA UBWELAJe, Wazalendo wa Kweli wa Tanzania wakiongozwa nami GENTAMYCINE tukienda TRA kuona kama wanalipa Kodi tutajua?
Makampuni ya Wasomal ni wabahili jamani khaaa🙌🙌🙌 waarabu wapewe maua yaoKuna makampuni ya wazee ambao wanaona wakizipanga kwenye makabati mchwa watakula
Hao hawahongi sana ndio maana zinakuwa ngumuMakampuni ya Wasomal ni wabahili jamani khaaa🙌🙌🙌 waarabu wapewe maua yao
GSM ANA MILIKI KAMPUNI INAYO ITWA SERIKALI YA TANGANYIKA ...PESA ANACHOTA SERIKALI TUJe, Wazalendo wa Kweli wa Tanzania wakiongozwa nami GENTAMYCINE tukienda TRA kuona kama wanalipa Kodi tutajua?
Yaan hata sadaka wakitoa utacheka au tu ni hii kampuni jamani 😂😂😂😂 waarabu wakichinja wanachinja haswa ,hawa wetu yaan kama wamelazimishwaHao hawahongi sana ndio maana zinakuwa ngumu
Ila waarabu utashiba 😄
Sasa labda hao ni shares na sio mali ya familiaYaan hata sadaka wakitoa utacheka au tu ni hii kampuni jamani 😂😂😂😂 waarabu wakichinja wanachinja haswa ,hawa wetu yaan kama wamelazimishwa
Hapana kampuni yao kabisaSasa labda hao ni shares na sio mali ya familia
Ila kwa kweli kutoa ni moyo
Yaani uwezo wa kichinja ng'ombe ninao kwanini nichinje ka mbuzi?
Ila Waarabu wanatoa sana sio uongo na hata ukienda nchi zao kutembelea marafiki na jamaa, utapokelewa kwa ukarimu wa hali ya juu
Hilo nimeliona kwa macho na kila mwaka huwa napita nchi mojawapo