Kampuni ya kubet TZ (Pigabet) ni wezi wakubwa, nimekula mkeka mil. 6 online, haitoki eti kuna shida ya mtandao siku ya 10 leo

Kampuni ya kubet TZ (Pigabet) ni wezi wakubwa, nimekula mkeka mil. 6 online, haitoki eti kuna shida ya mtandao siku ya 10 leo

Wale wazee wa kubet, msitumie tena kampuni hii, ipo hivi;

Unaweka mkeka pesa inakubali. Ukila mkeka pesa haitoki. Wanakupa jibu wapo kwenye matengenezo. Ila kuweka pesa na kubeti wanapokea.

#Ukitaka kutoa wanakujibu huwezi kutoa, labda uende Dar kwenye ofisi ya michongo ambazo hazipo.

Wale wenzangu wa kubet, kampuni hii haifai ni wezi na government mliangalie hili. Kwa kuwa mmeamua kufanya hii nchi tutegemee kamali basi, kampuni hii iondoeni pia ni wezi wakubwa.

Wanataka uichezee iishe, kama hamtoi pesa mtu akishinda, kwanini mkubali mtu kuweka pesa online?

wazee wa kubet (wahanga wenzangu mie dada yenu), tafadhali kaeni mbali na hiyo kampuni, wanaibia wateja na ni wezi wakubwa.
 

Attachments

Kampuni ya Pigabet kwa sasa tunashughulikia suala la kutoa fedha kupitia mitandao ya simu.
Utoaji wa fedha bado unaendelea kwa wateja wetu kupitia mfumo wa fedha taslimu kwenye kasino zetu yaani Palm beach pia Legrande zilizoko Dar es salaam,tunaomba radhi kwa changamoto hii.
Utoaji wa fedha kwa njia ya mitandao utarudi hivi karibuni
Tafadhali usisite kuwasiliana nasi kwa namba +255 620 818181 ni furaha yetu kukuhudumia.
Mkuu, mbona namba uliyoweka hapa kwenye kampuni yetu ya PigaBet hatuifahamu japokuwa tunawapiga kweli kweli wa tz, ID yenyewe haina verification, hatari na nusu
 
Mimi nilibet betway sasa baada ya kuhisi mkeka unaenda kufa nikafanya cash out na ikakubali kabisa cha kushangaza mhamala haujaingia kwenye akaunti na mkeka wameuondoa kabisa haupo kwenye list ya open bets, settled bets wala transactions history nikawacheki wakaniambia notume namba ya simu nikawatumia baadae wakanirudishia notification ya mkeka ambao nilicash out siku nyingi tu na hakuna mhamala wowote ulioongezeka nikawacheki tena nikawaambia sio mkeka huo wakaniambia nitume namba ya mkeka nikawaambia mkeka wameuondoa kabisa haupo kabisa sasa iyo namba ya mkeka nitaijuaje nifanye kazi ya kukalili namba ya mikeka kila ninapobet? Wakaniambia nitume screenshot ya transaction history nikawatumia wakasema nisubiri ikapita siku nzima nikawacheki tena vipi wakaniambia niendelee kusubiri ndo mpaka leo hii hawajanipa pesa yangu
Pole sana mkuu, sisi ni wapigaji kama lilivyo jina letu! Siku nyingine muwege mnaacha ujinga[emoji23][emoji23][emoji23]

Eti turudishe pesa, halafu sisi ka pesa kenu ka kunywea tukatoe wapi! Emu fanyeni kubet sisi tupate pesa ya kujitupia kasino na warembo wakali[emoji41]
 
Waambie una mpango wa kupeleka hili suala mahakamani.
Tafuta hata wakili awapigie simu.

Wakiendelea, nenda mahakamani, wanaweza kutoa zaidi ya hiyo.
 
Wale wazee wa kubet, msitumie tena kampuni hii, ipo hivi;

Unaweka mkeka pesa inakubali. Ukila mkeka pesa haitoki. Wanakupa jibu wapo kwenye matengenezo. Ila kuweka pesa na kubeti wanapokea.

#Ukitaka kutoa wanakujibu huwezi kutoa, labda uende Dar kwenye ofisi ya michongo ambazo hazipo.

Wale wenzangu wa kubet, kampuni hii haifai ni wezi na government mliangalie hili. Kwa kuwa mmeamua kufanya hii nchi tutegemee kamali basi, kampuni hii iondoeni pia ni wezi wakubwa.

Wanataka uichezee iishe, kama hamtoi pesa mtu akishinda, kwanini mkubali mtu kuweka pesa online?

wazee wa kubet (wahanga wenzangu mie dada yenu), tafadhali kaeni mbali na hiyo kampuni, wanaibia wateja na ni wezi wakubwa.
Jina lenyewe tuu limekaa kiwizi. Kuna kampuni za kubeti zenye reputation nzuri tuu umeziacha ukafuata Piga beti ukapigwe!
 
Kama una evidence za kutosha wafungulie kesi mkuu. Kuna Father mmoja kitaa alishakutana na hii kwenye kampuni flan aliwapiga KO mahakamani akalipwa 100m+.
 
Kampuni ya Pigabet kwa sasa tunashughulikia suala la kutoa fedha kupitia mitandao ya simu.
Utoaji wa fedha bado unaendelea kwa wateja wetu kupitia mfumo wa fedha taslimu kwenye kasino zetu yaani Palm beach pia Legrande zilizoko Dar es salaam,tunaomba radhi kwa changamoto hii.
Utoaji wa fedha kwa njia ya mitandao utarudi hivi karibuni
Tafadhali usisite kuwasiliana nasi kwa namba +255 620 818181 ni furaha yetu kukuhudumia.
Kwann msizuie pia kudeposit?
 
Ndugu wateja
TTungependa kuomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza katika upande mfumo wa utoaji wa fedha(miamala) kupitia njia ya mtandao uliojitokeza kwa wiki kadhaa. (tigo,voda,airtel,halotel).

Tunapenda kuwafahamisha kuwa changamoto hio imefanikiwa kutatulika na huduma imerejea vyema kama awali.

Pigabet inawahakikishia wateja wetu wote kuwa fedha zao zipo salama ndani ya waleti zao za Pigabet hivyo basi kwasasa wataweza kutoa pesa muda wowote masaa 24 kupitia mtandao husika

Asante!


PigaBet Management
 
Ndugu wateja
TTungependa kuomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza katika upande mfumo wa utoaji wa fedha(miamala) kupitia njia ya mtandao uliojitokeza kwa wiki kadhaa. (tigo,voda,airtel,halotel).

Tunapenda kuwafahamisha kuwa changamoto hio imefanikiwa kutatulika na huduma imerejea vyema kama awali.

Pigabet inawahakikishia wateja wetu wote kuwa fedha zao zipo salama ndani ya waleti zao za Pigabet hivyo basi kwasasa wataweza kutoa pesa muda wowote masaa 24 kupitia mtandao husika

Asante!


PigaBet Management
Jackpot yenu huwa mnatoa bonus kuanzia game ngapi?
 
Mimi nilibet betway sasa baada ya kuhisi mkeka unaenda kufa nikafanya cash out na ikakubali kabisa cha kushangaza mhamala haujaingia kwenye akaunti na mkeka wameuondoa kabisa haupo kwenye list ya open bets, settled bets wala transactions history nikawacheki wakaniambia notume namba ya simu nikawatumia baadae wakanirudishia notification ya mkeka ambao nilicash out siku nyingi tu na hakuna mhamala wowote ulioongezeka nikawacheki tena nikawaambia sio mkeka huo wakaniambia nitume namba ya mkeka nikawaambia mkeka wameuondoa kabisa haupo kabisa sasa iyo namba ya mkeka nitaijuaje nifanye kazi ya kukalili namba ya mikeka kila ninapobet? Wakaniambia nitume screenshot ya transaction history nikawatumia wakasema nisubiri ikapita siku nzima nikawacheki tena vipi wakaniambia niendelee kusubiri ndo mpaka leo hii hawajanipa pesa yangu
hakuna wezi kama hawa
Mimi niliweka 80,000 nikabeti mikeka mingine ikachanika mingine ikashinda, mpaka usiku nikwa na 120,000 Sasa nikasema nipunguze hapo hata 30,000 TU alafu nyingine niache. chakushangaza pesa haitoki, nikawatafuta kwenye chat live wakaniambia wanashughulikia nikawatafuta kwenye Instagram bado sound ni zile zile . siku moja wakaniambia niongeze (deposit) kiasi chochote alafu ni kibetia ndipo hiyo pesa itatoka lakini wapi, mwingine akaniambia mara nitume tarifa zangu binafsi za miamala ya mpesa nikatuma pamoja na kitambulisho lakini wapi. nikawa nawauliza Sasa mbona wakati na_deposit hamkuniuliza kuhusu vitambulisho Sasa hivi ndio mnauliza? majibu eti ni utaribu wa betway.
 
Hakuna kampuni ya kubeti wezi)majambazi wa waziwazi kama hawa betway. ni Bora mtu ukatumia kampuni waaminidu kama sportpesa ambao pesa yako unaipata chapu
 
Hakuna kampuni ya kubeti wezi)majambazi wa waziwazi kama hawa betway. ni Bora mtu ukatumia kampuni waaminidu kama sportpesa ambao pesa yako unaipata chapu
Betway Wana Nigeria matapeli
 
Back
Top Bottom