Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
TRAB AND TRAT kaziniNdugu zangu naomba nitoea pongezi kwa kampuni ya mabasi Ester Express kwa kusikia kilio cha wasafiri hapa nchini.
Kampuni hii imeingiza mabasi mapya ili kurahisisha usafiri hasa mikoani. Hongereni sana.
View attachment 2568697
wewe ndo mmiliki, kama siyo umejuajeNdugu zangu naomba nitoea pongezi kwa kampuni ya mabasi Ester Express kwa kusikia kilio cha wasafiri hapa nchini.
Kampuni hii imeingiza mabasi mapya ili kurahisisha usafiri hasa mikoani. Hongereni sana.
View attachment 2568697
Habari za Matajiri waulize masikini.wewe ndo mmiliki, kama siyo umejuaje
Kwani mmiliki si anajulikana?wewe ndo mmiliki, kama siyo umejuaje
Huoni sgr inavyosuasua mkuuHii biashara yaonekana ni nzuri SGR ijipange haswaaa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ukiongea na wamiliki wa mabasi wanakwambia ni biashara pasua kichwa. Hata akikupigia mahesabu kwenye karatasi mkiwa wote utakubaliana na hoja yake.Hii biashara yaonekana ni nzuri SGR ijipange haswaaa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app