Kampuni ya New Habari yasitisha uchapishaji wa Magazeti yake kufuatia mwenendo mbaya wa biashara

Kampuni ya New Habari yasitisha uchapishaji wa Magazeti yake kufuatia mwenendo mbaya wa biashara

Siko duniani kwa ajili ya Kupata Madaraka au Uteuzi na sipendi Ukubwa. Nimeumbwa na Kupewa Tunu na Maulana / Mola ya Kuwashauri tu Watu.
Kwani hao wanaoteuliwa wako duniani kwa AJILI YA KUTEULIWA?!!

Kwa hiyo ukiteuliwa ili tufaidike nawe sisi wananchi kwa kutuonyesha kipaji chako Cha uongozi na akili UTAKATAA?!!
 
True hiki kizazi cha social network kimeua kabisa soko la magazeti

Makampuni yote ya habari yanapaswa kuja na mabadiliko na kuwekeza nguvu kubwa zaidi katika Platform za mitandao ya kijamii otherwise wataendelea kuangukia pua tu
Huyu social network mnamsingizia tu, kwenye nchi zenye demokrasia una subscribe online newspaper na unalipia miezi sita mbele.
 
Online media imeua sana print media. Huu ni ukweli usioepukika. Duniani kote the situation is the same. Huwezi kuilaumu serikali katika hili, kama una akili timamu of course.
Serikali inalaumiwa kwa kuzuia zabuni za matangazo yao kwenda sekta binafsi.
Wanataka serikali itoe zabuni kwa taasisi za habari zinazo milikiwa na umma.
 
Huyu social network mnamsingizia tu, kwenye nchi zenye demokrasia una subscribe online newspaper na unalipia miezi sita mbele.
Mkuu hivi bado unaishi Tanga?!!!

Ninasikia HUKO Sasa biashara HARAMU ya madawa ya kulevya imepunguzwa Sana na utawala adhimu wa mh.JPM,je ni kweli?!!
 
Huyu social network mnamsingizia tu, kwenye nchi zenye demokrasia una subscribe online newspaper na unalipia miezi sita mbele.
Sasa madame nchi zilizo endelea unazifananisha na mambo ya kijinga zitake radhi tafadhali [emoji38]

Hizi nchi zetu tangu tupate Uhuru Huduma muhimu tu bado haba hazipatikani katika jamii mtaa ninao ishi huu sasa Ni mwezi wa 4 maji hayatoki
 
Mitano tena oyeee

hahhaa ushaambiwa biashara imekua ngumu we ushaaanza siasa! vijana mnakwama wap, mbna nokia ilikufa, dunia inabadilika na pesa znakuondoka kila sku we endelea kungangania hicho kiyoyozi apo gorofani
 
Sasa madame nchi zilizo endelea unazifananisha na mambo ya kijinga zitake radhi tafadhali [emoji38]

Hizi nchi zetu tangu tupate Uhuru Huduma muhimu tu bado haba hazipatikani katika jamii mtaa ninao ishi huu sasa Ni mwezi wa 4 maji hayatoki

sasa cha kushangaza nn apo, kodi unalipa 18% unasubiria 18% ijenge nchi nzima? yawezekana hata kodi hulipi, mfano states wanalipa mpaka 60% ya mshahara wao
 
Sasa madame nchi zilizo endelea unazifananisha na mambo ya kijinga zitake radhi tafadhali [emoji38]

Hizi nchi zetu tangu tupate Uhuru Huduma muhimu tu bado haba hazipatikani katika jamii mtaa ninao ishi huu sasa Ni mwezi wa 4 maji hayatoki
 

Attachments

  • 1607072552965.png
    1607072552965.png
    111.3 KB · Views: 2
Kama 99.9% ya Media zote za Tanzania zimewekwa Mfukoni mwa Mtu Mmoja na zikimkatalia wananyimwa Matangazo unadhani watajiendeshaje?
Mtanzania siku za karibuni walishaanza kuandika habari za kuibeba serikali na CCM, kama wamefikia hapa maana yake hali ya kiuchumi kwa mtanzania ni mbaya, serikali hii yenye mambo mengi peke yake haiwezi kuwabeba wote.
 
sasa cha kushangaza nn apo, kodi unalipa 18% unasubiria 18% ijenge nchi nzima? yawezekana hata kodi hulipi, mfano states wanalipa mpaka 60% ya mshahara wao
Kodi silipi ninaishi vipi sasa ilhali ikiwa serikali imeshajiwekea mfumo was kukata Kodi kwa wananchi kwa kila mahitaji ambayo mwananchi huyo atakayo kuwa anajipatia..mfano hata nikinunua kiberiti cha tsh100 dukani au vocha ya 500 tu serikali tayari inakuwa imesha jikatia makato yake ya Kodi so how comes unasema kwamba Kodi silipi !??
 
Back
Top Bottom