Kampuni ya New Habari yasitisha uchapishaji wa Magazeti yake kufuatia mwenendo mbaya wa biashara

Kampuni ya New Habari yasitisha uchapishaji wa Magazeti yake kufuatia mwenendo mbaya wa biashara

True hiki kizazi cha social network kimeua kabisa soko la magazeti

Makampuni yote ya habari yanapaswa kuja na mabadiliko na kuwekeza nguvu kubwa zaidi katika Platform za mitandao ya kijamii otherwise wataendelea kuangukia pua tu
Mitandao sio Sababu tatizo habari wanazoandika zakijinga ndio maana watu wenye akili hawanunui magazeti

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Kampuni ya New Habari imetangaza kusitisha utoaji wa magazeti yake kuanzia Jumatatu ijayo kutokana na mwenendo mbaya wa biashara.

========

NEW HABARI YASITISHA UZALISHAJI MAGAZETI

KAMPUNI ya New Habari 2006 LTD inayozalisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa na Dimba imetangaza kusitisha uzalishaji wa magazeti yote kutokana na mwenendo mbaya wa biashara.

Akizungumza na wafanyakazi wa kampuni hiyo Mhariri Mtendaji, Dennis Msacky amesema uzalishaji wa magazeti hayo utasitishwa kuanzia Jumatatu wiki ijayo.
Uchumi wa kati unakula vichwa dadeki!
 
Mkuu hapa unaleta siasa. Issue hapa ni teknolojia na mabadiliko ya kizazi. Unasema nchi zenye demokrasia una subscribe online, maana yake unakiri kuwa print media 'haipo tena'. Social medias zimetatua changamoto kubwa tatu za print media i.e uharaka wa kupata habari, uchujaji na gharama. Pili Tanzania sasa median age ni miaka 18. Maana yake wengi wamezaliwa >2000, hawa ni generation Z. Kizazi cha social medias.

Fursa waliyonayo Print Media ni kujibu changamoto za social medias i.e fake news, uchambuzi wa kina, documentaries na story balancing. Ni mwehu tu, ndiye atanunua gazeti saa 2 asubuhi wakati anasoma headline kwenye front page, habari zake zote anazifahamu siku moja kabla. Print media has to supplement social medias.
Uchambuzi usio bias habari za uchunguzi umewahi kuzipata wapi tangu jiwe awe mamlakani... imefikia hatua mpaka Warioba alilalamika kwamba media za sasa tofauti na zamani za sasa zinaandika watawala badala ya zamani zilikuwa zinaibuka kero...sasa ndugu yangu mtu mwenye akili timamu utanunua gazeti linalo report kujipendekeza !!

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Mitandao sio Sababu tatizo habari wanazoandika zakijinga ndio maana watu wenye akili hawanunui magazeti

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Mitandao imechangia kwa kiasi kikubwa mkuu take it or leave it ila huo ndio uhalisia ... Kwa mfano Mimi sasa hivi hata TV sitazami cuz habari zote nazipata online Twitter na hapa jf ... Imagine taarifa ambayo unaipata Leo jioni ndio unayo ipata kesho asubuhi katika magazeti ...so hauoni kwamba wanaosoma magazeti wanakuwa wapo outdated
 
The issue here is the contents of newspapers, are they persuading buyres to buy? If the contents base on prising chama dola, I’m not surprised the business is going down.
Let's be realistic. Magazeti ni biashara ya kuuza habari, sasa kama mteja tayari anazijua hizo habari, kuna sababu gani ya yeye kununua? Unless kama unauza hadithi na sio habari. Hata western countries ambazo uhuru wa habari ni mkubwa, print media sasa hivi imeathirika sana.
 
Bado wale jamaa wa Tabata Relini, na vile nikutoka kwa macho mekundu, ndo basi kabisa,anawalia timing tu
WALE HAWAWEZI KUFA KURAHISI KWASABABU NDIO WANAOFANYA VIZURI ZAIDI SOKONI KWASASA, NA SIRI KUBWA NI KUTOKUKUBALI TU KUMSIFIA JAMAA FLANI KAMA WENZIE. WALE BADO WANABALANCE HABARI ZAO.
 
Tumejipanga mwaka huu wataisoma!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kampuni ya New Habari imetangaza kusitisha utoaji wa magazeti yake kuanzia Jumatatu ijayo kutokana na mwenendo mbaya wa biashara.

========

NEW HABARI YASITISHA UZALISHAJI MAGAZETI

KAMPUNI ya New Habari 2006 LTD inayozalisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa na Dimba imetangaza kusitisha uzalishaji wa magazeti yote kutokana na mwenendo mbaya wa biashara.

Akizungumza na wafanyakazi wa kampuni hiyo Mhariri Mtendaji, Dennis Msacky amesema uzalishaji wa magazeti hayo utasitishwa kuanzia Jumatatu wiki ijayo.

Rarely I buy newspapers these days.
 
Kampuni ya New Habari imetangaza kusitisha utoaji wa magazeti yake kuanzia Jumatatu ijayo kutokana na mwenendo mbaya wa biashara.

========

NEW HABARI YASITISHA UZALISHAJI MAGAZETI

KAMPUNI ya New Habari 2006 LTD inayozalisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa na Dimba imetangaza kusitisha uzalishaji wa magazeti yote kutokana na mwenendo mbaya wa biashara.

Akizungumza na wafanyakazi wa kampuni hiyo Mhariri Mtendaji, Dennis Msacky amesema uzalishaji wa magazeti hayo utasitishwa kuanzia Jumatatu wiki ijayo.
Bado happajauma...
 
Huyu social network mnamsingizia tu, kwenye nchi zenye demokrasia una subscribe online newspaper na unalipia miezi sita mbele.
Sasa mbona hawa wa huku hawajiongezi?

Nina miaka zaidi ya 6 sijawahi kununua gazeti.

Kila kitu napata kwenye smart phone
 
Kwenye zama hizi unapaswa kuwa mwendawazimu ili ununue gazeti!
Naomba viendelee kufa na vyombo vingine kwani vyenyewe pamoja na wanahabari wake wamekuwa Wana viombea kifu Kila kukicha na pia kwa usaidizi wa wale wasiopenda habari,kwangu Mimi ni jambo la faraja kwani vyote vilishaooteza maana
 
sasa jiulize sababu nini? unazalisha magazeti unauza kidogo na kodi kubwa sijui kama utakubali hata wewe unaweza kukimbia na huyo dangote akimbie tu bila ya sababu maalumu?
wa magazeti afunge tu coz hata masoko sio kama zamani sababu ya uwepo wa mitandao

Lakni suala la dangote sielewi sababu ta harakahraka ni nini mkuu🤔
 
Gazeti la nchi gani hili mkuu🤔??

Kama ni tz nini chanzo? Je nini hatima ta mambo haya? Jana Dangote manusura afunge kakiwanda kake ka visiment leo hiki kikampuni☺😐?

Any way mwisho wa siku tutaona nani winner kati ya wanaoiombea shari serikali na sisi wazalendo.

#jr (uvccm - taifa)
Hahah kakampuni kavisiment
 
Back
Top Bottom