Magema Jr
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 1,299
- 1,197
🤓Hahah kakampuni kavisiment
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤓Hahah kakampuni kavisiment
Hahaha naona wamejipima wameona hakuna namna zaidi ya kusitisha uzalishaji tu.Wao kila siku habari zao za kumsifia jiwe sasa nani atanunua gazeti
Eti mtu kwaakili zake timamu kabisa anapinga kwamba hizi social media hazijaua soko la magazeti ... Wakati huo huo akiwa na tangazo lake la biashara ana kwenda kupost insta au Twitter ...what a skunk !?[emoji16]Duh bora nilijitoaga mapema kwenye kazi za uandishi, moja ya gazeti lao niliandika makala yangu ya kwanza ilikuwa ikihusiana na ukuaji wa teknolojia utakavyoathiri biashara ya magazeti,
Kweli muda umeenda na mambo yamedhihiirika.
Maisha ya sahivi ni kwenda na gap tu hamna namna
Kila mtu ana uelewa wake ndo mana wakaweka mitihaniEti mtu kwaakili zake timamu kabisa anapinga kwamba hizi social media hazijaua soko la magazeti ... Wakati huo huo akiwa na tangazo lake la biashara ana kwenda kupost insta au Twitter ...what a skunk !?[emoji16]
KwakweliKila mtu ana uelewa wake ndo mana wakaweka mitihani
Hii picture nilikuwa sijaitazama [emoji38]Jombaa nilikuwa namaanisha huyu jamaa,yaani hakuna atakaenunua gazeti kwenye enzi hizi za kumsifia mtu mmoja
Unamtetea Jiwe siyoTeknolojia imekua sana, magazeti hayauziki kama zamani.
Si kweli kwamba duniani kote magazeti hayauziki.Online media imeua sana print media. Huu ni ukweli usioepukika. Duniani kote the situation is the same. Huwezi kuilaumu serikali katika hili, kama una akili timamu of course.