Kampuni ya New Habari yasitisha uchapishaji wa Magazeti yake kufuatia mwenendo mbaya wa biashara

Kampuni ya New Habari yasitisha uchapishaji wa Magazeti yake kufuatia mwenendo mbaya wa biashara

Si kweli kwamba duniani kote magazeti hayauziki.
USA Today, The Wall Street Journal, The Yomiuris(Yomiuri Shimbun & Asahi Shimbun), Argumenty i Fakty, yanauzika sana tu.
Hayauzi kama miaka ya 90s. Huo ndiyo ukweli
 
Hayo ndio madhara ya kuandika mapambio! Mnaumia kiuchumi mnaendelea kusifia tu, mnaambulia hasara bado mnaendelea ksifia tu , haya pambaneni na hali zenu!
 
Kwenye zama hizi unapaswa kuwa mwendawazimu ili ununue gazeti!
Juzi nilikutana na muuza magazeti anataka kupigana mtu, anamdau 200.

Anasema unataka kunidhulumu 200 wakati siku hizi kuuza gazeti moja tu umefanya kazi kweli kweli.

Kuuza magazeti siku hizi imekuwa kama kuuza Jeans👖 Longido kwa wamasai
 
Kama 99.9% ya Media zote za Tanzania zimewekwa Mfukoni mwa Mtu Mmoja na zikimkatalia wananyimwa Matangazo unadhani watajiendeshaje?
Kibaya zaidi hata wakimkubalia habari wanaoandika hazina mvuto kwa walaji. Najiuliza hao tunaambiwa million 12+ wamempa kura, wanakosekana hata watu milioni 3 kila siku wakununua habari za kusifia? Nilivyoona approach za huyu mheshimiwa kwenye uchumi nilijua tutarudi enzi za Nyerere. Ogopa sana mtu yuko karne ya 21, anatekeleza ndoto za Nyerere za karne ya 20.

Sasa vyombo vyote vya habari kuanzia magazeti, TV station na redio vimepoteza mvuto, maana wananchi wameshamka lakini viongozi wanatumia shuruti kulazimisha kulisha watu outdated propaganda. kiongozi analogue anaongoza wananchi digital.
 
Kampuni ya New Habari imetangaza kusitisha utoaji wa magazeti yake kuanzia Jumatatu ijayo kutokana na mwenendo mbaya wa biashara.

========

NEW HABARI YASITISHA UZALISHAJI MAGAZETI

KAMPUNI ya New Habari 2006 LTD inayozalisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa na Dimba imetangaza kusitisha uzalishaji wa magazeti yote kutokana na mwenendo mbaya wa biashara.

Akizungumza na wafanyakazi wa kampuni hiyo Mhariri Mtendaji, Dennis Msacky amesema uzalishaji wa magazeti hayo utasitishwa kuanzia Jumatatu wiki ijayo.
5 tena
 
hivi Musiba na tanzanite yake mbona hawafungi
Hao wanapewa ruzuku na Jiwe.

Ndio maana magazeti yao yamejaa kwenye meza: Magazeti Kama TAZAMA, TANZANITE, JIJI, JAMVI LA HABARI, UHURU, MZALENDO.

Nchi hii hakuna pesa za kufanyiwa mambo ya maana tu.

Kwenye mambo ya Kipuuzi sana pesa zinachotwa tu.
 
Let's be realistic. Magazeti ni biashara ya kuuza habari, sasa kama mteja tayari anazijua hizo habari, kuna sababu gani ya yeye kununua? Unless kama unauza hadithi na sio habari. Hata western countries ambazo uhuru wa habari ni mkubwa, print media sasa hivi imeathirika sana.
Unalijua the daily mail la uingereza?nakala 600000 per day na kule kuna mitandao,nenda usa magazeti yanauza sana
 
Maumivu ya kichwa huanza taaaratibu,hii ndiyo chungu ya mitano tena
 
Kampuni ya New Habari imetangaza kusitisha utoaji wa magazeti yake kuanzia Jumatatu ijayo kutokana na mwenendo mbaya wa biashara.

========

NEW HABARI YASITISHA UZALISHAJI MAGAZETI

KAMPUNI ya New Habari 2006 LTD inayozalisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa na Dimba imetangaza kusitisha uzalishaji wa magazeti yote kutokana na mwenendo mbaya wa biashara.

Akizungumza na wafanyakazi wa kampuni hiyo Mhariri Mtendaji, Dennis Msacky amesema uzalishaji wa magazeti hayo utasitishwa kuanzia Jumatatu wiki ijayo.
Nilipiga kura yangu nilitarajia kura yangu ingeweza kumuondoa huyu anayetuaribia uchumi wetu, lakini wameiiba.
Nikajiandaa kuandamana kuidai kura yangu kwa amani, wakanizuia nisisubutu.

Huenda wanafikiria nimekata tamaa....la asha. Kura yangu haiwezi najisiwa easy such a way.

Ni mapambano ya jeshi la mtu mmoja kimya kimya.

Rudisheni kura yangu sehemu nilikoikusudia.
 
Kampuni ya New Habari imetangaza kusitisha utoaji wa magazeti yake kuanzia Jumatatu ijayo kutokana na mwenendo mbaya wa biashara.

========

NEW HABARI YASITISHA UZALISHAJI MAGAZETI

KAMPUNI ya New Habari 2006 LTD inayozalisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa na Dimba imetangaza kusitisha uzalishaji wa magazeti yote kutokana na mwenendo mbaya wa biashara.

Akizungumza na wafanyakazi wa kampuni hiyo Mhariri Mtendaji, Dennis Msacky amesema uzalishaji wa magazeti hayo utasitishwa kuanzia Jumatatu wiki ijayo.
The private business sector is at moribund stage.The media sector is in trouble. Democracy is at stake. The constitution no longer matters. The lawyers and judges are dumb and mum. The judicial system is trusted no more. What is next?
 
Mitandao imechangia kwa kiasi kikubwa mkuu take it or leave it ila huo ndio uhalisia ... Kwa mfano Mimi sasa hivi hata TV sitazami cuz habari zote nazipata online Twitter na hapa jf ... Imagine taarifa ambayo unaipata Leo jioni ndio unayo ipata kesho asubuhi katika magazeti ...so hauoni kwamba wanaosoma magazeti wanakuwa wapo outdated
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kuangalia TV inayorusha. uchambuzi unaosema uchumi umekua halafu kwenye TOPIC hiyo uunamualika mtu kama polepole ambae Kula kwake ni hisani ya Mwenyekiti

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
True hiki kizazi cha social network kimeua kabisa soko la magazeti

Makampuni yote ya habari yanapaswa kuja na mabadiliko na kuwekeza nguvu kubwa zaidi katika Platform za mitandao ya kijamii otherwise wataendelea kuangukia pua tu
Mbona magazeti ya Uhuru, Habari leo, na Daily News yanapeta licha ya kuwepo mitandao ya kijamii. Swali: "In which different business environment are these papers operating"?
 
Nilipiga kura yangu nilitarajia kura yangu ingeweza kumuondoa huyu anayetuaribia uchumi wetu, lakini wameiiba.
Nikajiandaa kuandamana kuidai kura yangu kwa amani, wakanizuia nisisubutu.

Huenda wanafikiria nimekata tamaa....la asha. Kura yangu haiwezi najisiwa easy such a way.

Ni mapambano ya jeshi la mtu mmoja kimya kimya.

Rudisheni kura yangu sehemu nilikoikusudia.
Acha ncheke wee! Duniani kuna mambo. By Bichuka.
 
Back
Top Bottom