hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
[emoji16]soon nitakupa radhi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Niwache......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16]soon nitakupa radhi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Niwache......
[emoji16]soon nitakupa radhi
[emoji16][emoji16][emoji16]nyau weeNitapokea na kuitupilia mbali[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16]nyau wee
Na usije kula kwetu[emoji41][emoji33][emoji33][emoji33]Mwenyewe hukooooo
Na usije kula kwetu[emoji41]
[emoji16][emoji16][emoji16] sawaKwanza hampiki vizuri, sikuji ng'o
Huku tunapoelekea makampuni mengi ya habari yatafunga maana wananchi wanachoka kusoma habari zenye mlengo mmoja, yani za kuisifu serikali tu, hakuna uadilifu katika uandishi, ni bias tupu, sasa nani anunua gazeti, mwisho wa siku wanapata hasara, litabaki gazeti la serikali na la CCM tuKampuni ya New Habari imetangaza kusitisha utoaji wa magazeti yake kuanzia Jumatatu ijayo kutokana na mwenendo mbaya wa biashara.
========
NEW HABARI YASITISHA UZALISHAJI MAGAZETI
KAMPUNI ya New Habari 2006 LTD inayozalisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa na Dimba imetangaza kusitisha uzalishaji wa magazeti yote kutokana na mwenendo mbaya wa biashara.
Akizungumza na wafanyakazi wa kampuni hiyo Mhariri Mtendaji, Dennis Msacky amesema uzalishaji wa magazeti hayo utasitishwa kuanzia Jumatatu wiki ijayo.
Sasa kama magazeti yote ya serikali na binafsi yanafanana kwa vichwa vya habari unadhani nani atanunua zaidi ya gazeti moja kwa siku!!Kampuni ya New Habari imetangaza kusitisha utoaji wa magazeti yake kuanzia Jumatatu ijayo kutokana na mwenendo mbaya wa biashara.
========
NEW HABARI YASITISHA UZALISHAJI MAGAZETI
KAMPUNI ya New Habari 2006 LTD inayozalisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa na Dimba imetangaza kusitisha uzalishaji wa magazeti yote kutokana na mwenendo mbaya wa biashara.
Akizungumza na wafanyakazi wa kampuni hiyo Mhariri Mtendaji, Dennis Msacky amesema uzalishaji wa magazeti hayo utasitishwa kuanzia Jumatatu wiki ijayo.
Uko sahihi kabisaTumehamia Digital, na wao wabadilike
Hili la social network nadhani tuliangalie upya, mimi binafsi nakataa maana hiyo mitandao imekuja zamani sana kwa wenzetu, lakini mpaka kesho wenzetu bado wanasoma magazeti,True hiki kizazi cha social network kimeua kabisa soko la magazeti
Makampuni yote ya habari yanapaswa kuja na mabadiliko na kuwekeza nguvu kubwa zaidi katika Platform za mitandao ya kijamii otherwise wataendelea kuangukia pua tu
Nchi zilizoendelea hawasomi magazeti?Online media imeua sana print media. Huu ni ukweli usioepukika. Duniani kote the situation is the same. Huwezi kuilaumu serikali katika hili, kama una akili timamu of course.