Kampuni ya New Habari yasitisha uchapishaji wa Magazeti yake kufuatia mwenendo mbaya wa biashara

Kampuni ya New Habari yasitisha uchapishaji wa Magazeti yake kufuatia mwenendo mbaya wa biashara

Online media imeua sana print media. Huu ni ukweli usioepukika. Duniani kote the situation is the same. Huwezi kuilaumu serikali katika hili, kama una akili timamu of course.
Sio kweli, magazeti makomgwe kama new york times, washington post, the guardian nk yapo strong sababu yanaandika habari za kusomeka kwa uhuru na yanafanya tafiti na kuandika habari za uchunguzi.
Hapa kwetu magazeti aina hiyo yalishafungiwa na kubaki tu na yale yanayosifia wasio na sifa
 
Uchumi wa kati katika ubora wake. Fanya kumi kabisa ITAPENDEZA!
FB_IMG_1578677028602.jpg
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Online media imeua sana print media. Huu ni ukweli usioepukika. Duniani kote the situation is the same. Huwezi kuilaumu serikali katika hili, kama una akili timamu of course.
Hata online media Kama wanaandika habari za kusifu na kuabudu chama Fulani wataangukia pua tu.
Remember hakuna mtu anayenunua gazeti ili asome habari za kusifu na kuabudu upande mmoja
 
Hayo ndo matokeo ya kuacha taaluma zenu na kugeuka praise Timu ya watawala.waambieni wawape ruzuku Sasa!!
 
Hii kampuni wahariri na proof readers wake ni wa hovyo, huwa kuna makosa mengi ya lugha kwenye magazeti yao, sio ajabu mauzo yao kushuka na kushindwa kupata faida.

Vv
 
Mtizamo wa wenzetu waandishi wa habari wanavyo ripoti habari kwa kina na kutoa picha halisi kubwa ya sababu ya tukio: ripoti ipo clear, organized, persuasive and of unique value

04 November 2020
Instabul , Turkey

5-star hotel in Tanzania turned into students’ hostel​

Tourist paradise has been mired in financial doldrums triggered by coronavirus outbreak​

Kizito Makoye |03.12.2020

DAR ES SALAAM, Tanzania
Tanzania’s hospitality paradise, the Ngurdoto Mountain Lodge, which used to draw many international visitors to the country’s northern tourist circuit of, Arusha, has been converted into a students’ dormitory on a lease agreement as the gloomy business climate drove the property to the brink of financial ruin.

The novel coronavirus outbreak was the final straw for the battered hotel industry, which suffered losses due to travel restrictions to curb the disease.
As the virus spread, the country’s hospitality industry suffered as corporate and business travelers, who account for the bulk of hotel revenues, cut back on travel spending.

The Ngurdoto Mountain Lodge, renowned for hosting the 2008 Leon H. Sullivan Summit, was forced to shut down due to poor business as a result of the outbreak.

Eliamani Sedoyeka, the principal of the Arusha Institute of Accountancy, confirmed that the college has leased the hotel.

According to Sedoyeka, the move to lease the hotel was prompted by a surge of new students who have been admitted this year.

“We were overwhelmed by new requests for admission. That’s why we decided to find a new accommodation,” he said.
The landmark company that manages the hotel confirmed the agreement, adding that each student would pay 400,000 Tanzanian shillings (around US$173) per year.

According to Sedoyeka, some rooms have been facelifted to include double beds.

Equipped with 300 bedrooms and seven presidential suites, the hotel, built in 2003, is reminiscent of former Democratic Republic of Congo President Mobutu Sese Seko’s Gbadolite Presidential Palace deep in the Congo jungle.

“Initially, some students were not willing to move in. But now, everyone is motivated to settle there. Some of them really like the environment. They share videos on social media,” he said.

Source : https://www.aa.com.tr/en/africa/5-star-hotel-in-tanzania-turned-into-students-hostel

😆😆😆😆
 
Online media imeua sana print media. Huu ni ukweli usioepukika. Duniani kote the situation is the same. Huwezi kuilaumu serikali katika hili, kama una akili timamu of course.
Sio kweli. Nenda Marekani magazeti yanauzwa kama njugu. Hata hapa kwetu magazeti ya udaku yanauzwa sana pamoja na ya michezo. Serikali imeua printing media kwa kupeleka matangazo Daily News na TBC. Kenya tu hapa Daily Nation wanauza sana. Labda ujifunze umuhimu wa print media na Electronic media ambayo imezaa social media. Times na the Economis magazine bado zinauza sana. Uhuru linapewa matangazo kila siku. Media zinaenda kufa zote

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
hahhaa ushaambiwa biashara imekua ngumu we ushaaanza siasa! vijana mnakwama wap, mbna nokia ilikufa, dunia inabadilika na pesa znakuondoka kila sku we endelea kungangania hicho kiyoyozi apo gorofani
Wewe ndio unaweka siasa!! Kwani hujui biashara karibia zote nchini ktk awamu hii zimekuwa ngumu kutokana na mipango ya uchumi isiyoeleweka!! Jana ulimsikiliza dangote!! Alichokisema!! Kwenye sekta ya habari, inakufa kutokana na sheria/ubabe unaovilazimisha kutangaza habari zinazowafurahisha watawala tu!! Hapo nani atanunua gazeti!! Kipindi cha gazeti la mawio/mwana halisi mbona ilikuwa ukichelewa tu unakuta yamekwisha?!! Na bado
 
Msaki has failed to evolve. Mimi sijanunua magazeti mwaka huu wote and am informed like anybody else. Mitandao noma sana
 
Hivi hayo magazeti yapo?
Njia nyingi za kupata habari hata magazeti hatununui
 
Hii kampuni wahariri na proof readers wake ni wa hovyo, huwa kuna makosa mengi ya lugha kwenye magazeti yao, sio ajabu mauzo yao kushuka na kushindwa kupata faida.

Vv
Waanduishi pia NI makanjanja tu wanapenda habari za umbea zaid
 
sasa cha kushangaza nn apo, kodi unalipa 18% unasubiria 18% ijenge nchi nzima? yawezekana hata kodi hulipi, mfano states wanalipa mpaka 60% ya mshahara wao
States ipi hiyo unayozungumzia?! Acha ujinga wewe
 
Kampuni ya New Habari imetangaza kusitisha utoaji wa magazeti yake kuanzia Jumatatu ijayo kutokana na mwenendo mbaya wa biashara.

========

NEW HABARI YASITISHA UZALISHAJI MAGAZETI

KAMPUNI ya New Habari 2006 LTD inayozalisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa na Dimba imetangaza kusitisha uzalishaji wa magazeti yote kutokana na mwenendo mbaya wa biashara.

Akizungumza na wafanyakazi wa kampuni hiyo Mhariri Mtendaji, Dennis Msacky amesema uzalishaji wa magazeti hayo utasitishwa kuanzia Jumatatu wiki ijayo.
Duh...!. Could it be
Or sababu hizi

P
 
Gazeti la nchi gani hili mkuu🤔??

Kama ni tz nini chanzo? Je nini hatima ta mambo haya? Jana Dangote manusura afunge kakiwanda kake ka visiment leo hiki kikampuni☺😐?

Any way mwisho wa siku tutaona nani winner kati ya wanaoiombea shari serikali na sisi wazalendo.

#jr (uvccm - taifa)
Uzalendo ni pamoja na kumhurumia mtanzania mwenzio akiwa na changamoto.
Kama unafurahia dangote kufunga kiwanda na new habari kusitisha uzalishaji, maana yake unafurahia maelfu ya watanzania wenzio wanaoenda kukosa ajira kwasababu ya kufungwa kwa makampuni hayo mawili. Huu uzalendo wako ni wa kutilia shaka. huenda si uzalendo, ni kujipendekeza ndiko kuliko kujaa.
 
Uzalendo ni pamoja na kumhurumia mtanzania mwenzio akiwa na changamoto.
Kama unafurahia dangote kufunga kiwanda na new habari kusitisha uzalishaji, maana yake unafurahia maelfu ya watanzania wenzio wanaoenda kukosa ajira kwasababu ya kufungwa kwa makampuni hayo mawili. Huu uzalendo wako ni wa kutilia shaka. huenda si uzalendo, ni kujipendekeza ndiko kuliko kujaa.
Shida Tanzania ya leo Upo uzalendo wa aina aina,Upo uzalendo maslahi na uzalendo halisi,wazalendo maslahi wao wanajua kila kitu kizuri ama kibaya,ila Kita bebwa kwa mgongo wa uzalendo.Hata pale wanapo haribu,sasa kama mharibifu anajiona ndie mzalendo ,huoni kuwa tatizo nihilo na sii kisingizio chochote.
 
Gazeti la nchi gani hili mkuu🤔??

Kama ni tz nini chanzo? Je nini hatima ta mambo haya? Jana Dangote manusura afunge kakiwanda kake ka visiment leo hiki kikampuni☺😐?

Any way mwisho wa siku tutaona nani winner kati ya wanaoiombea shari serikali na sisi wazalendo.

#jr (uvccm - taifa)
Ulinunua gazeti lini kwa mara ya mwisho!?
 
Back
Top Bottom