Kampuni ya utalii yapigwa faini kwa kuwaruhusu Watalii kula hadharani Zanzibar

Wacha kusema uongo hakuna katiba iliovunjwa znz wana katiba yao wana sheria zao wana serikali yao znz ni kosa la jinai kula hadharani mchana wa Ramadhani tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu I
 
 
kuwa na mashoga zaidi ya alfu tatu kwenye kisiwa kidogo kama kile, ni sodoma na gomora kabisa. na mashoga hao wote wamefunga ramazani hii.
 
Wacha porojo hizo tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa
 
Jirani kaamua kushinda na njaa kwa hiari yake,ila anataka na majirani tusile,hizi dini kuna namna tunapaswa kuwa nazo makini.HAWA DINI YAO hata wakibaki wao duniani bado watajitoa muhanga.
Tena kweli,, Nenda Iraq Huko wanauana tuuu... Wanavaa kininja
 
Are they proud of this?
Hivi hakuna utofauti wa sheria na utamaduni? Utamaduni ni legally enforceable?
 
Waislamu na uislamu ni dini ya kulazimisha, mshangao hawalazimishi maendeleo
Umelazimishwa kitu gani? Kilichokatazwa ni kula hadharani mchana wa Ramadhani na hiyo sheria ipo znz toka wewe hujazaliwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
 
Waislamu dini yao ni ya kinafiki, ya kujionesha. Kimsingi funga ya kweli ni ile ambayo hata mwenzako hawezi kuijua km umefunga. Dini ya maonesho hiyo.
Wewe wacha porojo hizo sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani sii ubaki kwenu tanganyika ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sana
 
Makobazi ni wanafiki hata lucifer ana nafuu. Kwa nje wanaonekana wamependeza na kung'aa ila ndani ni mifupa mikavu. Mungu awarehemu na kuwasaidia sana.
Hizo sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sana
 
Ama kweli huu ni mwezi wa laana zenji bila shaka kila mwezi huu ukaribiapo utisho wa Allah unaanza kutawala kwenye vichwa vya wasiokuwa wafuasi wa wake
 
Hii dini hii sijui ilianzishwa na kiumbe gani!! Wanafunga mchana ili wale Usiku Kucha sisi tukiwa tumelala!! Funga ni yako, Dini ni yako na Thawabu kama kweli zipo ni zako sasa nongwa ya nini??
 
Wacha kusema uongo hakuna katiba iliovunjwa znz wana katiba yao wana sheria zao wana serikali yao znz ni kosa la jinai kula hadharani mchana wa Ramadhani tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu I
Polisi zanzibar wamevunja kutozingatia katiba ya muungano na PGO ya jeshi la polisi la muungano

Mambo ya polisi ni suala la muungano sio la zanzibar tu Kila polisi anatakiwa kusoma katiba ya muungano na PGO ya polisi kujua majukumu yake kama polisi wa muungano mwajiri wake

Polisi wa muungano anatakiwa kuzingatia tu katiba ya muungano na PGO ya polisi ya muungano

Hao polisi wa zanzibar walikosea kukamata hao wala chakula mchana hadharani sio majukumu yao kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania iliyowapa kazi za huo upolisi ni inayowasimamia

Wao ni waajiriwa wa serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania sio serikali ya Zanzibar. Wanatakiwa kuzingatia katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na PGO ya polisi ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania sio vinginevyo

Hao waliowashikilia kula mchana wamekiuka katiba wawaachie sio jukumu la polisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania hilo.
 
Kazi kweli kweli..
 
Kwanza mfungo gani wa kuvizia mwezi mmoja tu kwa mwaka? Nb hii dini ni janja janja tu
 
Hizo sheria ni kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar au kuruani?

Kama ni katiba nielimishe...

Kama mumezitoa kitabu kitakatifu nahitaji elimu pia...

Kama hamkuzitoa huko nataka kujua nyinyi ni waislam safi kuliko Saudia au Dubai?
Wewe wacha porojo njoo znz ule hadharani mchana wa Ramadhani ndio utajua hujui karibu sana znz
 
Huo ni uongo, wanataka kuwaminisha watu kwamba ata wazungu wamakatazwa kumbe ni waswahili tu. Zanzibar hakuna sheria inayokataza watu kuila mchana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…