Kampuni ya utalii yapigwa faini kwa kuwaruhusu Watalii kula hadharani Zanzibar

Dini ni Mfumo wa maisha ya binaadamu, dini yao inachangia sana mafanikio yao , akili ni uwezo wa kupambana na mazingira uliyopo siyo vyeti kama wengi mnavyoamini , its about priorities kama unataka kuajiriwa pambana sana na mfumo wa elimu na ufaulu ila wenye akili wengi hawapendi kuajiriwa na tangu mwanzo wa elimu huwa anajitahidi apate elimu ya kuweza kupambana ili amudu biashara zake
Na mfumo wa maisha pia unaekekeza jinsi ya kufanya biashara na miiko ya biashara, jinsi ya kuoa, kurithisha na kadhalika ingawa binaadamu tuna tamaa zetu wale wanaoshika miiko ya biashara kama dini inavyotaka 99% wanafanikiwa
Ndio maana nimemwambia huyo aliyesema waislamu hawana akili nimemwambia wengi wana akili ndio maana wameweza kumudu mazingira yao vizuri kuliko yeye aliyekariri anasubiri kuajiriwa
 
Na wanaofunga London, Stockholm, St. Petersburg, China, India na Brazil wanyongwe pia?
Kwa nini wanyongwe?

Hizo nchi zina uhuru wa kuabudu.

Nchi za kiislamu hazina uhuru wa kuabudu, zinalazimisha kila mtu afuate dini yao.
 
Funga ya waislam ni kutokula mchana,kwa hiyo wamechagua mchana ili kukabiliana na vishawishi sasa inakuwaje tena hawataki vishawishi?maana usiku ni kujiachia tu.
 
Huelewi wewe ulichoandika. Hao kamisheni ya utalii wanashitaki polisi na unachukuliwa au unaitwa polisi na unasomewa vifungu vya sheria ulivyokiuka na unalipa faini na adhabu nyingine kama kufungiwa mwongoza watalii.
 
Allah pia kasema Usiibe fedha za Umma Allah kasema usiibe kura lakini hii Serikali ya Mapinduzi inaangalia tu nani kala nini kajamba wapi...
Kuiba ni kosa kisheria na hukumu ni mahakama. Kula Ramadan mchana siyo kosa ni dhambi na adhabu ni bakora. Ukiiba hupigwi bakora.
 
Mtu akienda kutalii Zanzibar huwa anataka kuona Nini!?
Anyway hope siku Moja wataacha kuhangaika na kwenda mahali salama zaidi kutalii
 
Kwa nini wanyongwe?

Hizo nchi zina uhuru wa kuabudu.

Nchi za kiislamu hazina uhuru wa kuabudu, zinalazimisha kila mtu afuate dini yao.
Nilikuwa nampa changamoto ya ukali wake wa kutaka watu wanyongwe kisa kula. Na hapo kuna nchi zina Waislam wachache kama ilivyo Zanzibar kuwa na wakristo... wachache... Na wanasema ni sheria wambie wakupe kifungu uone kama watakipata... Si kwa katiba, sheria za nchi wala Quran inayowapa uhalali wa kuzuia watu kula. Ni mihemko tu
 
Inasikitisha sana...


Cc: Mahondaw
Inasikitisha sana kivipi? Kila nchi duniani ina sheria zake, hulazimishwi kwenda kwenye nchi hizo lakini ukiamua kwenda ni lazima ufate sheria za nchi. Ikiwa unatoka katika nchi inayoruhusu kuvuta bangi hadharani haimaanishi kuwa ukienda nchi zinazokataza uvutaji wa bangi wewe uvute. Zanzibar inakataza kula HADHARANI wakati wa mwezi wa ramadhani, watu wote wanajua na watembezaji watalii wanajua na walikumbushwa kitambo, sasa tatizo ni nini hapo?
 
Mtu akienda kutalii Zanzibar huwa anataka kuona Nini!?
Anyway hope siku Moja wataacha kuhangaika na kwenda mahali salama zaidi kutalii
Unajaribu kusema nini hasa? Nani alokwambia zanzibar sio mahali salama kwa watalii?
 
Wanajifanya wacha Mungu wakati zanzibar ndiyo inaongoza kwa ushoga hapa Africa Mashariki.
Sio suali la ucha mungu au kutokumcha mungu ni suali la kufuata sheria za nchi. Ukiambiwa usifanye kitu fulani then usifanye hutaki usiende.
 
View attachment 2949051
👆Na hawa Wazanzibari walioko Uarabuni wanaozuiwa kula Futari mpaka wenye Dini yao wafuturu Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaongeleaje?
Serikali ya zanzibar imewahusu nini yanayotendeka katika nchi nyengine? Sisemi kinachofanyika hapo ni sawa ila nashangaa kwa nini unahusisha na serikali ya zanzibar. Hili halihusu serikali ya zanzibar kama ilivyokuwa haiwahusu nyinyi watanganyika kinachofanyika zanzibar.
 
Apelekwe mahakamani kwa kula...
Umetumia kitu gani kwani kwenye kula daku mnakunywa na pombe???
sheria ya zanzibar haikatazi mtu kula wakati wa ramadhani, inakata kula HADHARANI mchana. Halazimishwi mtu kwenda zanzibar wakati wowote ule ila ufate sheria zake kama hukubaliani nazo usiende!!!!
 
Huenda Upo sahihi lkn hapa sheria na taratibu hazijawekwa kwa kuzingatia maoni binafsi.
Hayo ni maoni yako yanaheshiniwa ila huo ndio utaratibu wa Wazanzibar asiyeweza kuufuata kipindi hiki na aondoke Zanzibar
Ni sawa leo ufike Saudia then uanze kumkiss Demu wako hadharani kwakuwa huko kwenu una uhuru wa jambo hilo Bro ......
Maisha ni rahisi sana Vumilieni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…