Nenda kazikwe nae huyo mungu wenu,Haihitaji degree kuliona hilo huyu mwamba wanataka kumnyang'anya tender ili waweke mtu wao ambaye watakula 1O% yao kila mgao ukitoka ku fund ujenzi.
Hilo zengwe ni kubadili timu ya fisi tu πππ kama walivyobadili kwenye ishu ya vichwa vya treni kwa kisingizio kuwa alieagizwa alishindwa kuvileta kwa wakati.
R.I.p Magufuli yani sahizi wataelewa kuwa waliokuwa wanamkwamisha ni wapiga madili.
Tahila huyo, wanahisi kuna siku jiwe atafufuka awape nishani ya kumuhabuduPunguza Chuki isiyo na sababu kwa Mh Rais
Anaweza kuwa ni mbunge yeyote kwenye kundi. Bunge lililopo sasa hivi ni hovyo tupu. Waliingia kwa fogery ya Magufuli. Wengi ni watu wa hovyo ambao hawakutakiwa kuwa wabunge.Wabunge waliopewa rushwa watakuwa wa 19 waliotengenezwa na CCM ili kuonesha wabunge wa Chadema si waaminifu.
Washenzi sana hawa watu.Msijitoe ufahamu hata Sisi tunajua Kila kitu. Nani aliwaleta hawa Waturuki kama siyo JPM na timu yake? Nani mtetezi mkubwa wa kampuni hii baada ya kulambishwa hadi anagombana na kumtishia Mbunge wa Sumbawanga Aeshi Hillary kama siyo Msukuma Kasheku wa Geita?
Ni yenyeweKwani hii Kampuni si ya yule jambazi "king maker'
Usichanganye vyombo vya usalama na chama cha siasaVyombo vya usalama=UVCCM vinamchunguza mzungu?! Hiyo sio CHADEMA kwanza kiingereza wanajua? Huo mkataba tu tulikodi wanasheria kutoka nje!
Tangulia weweNenda kazikwe nae huyo mungu wenu,
Hapo lumumba wote vilaza labda wamuombe chenge awasaidieVyombo vya usalama=UVCCM vinamchunguza mzungu?! Hiyo sio CHADEMA kwanza kiingereza wanajua? Huo mkataba tu tulikodi wanasheria kutoka nje!
Wachina CCECC walilipewa kipande Cha Isaka Mwanza, Ila Hadi Leo hamna kitu.Magu ndio aliye wakataa Wachina kujenga SGR kwa bei nafuu na kwa ''ujuzi''wake akawapa hao Waturuki Kama ambavyo aliipa kampuni yake kujenga uwanja wa ndege Chato
Wachina CCECC walilipewa kipande Cha Isaka Mwanza, Ila Hadi Leo hamna kitu.
Na kuhusu unafuu sio kweli, wachina CCECC wamepewa tender pia mwaka huu mwezi wa nne ya kipande cha Tabora kigoma km 514, kaangalie gharama yao kwa hizo km pia ulinganishe na gharama za mradi wa Yapi kutoka dar Moro Dodoma km karibu 600.
Nilikuwa namjibu huyo aliyesema mchina ana Bei nafuu, ikiwa hajui mchina ndio ana Bei kubwa..mturuki amechelewesha sana huu mradi.
..haiwezekani dar to moro ichukue miaka 5 na bado mradi haujakabidhiwa.
..mchina alijenga reli ya tazara, dsm to kapirimposhi, na akakabidhi mradi ndani ya miaka 5.
cc Proved
Acha hizo, ingekuwa enzi za mwendazake ningekutaka uvae jezi ya Chadema kisha upite barabara ya stesheni, huko ungejua kuwa CCM na vyombo vya usalama ni mapacha.Usichanganye vyombo vya usalama na chama cha siasa