Kampuni za mabasi zilizotamba na kupotea

Huoni kwamba hili ni Jambo jema kwakuwa fedha nyingi zitabaki kwa wananchi ambao ni abiria tufauti na awali ambapo walionufaika zaidi walikuwa wamiliki wa mabasi na vituo vya mafuta?
Utopolo darala kwanza huu
 
Hekima
Akidas Original

Sent using Jamii Forums mobile app
 
keshapotea karudi kwenye kilimo, kuna kipindi aliyojiwa na Ayo TV akasema kapumzika kwanza
Yap mzee kaingia kwenye kilimo ana Hector za kutosha na zana za kisasa za kilimo ,za kulima hadi kuvuna .

Ile Kashi Kashi ya kutouza mahindi nje ilimsumbua kidogo maana anazalisha kwa wingi sana huko swax

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…