Mwanamena
JF-Expert Member
- Feb 4, 2020
- 1,107
- 1,360
Nakumbuka Zainab's early 2000. Duuuh Mambo ya nyakati hayaZainab
Tanganyika bus
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumbuka Zainab's early 2000. Duuuh Mambo ya nyakati hayaZainab
Tanganyika bus
Wewe ndiye unaepanga utaratibuHawa tunawapa mda mchache tu
Utopolo darala kwanza huuHuoni kwamba hili ni Jambo jema kwakuwa fedha nyingi zitabaki kwa wananchi ambao ni abiria tufauti na awali ambapo walionufaika zaidi walikuwa wamiliki wa mabasi na vituo vya mafuta?
Ngorika bado yupo ila air msae ndo kapoyea mazimaShabaha
Ngorika
Tashriff kama zote... Tanga lindi kila siku zinapita bagamoyo roadScandinavia zilikuwaga basi aisee.
Tashriff za Tanga nazo sizioni road.
Hivi Zuberi na Najmunisa bado zipo?
Hupo anafanya route za biharamlo- bukoba labda kama kaacha sahvBIJAMPOLA!wahaya hawatoisahau hii
Kamujingijingi... Arush Dom kupitia Kondoa enzi hizo na mwenzake Bullet.... wapi New Arusha?Sahib bus service, ilikua Arusha inaenda singida
Hawa Najumnisa Uwepo Lami ukawapotezea ufalme wa njia..najmnisa wakongwe na njia dar-mwanza saiv wana pia bunda-dar
zuberi wapo dar-mza na mza-musoma
HekimaScandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Sabco (Moro)
Islam (Moro)
Sadick Bus (Moro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Super Service (Singida)
Super Star (Dodoma)
Matema Beach (Mbeya)
Kiswele (Songea)
Zafanana (Korogwe)
Air Msae
Blue Ship
Amiti
Wifi Nae
Central Line
Hawa wawekezaji walikwama wapi, mbona kama walikuwa na Mitaji mikubwa, saivi kuna kampuni mpya tena ndogo na zinapambana hatari.
Ongeza unazozijua
Ngorika si bado IPO?Shabaha
Ngorika
Yap mzee kaingia kwenye kilimo ana Hector za kutosha na zana za kisasa za kilimo ,za kulima hadi kuvuna .keshapotea karudi kwenye kilimo, kuna kipindi aliyojiwa na Ayo TV akasema kapumzika kwanza
Mkuu Tashrif wanazidi kujitanua, wameshapiga hodi mikoa ya Kusini