Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
sio lazima ufanye ww. kuna 100000 ways za kufanya hiyo kituTake him down.
Huku anaumwa figo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio lazima ufanye ww. kuna 100000 ways za kufanya hiyo kituTake him down.
Huku anaumwa figo?
Mbona unaficha namba zenu?Habari za leo wapendwa. Sijui ni dharau kwa serikali ama siasa moe sielewi. Kuna baba mtu mzima ana watoto wakubwa.
Binti yangu alikuwa anasoma Sengerema kidato cha sita. Huyo baba kamuachisha binti yangu shule na kumuweka ndani kinyumba. Huyo baba anasema Serikali hii hakuna wa kumfanya chochote hata twende wapi hawezi kukamatwa.
Mimi mama yake ni mgonjwa nahudhuria dialysis Bugando maana mie ni mgonjwa wa figo.
Katumia udhaifu wangu kunifanyia hivyo. Nina imani na Serikali iliyoko madarakani na wapigania haki popote walipo kuwa watanisaidia.
Mimi niko Mwanza
Namba yangu ya Simu ni 0745 317 ***
Jina langu ni Sekunda
Binti yangu ni Ph***
Aliyemuachisha shule anaitwa Razaro
Namba yake ya simu ni 0757262*** na yuko hapa hapa Mwanza
Naomba serikali ioneshe kwamba ipo. Katika utawala huu nina imani mama atatupigania.
Ss uv binti hawez jitambua had yamkute ndo akili zitakujaKwanza tuanzie hapa mtoto anasemaje, ukute ukuni umemkolea na kataka mwenyewe ww unaangaika tulia utakufa kabla ya Siku zako.
Ukimpeleka polisi mtoto akisema mimi nataka utafanya nn, sidhani kama uyo mwamba kamfungia mwanao ndani
Mtoto akililia wembe, uyu mama atajisumbua bureSs uv binti hawez jitambua had yamkute ndo akili zitakuja
Namba wamezificha AdminsUmechukua hatua gani zaidi ya kulalamika hapa?
Je umefika Polisi dawati la jinsia?
Je umefika Sengerema kwa Mkuu wa Shule na Afisa Elimu Sekondari kuyaripiti haya na kutoa ushahidi?
Je umefika mtaa anaokaa huyo Mkweo katika ofisi ya Mtaa/Kijiji/Kata kutoa malalamiko haya?
Haya mambo ni madogo yanayopaswa kushughulikiwa katika ngazi ya Kata.
Mie nilifikiri ni Ma Muganyizi, nisingekuelewaHabari za leo wapendwa. Sijui ni dharau kwa serikali ama siasa moe sielewi. Kuna baba mtu mzima ana watoto wakubwa.
Binti yangu alikuwa anasoma Sengerema kidato cha sita. Huyo baba kamuachisha binti yangu shule na kumuweka ndani kinyumba. Huyo baba anasema Serikali hii hakuna wa kumfanya chochote hata twende wapi hawezi kukamatwa.
Mimi mama yake ni mgonjwa nahudhuria dialysis Bugando maana mie ni mgonjwa wa figo.
Katumia udhaifu wangu kunifanyia hivyo. Nina imani na Serikali iliyoko madarakani na wapigania haki popote walipo kuwa watanisaidia.
Mimi niko Mwanza
Namba yangu ya Simu ni 0745 317 ***
Jina langu ni Sekunda
Binti yangu ni Ph***
Aliyemuachisha shule anaitwa Razaro
Namba yake ya simu ni 0757262*** na yuko hapa hapa Mwanza
Naomba serikali ioneshe kwamba ipo. Katika utawala huu nina imani mama atatupigania.
Ila ukimwi fresh tu?Mimi naomb tu binti asizalishwe jamani..asipate mimba..polen sana
Habari za leo wapendwa. Sijui ni dharau kwa serikali ama siasa moe sielewi. Kuna baba mtu mzima ana watoto wakubwa.
Binti yangu alikuwa anasoma Sengerema kidato cha sita. Huyo baba kamuachisha binti yangu shule na kumuweka ndani kinyumba. Huyo baba anasema Serikali hii hakuna wa kumfanya chochote hata twende wapi hawezi kukamatwa.
Mimi mama yake ni mgonjwa nahudhuria dialysis Bugando maana mie ni mgonjwa wa figo.
Katumia udhaifu wangu kunifanyia hivyo. Nina imani na Serikali iliyoko madarakani na wapigania haki popote walipo kuwa watanisaidia.
Mimi niko Mwanza
Namba yangu ya Simu ni 0745 317 ***
Jina langu ni Sekunda
Binti yangu ni Ph***
Aliyemuachisha shule anaitwa Razaro
Namba yake ya simu ni 0757262*** na yuko hapa hapa Mwanza
Naomba serikali ioneshe kwamba ipo. Katika utawala huu nina imani mama atatupigania.
Mtajie tano achambue ipi ataiwezasio lazima ufanye ww. kuna 100000 ways za kufanya hiyo kitu
mzee acha unyonge wa kijinga. huko hakuna mapanga au mikuki. mvizie malizana naye kimyakimya.Habari za leo wapendwa. Sijui ni dharau kwa serikali ama siasa moe sielewi. Kuna baba mtu mzima ana watoto wakubwa.
Binti yangu alikuwa anasoma Sengerema kidato cha sita. Huyo baba kamuachisha binti yangu shule na kumuweka ndani kinyumba. Huyo baba anasema Serikali hii hakuna wa kumfanya chochote hata twende wapi hawezi kukamatwa.
Mimi mama yake ni mgonjwa nahudhuria dialysis Bugando maana mie ni mgonjwa wa figo.
Katumia udhaifu wangu kunifanyia hivyo. Nina imani na Serikali iliyoko madarakani na wapigania haki popote walipo kuwa watanisaidia.
Mimi niko Mwanza
Namba yangu ya Simu ni 0745 317 ***
Jina langu ni Sekunda
Binti yangu ni Ph***
Aliyemuachisha shule anaitwa Razaro
Namba yake ya simu ni 0757262*** na yuko hapa hapa Mwanza
Naomba serikali ioneshe kwamba ipo. Katika utawala huu nina imani mama atatupigania.