Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marangu ipi maake hata huko Rombo Kuna marangu pia ?Hivi MARANGU si ndo kile Kijiji kipo pembeni ya Rombo kina walevi wa kutosha wa banana?
Aika😍Usiunganishe naneo mawili. Andika "nanto mbe"
Halafu "nanto" wanatumia kibosho na machame, ni salamu ya asubuhi. Version yake kivunjo unasema "nangoto" ni salamu ya mchana hiyo kwa vunjo.
Ok madamHapana
Dako-tako
Mbonyi tsafo? (Shimbonyi shafo)?Aika😍
Naendelea vizuriMbonyi tsafo? (Shimbonyi shafo)?
Mchana mwema.Naendelea vizuri
Nimekisia tu! Ulimaanisha niniMchana mwema.
Nimekuuliza "habari yako"?Nimekisia tu! Ulimaanisha nini
Najibu vipiNimekuuliza "habari yako"?
Hao warombo tu pia wana lahaja tofauti zaidi ya tatu.Kichaga kinanishangaza sana wenzetu wanajua ni lugha moja ila kichaga ukiingia ndani yake unakutana na vichaga vingi
Kibosho wana chao
Machame wana chao
Uru wana chao
Marangu wana chao
Rombo wana chao
Apo sijazungumzia hawa wa katikati kama masama ,kidia,kirua,mbokomu,sanya nk.
Vinstofautiana mno ukute kufanana ni maneno machache sana.
Hawa watu ukiwaweka sehemu moja salamu tuu zao watakushangaza.
Salamu+ matumizi ya mbe na mae
Wengine mae ni mwanamke wengine mae ni mwanaume hapa ngumi mkononi 😁🙌
MenyaNashicha (Nzuri)
Nashicha tupu/tiki (Nzuri tu)
YesuuuMenya
Malizia Haika mbee au haika saa.Aika😍
Mae inatumika wapi kama mwanaume?Kichaga kinanishangaza sana wenzetu wanajua ni lugha moja ila kichaga ukiingia ndani yake unakutana na vichaga vingi
Kibosho wana chao
Machame wana chao
Uru wana chao
Marangu wana chao
Rombo wana chao
Apo sijazungumzia hawa wa katikati kama masama ,kidia,kirua,mbokomu,sanya nk.
Vinatofautiana mno ukute kufanana ni maneno machache sana.
Hawa watu ukiwaweka sehemu moja salamu tuu zao watakushangaza.
Salamu+ matumizi ya mbe na mae
Wengine mae ni mwanamke wengine mae ni mwanaume hapa ngumi mkononi 😁🙌
Yeah nilitaka kumwambia asiseme hutu haika amalizie na title ya anaemwambia haika.Malizia Haika mbee au haika saa.
Hilo ni tusi.Menya