ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
🤣nimefanya makusudi🏃♀️Yesuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣nimefanya makusudi🏃♀️Yesuuu
Pia neno mae linatumika kama mshangao wa jambo fulani ila hii niliona kwa wazee zaidiMae inatumika wapi kama mwanaume?
Najua kibosho "mbe" inatumika nadhani kwa mtoto wa kwanza nadhani hata akiwa wakike.
min -me sijui nipo sawa hapi mnama, nirekebishe kama nimekosea.
Ila kivunjo "mbe" ni mwanaume.
Ndio huko😂Hilo ni tusi.
Katika kumbukumbu zangu kuna mahali tu sijui wapi mae kama sio mae basi ni ile neno "MA" mfano mwanamke kwenye ukoo wa chuwa unaeza muita Machuwa kwa vile ni mwanamke kutoka ukoo wa chuwa sasa kuna maeneo hii machuwa ni mwanaume 🤔🤔Mae inatumika wapi kama mwanaume?
Najua kibosho "mbe" inatumika nadhani kwa mtoto wa kwanza nadhani hata akiwa wakike.
min -me sijui nipo sawa hapi mnama, nirekebishe kama nimekosea.
Ila kivunjo "mbe" ni mwanaume.
Mimi najua mshangao kwa kibosho neno "maomi"Pia neno mae linatumika kama mshangao wa jambo fulani ila hii niliona kwa wazee zaidi
KiBoooo,yesu ruwaa,yewomiiii 😁Mimi najua mshangao kwa kibosho neno "maomi"
Hilo nadhani ni uchaga wote wana huo utaratibu. Mwanamke kuitwa "ma" mbele ya jina lake la ukoo.Katika kumbukumbu zangu kuna mahali tu sijui wapi mae kama sio mae basi ni ile neno "MA" mfano mwanamke kwenye ukoo wa chuwa unaeza muita Machuwa kwa vile ni mwanamke kutoka ukoo wa chuwa sasa kuna maeneo hii machuwa ni mwanaume 🤔🤔
KiruuuKiBoooo,yesu ruwaa,yewomiiii 😁
Mtoto wa kwanza anatumia mbee wa pili anatumia saa Mimi naitwa ndeyanka(jina halisi kabisa) opposite ya manka na mzee wangu ananiita saa huwa najikuta kama nimepewa bonge la heshima kama sir alex fegurson 😎😎🙌Yeah nilitaka kumwambia asiseme hutu haika amalizie na title ya anaemwambia haika.
Kama ni baba/babu/mume unasema "haika mbe"
Bibi/mama "haika mae"
Kaka/dada "haika awae"
Ndio huko wapi?Ndio huko😂
Ata Uru Mbe ni kwa mtoto wa kwanza awe Mwanaume au MwanamkeMae inatumika wapi kama mwanaume?
Najua kibosho "mbe" inatumika nadhani kwa mtoto wa kwanza nadhani hata akiwa wakike.
min -me sijui nipo sawa hapo mnama, nirekebishe kama nimekosea.
Ila kivunjo "mbe" ni mwanaume.
Nukelaho u?Ndio huko wapi?
Itakuwa ivyoHilo nadhani ni uchaga wote wana huo utaratibu. Mwanamke kuitwa "ma" mbele ya jina lake la ukoo.
Ila kama ulivyosema kuna koo za kichanga zinaanza na hiyo ma.
Kamusi ulitakiwa uweke maneno ya kuombea ndoa ingependeza zaidi!Aichi—Anajua
iachikyia--Kujenga
Ichele—Kichaga
Ichondi- --- Kondoo
Iikyelyia—Kuogelea
Ikawilyia—Kupalilia
Ilyingoi---Jogoo
inyi—Mimi
Ipalipali- --Bahari
Ipore---Yai
Irikoso—Taji
Isewa—Kibuyu
Itukuo—Kushangaa
Iwuwu—Kuona makengeza
Iyesho---- Majaribu
Kiamba---Shamba
Kyasaka—Ugenini (Mswahili)
Kyiaatyi—nafasi
Kyo_kyimaryu—Ndiyo sababu
Kyuwere—Kumebakia nafasi ndugu
Lakucha—Usiku mwema
Linyala—Kuzarau
Maakulembecherye—Unafiki
Mapore—Makande
Mapuchi—Mawingu
Masaanga—Mataifa
Matu matu—Tafadhali
Mbuya---Rafiki
Mchola--Kichochoro
Mkuuchu—Kiburi
Mkuuma---Upepo
Mlenya—Mchanga
mmesa—Adui Mtiima—Giza nono
Mmmbaryi—Jua
Momrasa—Jirani
Momu- hori la ng’ombe
Msasariko—Masazo
Msotsa---Kushuka
Na-Ngoseraa—Na zaidi
Ndekye—Ndege
Nduwa-- Dimbwi
Ngambura--kipande cha nyama
Njoonyi—Ngozi
Nyi Kryirumi—Ni Utukufu
ote=hapana
Parapara—barabara
Pfinya—Nguvu
Rumbu—Mdomo
Sera’—Mgomba mchanga
Shira’—vita
Tao—Ng’ombe jike
Tikira- sogea
ukou=Jana
Ulakuso—Tafadhali
Ulowo—Habari
Unga—msoo
Unyamari’—Dhambi
Ushanguny—Usoni
Walutsa—Geuza
Wanda—chini
Ngikelaho ChaliifranciscoNukelaho u?
Mamndenyi nakusalimiaga kichagga huwa hujawahi kujibu. Kimatewe nkiki?Matu matu—Tafadhali
Pamoja sana mnama.Hii nitaisoma mnama kwa sababu kama ukoo wangu una utata sana kihistoria