Kamusi ya kichaga cha Marangu kwenda kiswahili

Kamusi ya kichaga cha Marangu kwenda kiswahili

Pamoja sana mnama.

Huko kuna historia za kustaajabisha sana za koo za kichagga, utajua kwanini mfano unakuta kuna Mushi wa Uru, Kibosho, Kirua na Marangu. Utajua kwanini kuna Mushi, Munisi, Munishi, Mosha, Moshi, Chaki, Mchaki na utajua ukoo wa Mboro uliishia wapi.

Pia utazijua koo za kichagga ambazo sio maarufu na wengi hawazijui kama Chacky, Tillya n.k
Mboro ipo nadhani pia ndio hao mbore na mbowe pia munisi ndio hawa kina nkya nadhani mushi na moshi ni sawa pia.
 
Karibuni wali ndondo kwenye kidewa..
Kidewa hiki nilipewa mwaka 2003 nikiwa darasa la 2 na dada wa baba.

Imepita miaka 20+ sasa nakitumia nikiwa kwangu 😋🔥
IMG_20240909_200841_529.jpg
 
Kichaga cha kimarangu ni rahisi sana;

Numba- nyumba
Simu - simu
Pikipiki - pikipiki
Mlango - mlango
Umeme - umeme
Taa - taa
Yako - yangu
Mburu - mbuzi
Umbe - ng'ombe
Nguku - kuku
Mayai - mayai
Sufuria - sufuria/safria
Pakuri - bakuli
Sahanyi - sahani
Kilyiko - kijiko
Shiombo - vyombo
Kilasi - glasi
Chai - chai
Sukari - sukari
Soda - soda
Wari - pombe
Bia - bia
Mbekye - mbege
Nyo - kunywa
Ria - kunywa kidogo
Ruma - tuma/agiza
Eleri - hela
Wasungu - wazungu (watu)
Wandu - watu
Warumu - shetani
Ruwa - mungu
Fuma - toka
Seiya - pisha
Ngileka - niache
Enda - nenda
Gari - igari/ikari
Wara - shika
Tema - cheza
Shaa - koma
Siku - siku
Rina - jina
Lyapfo - lako
Naacho - nani
Papa/Auyo - baba/baba yako
Mama/womoo - mama/mama yako
Shangazi - shangazi
Mjomba - mjomba
Msacha - kaka
Mshikyi - dada
Mka - mke
Mii - mume
Mleu - jamaa/chalii
Loi - kweli
Wongo - uongo
Terewa - omba
Kunda -penda
Lamba - kula mzigo
Mbatu - k
Shinga - funga
Pfunguo - fungua
Rosa - pandisha
Sotsa - shusha
Msiko - mzigo
Alyika - oa
Kapa - piga
Lekia - achia
Laa - lala
Amka - amka
Njaa - njaa
Lya - kula
Kelya - chakula
Nyama - nyama
Mchele - wali
Soko - maharage
Pakado - parachichi
Iembe - embe
Maruhu - ndizi
Mringa - maji
Moro - moto
Mbeo - baridi
Kitara - kitanda
Ikondoro - godoro
Mesa - meza
Kitima - kiti
iKoochi - kochi
Kabatini - kabatini
Kite - mbwa
Iyo - wewe
Marisa - maliza
Ngachoka - nimechoka
Kapisa - kabisa
 
Kichaga cha kimarangu ni rahisi sana;

Numba- nyumba
Simu - simu
Pikipiki - pikipiki
Mlango - mlango
Umeme - umeme
Taa - taa
Yako - yangu
Mburu - mbuzi
Umbe - ng'ombe
Nguku - kuku
Mayai - mayai
Sufuria - sufuria/safria
Pakuri - bakuli
Sahanyi - sahani
Kilyiko - kijiko
Shiombo - vyombo
Kilasi - glasi
Soda - soda
Bia - bia
Mbekye - mbege
Nyo - kunywa
Ria - kunywa kidogo
Ruma - tuma/agiza
Eleri - hela
Wasungu - wazungu (watu)
Wandu - watu
Warumu - shetani
Ruwa - mungu
Fuma - toka
Seiya - pisha
Ngileka - niache
Enda - nenda
Gari - igari/ikari
Wara - shika
Tema - cheza
Shaa - koma
Siku - siku
Rina - jina
Lyapfo - lako
Naacho - nani
Papa/Auyo - baba/baba yako
Mama/womoo - mama/mama yako
Shangazi - shangazi
Mjomba - mjomba
Msacha - kaka
Mshikyi - dada
Mka - mke
Mii - mume
Mleu - jamaa/chalii
Loi - kweli
Wongo - uongo
Terewa - omba
Kunda -penda
Lamba - kula mzigo
Mbatu - k
Shinga - funga
Pfunguo - fungua
Rosa - pandisha
Sotsa - shusha
Msiko - mzigo
Alyika - oa
Kapa - piga
Lekia - achia
Laa - lala
Amka - amka
Njaa - njaa
Lya - kula
Kelya - chakula
Nyama - nyama
Mchele - wali
Soko - maharage
Pakado - parachichi
Iembe - embe
Maruhu - ndizi
Mringa - maji
Moro - moto
Mbeo - baridi
Kitara - kitanda
Ikondoro - godoro
Mesa - meza
Kitima - kiti
iKoochi - kochi
Kabatini - kabatini
Kite - mbwa
Iyo - wewe
Marisa - maliza
Ngachoka - nimechoka
Kapisa - kabisa
hapo kwenye Mbatu sio Tumbaku mkuu?

mimi najua mbatu ni tumbaku.

halafu pia kwenye uongo neno sahihi sio ''wongo'' bali ni ''mboru''
ephen_
 
Back
Top Bottom