Kamusi ya kichaga cha Marangu kwenda kiswahili

Mae inatumika wapi kama mwanaume?

Najua kibosho "mbe" inatumika nadhani kwa mtoto wa kwanza nadhani hata akiwa wakike.

min -me sijui nipo sawa hapi mnama, nirekebishe kama nimekosea.

Ila kivunjo "mbe" ni mwanaume.
Katika kumbukumbu zangu kuna mahali tu sijui wapi mae kama sio mae basi ni ile neno "MA" mfano mwanamke kwenye ukoo wa chuwa unaeza muita Machuwa kwa vile ni mwanamke kutoka ukoo wa chuwa sasa kuna maeneo hii machuwa ni mwanaume 🤔🤔
 
Katika kumbukumbu zangu kuna mahali tu sijui wapi mae kama sio mae basi ni ile neno "MA" mfano mwanamke kwenye ukoo wa chuwa unaeza muita Machuwa kwa vile ni mwanamke kutoka ukoo wa chuwa sasa kuna maeneo hii machuwa ni mwanaume 🤔🤔
Hilo nadhani ni uchaga wote wana huo utaratibu. Mwanamke kuitwa "ma" mbele ya jina lake la ukoo.

Ila kama ulivyosema kuna koo za kichanga zinaanza na hiyo ma.
 
Yeah nilitaka kumwambia asiseme hutu haika amalizie na title ya anaemwambia haika.

Kama ni baba/babu/mume unasema "haika mbe"
Bibi/mama "haika mae"
Kaka/dada "haika awae"
Mtoto wa kwanza anatumia mbee wa pili anatumia saa Mimi naitwa ndeyanka(jina halisi kabisa) opposite ya manka na mzee wangu ananiita saa huwa najikuta kama nimepewa bonge la heshima kama sir alex fegurson 😎😎🙌
 
Kamusi ulitakiwa uweke maneno ya kuombea ndoa ingependeza zaidi!
 
Hii nitaisoma mnama kwa sababu kama ukoo wangu una utata sana kihistoria
Pamoja sana mnama.

Huko kuna historia za kustaajabisha sana za koo za kichagga, utajua kwanini mfano unakuta kuna Mushi wa Uru, Kibosho, Kirua na Marangu. Utajua kwanini kuna Mushi, Munisi, Munishi, Mosha, Moshi, Chaki, Mchaki na utajua ukoo wa Mboro uliishia wapi.

Pia utazijua koo za kichagga ambazo sio maarufu na wengi hawazijui kama Chacky, Tillya n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…