Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
-
- #61
prabability ya 0.000001 kutusua. vp za kakonko mkuu?Bilionea Laizer katajirikia kijijini Simanjiro
Watu wanakimbia kijijini wanakufa malofa mjini
Yeye kijijini kaibuka bilionea
Ukiwa na pepo la umaskini hata uende ulaya au Marekani utakufa lofa tu
Ukifika mgeni wanakutest kwanza uwezo wako,limishwa sana mashamba Yao dadeki🤣njaa kali, uchawi, waganga na hali ya hewa ya watu wa mikoani
chakula ni fursa mkuu, mi nasemea investment and not consumer goods.Kutoboa ni fikra, niko hapa Mbeya kwa sasa, kiasi fulani maisha ni rahisi hasa chakula. Kwa hiyo ukituliza akili unaweza kufikia malengo kirahisi kuliko Dar es salaam.
sawa mkuu , ila wapunguze mauaji ya walemavu ngozi huko mikoani kwa kuamini kwamba watapata utajiri. utajiri watanzania wenzangu unapatikana kwa kufanya kaziSasa mkuu vijana wote wa mikoani wakaja hapa daslamu itakuwaje??
Wapambane wakiwa huko huko watatoboa....... japo hapa daslamu akili inatakiwa ichangamke sana maana kuna majamaa yapo hapa mjini kitambo na hajatoboa
mkuu mimi niko bunju-mapwepande.Tunaoishi Dar tunaishi Obey, Msasani, Masaki, Upanga, Mikocheni, Mbezi Beach, Bahari Beach, Kunduchi na Mbweni. Nye wengine wa sijui Gongolamboto, Tabata, Ubungo, Kiwalani, Mbagala, Temeke na kwingineko kote ni aheri uishi mkoani kuliko hizo sehemu..
bila hirizi hutoboi. wasalimie meatu mkuuNamimi nilikua na mawazo kama yako back days ila sasa hivi simiyu huku napambana baada ya kukimbia dar😅
Huko si makaburini? wameacha kutupa mahiti zinazouliwa kimagumashi huko? teh teh tehmkuu mimi niko bunju-mapwepande
Mbunge msukuma ana mabasi mia moja na helicopter anajiendesha mwenyewe katajirikia mkoani GeitaSasa mkuu vijana wote wa mikoani wakaja hapa daslamu itakuwaje??
Wapambane wakiwa huko huko watatoboa....... japo hapa daslamu akili inatakiwa ichangamke sana maana kuna majamaa yapo hapa mjini kitambo na hajatoboa
mkuu, kuna ghorofa na majumba ya kisasa . na shughuli za kiuchumi ni kubwa sanaHuko si makaburini? wameacha kutupa mahiti zinazouliwa kimagumashi huko? teh teh teh
sawa mkuu , ila wapunguze mauaji ya walemavu ngozi huko mikoani kwa kuamini kwamba watapata utajiri. utajiri watanzania wenzangu unapatikana kwa kufanya kazi
Geita nawasihi , punguzeni matukio ya kikatili . though na nyie mgeni kutoboa kwenu ni 0.0001 .Mbunge msukuma ana mabasi mia moja na helicopter anajiendesha mwenyewe katajirikia mkoani Geita
Unafikiri ni kwanini mkuu ,ili wengine wajifunze?Kuna watu wa baadhi ya mqkabila wakifika dar wanatoka mapema wachaga,wakinga na watu kutoka kigomq