Ebu acheni mambo ya kusema nchi fulani ina nukes kwani hakuna nchi sasa hivi inayoweza kutumia hizo nukes halafu yenyewe ikabaki salama hivyo kuwa na nyuklia ni vitisho tu na ni njia ya kujilinda zaidi.Pakistan yupo vizuri jet fighter za kisasa ana nuke bombs
e! Hii kali! Waislam kwa waislam wanashambuliana! Ina maana dini yao wameshindwa kuiheshimu?Pakistan ilishambulia maeneo saba mashariki mwa Iran na kusababisha kifo cha kanali wa IRGC na uharibu mwingine. Kwa hapa namuunga mkono Pakistan kushambulia Iran kwa sababu Iran hakutaka diplomasia badala yake alitumia nguvu kushambulia ardhi ya Pakistan.
Source:
View: https://twitter.com/MarioNawfal/status/1747832880884072802?t=XSOnUi4rscmMxU2leqIvIA&s=19
John 1:14Yesu ni Mungu soma yohana 1:14
Broo I've already told you they faced resistance from the hindus, Hindu is not a Abrahmic religion and even after hundreds of years of barbaric Islamic invasion they were not able to convert majority in India. They faced non-stop resistance from Hindus. This is the depiction of the Haldighati battle where Maharana Rana Pratap vertically cut Mughal commander Behlol Khan into 2 pieces along with his helmet, armour and horse.wakikataa wanawaua,mbona wahindu ni wengi kuliko waislam na waislam walitawala hapo kwa zaidi ya Karne!?
You want to accuse me of islamophobia, I don't give a f*ck brother😅 you can say whatever you want, I don't care I will always speak the truth.Karne!?..uwe unachambua mambo,siyo unabugia tu kisa chuki zako kwa uislam
Naye neno alivaa mwili akaja kwetu nasi tumeuona utukufu wake. Soma msitari wa kwanza na pili. Neno aliyetajwa ni Yesu na huyo neno alikuwa mungu mwenyewee. Na huyo yesu ambaye ni Mungu mwenyewe atakuhukumu siku ya mwishoo.John 1:14
New International Version
14 The Word became flesh and made his dwelling among us. We have seen his glory, the glory of the one and only Son, who came from the Father, full of grace and truth.
***************************************"******
👆Wapi ilipo andikwa kwamba Yesu ni Mungu. Acheni kuropoka ni vema kila moja adili na msaafu wake na kuacha kuchuuza umbeya.
Indian Hindus did and still convert to IslamBroo I've already told you they faced resistance from the hindus, Hindus it is not Abrahmic religion and even after hundreds of years of barbaric Islamic invasion they were not able to convert majority in India. They faced non-stop resistance from Hindus. This is the depiction of the Haldighati battle where Maharana Rana Pratap vertically cut Mughal commander Behlol Khan into 2 pieces along with his helmet, armour and horse.
I quote from a hindu;
"They hate this blood, they envy this power, and they hate our Dharma."
View attachment 2875568
You can't to accuse me of islamophobia, I don't give a f*ck brother😅 you can say whatever you want, I don't care I will always speak the truth.
ISLAMOPHOBIA IS A BULLSH*T TERM INVENTED TO VILIFY AND SILENCE ANYONE BEING HONEST ABOUT MANKIND'S MOST VIOLENT SUPREMACIST CULTURE.
Biblia inasema yote,kuwa yesu ni Mungu na mwana wa Mungu pia,ndiyo maana wazungu wameachana na dini maana bible ni kizungumkutiNaye neno alivaa mwili akaja kwetu nasi tumeuona utukufu wake. Soma msitari wa kwanza na pili. Neno aliyetajwa ni Yesu na huyo neno alikuwa mungu mwenyewee. Na huyo yesu ambaye ni Mungu mwenyewe atakuhukumu siku ya mwishoo.
Soma isaya 9:6-7 mtoto huyo aliye zaliwa ni mungu mwenyenguvu baba wa milelee.
Karibu kwa yesu uokoke sio kwa yule jamaa aliekua anafanya mapenzi na tumabinti twa miaka tisaa
Hawezi kukuelewa huyo SHAHIDI WA YEHOVA.Yesu ni Mungu soma yohana 1:14
Hata hivyo pakistan yupo vizuri ana F 16 pia china inamuuzia ndege zake za kizazi cha tano .Wakati Iran ana ndege za miaka ya sabinializoachiwa na marekani kabla ya mapinduzi ya Kiislam 1979. N kama makombola pakistani ni mjuziEbu acheni mambo ya kusema nchi fulani ina nukes kwani hakuna nchi sasa hivi inayoweza kutumia hizo nukes halafu yenyewe ikabaki salama hivyo kuwa na nyuklia ni vitisho tu na ni njia ya kujilinda zaidi.
Kwanini mkuu, twende taratibuHii dini ya Allah ni ngumu sana
Hawa ni matapeli kabisa, tena kama anaabudu huko, ngoja nimshugulikiee.Hawezi kukuelewa huyo SHAHIDI WA YEHOVA.
Tunasemaga humu ndani US ni kitu kingine kabisa, sasa hivi anapigana Ukraine, anapiga drills Taiwan if mchina akijichanganya, bado yupo Black sea akiwa na Israel, na bado ana hamu na Iran.Iran wakijibu basi hii itaelekea kuwa vita kamili. Iran akijichanganya akaingia kwenye vita na pakstan nadhan US anaisubiri hiyo kama opportunity ya kuangusha utawala wa Iran.
Naona mwaka huu tutashuhudia sana vita
Bibulia sio kwa ajiri ya wazungu. Wazungu wanamhitaji Yesu. Hata kama kizazi chochote kitamukataa Yesu kijue huku iko pale palee. Kana imani moja tapeli wanamfananisha eti yesu ni nabiii wakawaida na kumuita jina lake kwa watoto wake.yaani wana ole kubwa kwakuwa wamelikataaa jina pekee la Munguu. Nawatahadharisha tuu kwamba kurudi kwake mwana wa adamu kumekaribia na anakuja kuhukumu kila mtu kwa matendo yake. Okokeni mwaminini Yesu sio hao wenginee. Yesu yu mlangoniii.Biblia inasema yote,kuwa yesu ni Mungu na mwana wa Mungu pia,ndiyo maana wazungu wameachana na dini maana bible ni kizungumkuti
Laiti angejua nguvu ya Pakistan basi angekaa kimya.Mchambuzi kutoka moro kaskazini unachukulia vita kama kula chapati pakistani ipi inachukuliwa wiki moja?
Ila Pakistan Taliban (Ttp) wanalitesa mno jeshi la Pakistan.Pakistani ni nuclear power kitambo
Hao wanamiliki mpaka nuclear Pakistan wapo vizur kuliko Iran kijeshiKatika nchi za kiislam wabishi basi ni pakistan wamewahi wabonda india mpakani mwao
Pakistan ni miongoni mwanchi zinazomiliki silaha za nuclear wakati Iran hana hizo silaha. Pakistan sio Iraq hao wapo vizur walishamkung'uta mpaka indiaHakuna aliyekufa ila huyu jamaa pichani ndo aliyepata majeraha
Iran ikiamua kuichapa Pakistan nawa akikishia ndani ya wiki tu Pakistan itachakazwa vibayae mno
View attachment 2875136
Kijana Iran namba nyengine hata marekani yenyewe inatamani iwe na uhusiano bora na iran ili ifaidike na military tech za Iran😃😃😃😃Kuna taarifa wanataka kununua J-31 (fifth gen) za mchina.
Huko ukraine kapakimbia na hapo red sea muda si mrefu atakimbiaTunasemaga humu ndani US ni kitu kingine kabisa, sasa hivi anapigana Ukraine, anapiga drills Taiwan if mchina akijichanganya, bado yupo Black sea akiwa na Israel, na bado ana hamu na Iran.
Hakuna mwanaume mwenye huu ubavu wa kusimama namna hii.