Kanda ya Ziwa hawamtaki Zitto na ACT-Wazalendo, anapoteza muda

Kanda ya Ziwa hawamtaki Zitto na ACT-Wazalendo, anapoteza muda

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Nimefuatilia Ziara zao hao Act Wazalendo hawana sapoti kabisa. Hata vijiwe vyote muhimu hapa Mwanza wanamponda na kumuona kibaraka wa mafisadi aliyajaa unafiki. Watu wa kanda ya ziwa hawamtaki Zitto kabisa.

Angalia hata ziara zao hazina mvuto Zitto anapoteza Muda kabisa.
👇
Screenshot_20220502-191918.jpg
 
Nimefuatilia Ziara zao hao Act Wazalendo hawana sapoti kabisa. Hata vijiwe vyote muhimu hapa Mwanza wanamponda na kumuona kibaraka wa mafisadi aliyajaa unafiki. Watu wa kanda ya ziwa hawamtaki Zitto kabisa.

Angalia hata ziara zao hazina mvuto Zitto anapoteza Muda kabisa.
👇View attachment 2208901
Kifo cha Magufuli kimeiumiza kanda ya ziwa sasa yeyeto anaye mdhihaki au kumponda Magufuli lazima achukiwe

Sio Zito na chama chake pekee, hata Samia, Mbowe wanachukiwa balaa

Kikipatikana chama na kiongozi anayejua uchungu wa kufiwa kwa kuwafariji kanda ya ziwa na kutowadhihaki atabeba kura zote
 
Nimefuatilia Ziara zao hao Act Wazalendo hawana sapoti kabisa. Hata vijiwe vyote muhimu hapa Mwanza wanamponda na kumuona kibaraka wa mafisadi aliyajaa unafiki. Watu wa kanda ya ziwa hawamtaki Zitto kabisa.

Angalia hata ziara zao hazina mvuto Zitto anapoteza Muda kabisa.
👇View attachment 2208901
Wakati amekuwa rafiki yenu kipindi Cha miaka karibu 6iliyopita
 
Nimefuatilia Ziara zao hao Act Wazalendo hawana sapoti kabisa. Hata vijiwe vyote muhimu hapa Mwanza wanamponda na kumuona kibaraka wa mafisadi aliyajaa unafiki. Watu wa kanda ya ziwa hawamtaki Zitto kabisa.

Angalia hata ziara zao hazina mvuto Zitto anapoteza Muda kabisa.
[emoji116]View attachment 2208901
Acha kuwasingizia watu wa kanda ya ziwa mambo yako ya hovyo! Alichokisema Zitto kuhusu uovu wa Magufuli ni kweli tupu. Tunataka wapatikane akina Zitto wengi ili kuweka wazi uovu wa Utawala wa hayati Magufuli ili nchi yetu isije ikapata kiongozi muovu wa aina hiyo tena!
 
Kifo cha Magufuli kimeiumiza kanda ya ziwa sasa yeyeto anaye mdhihaki au kumponda Magufuli lazima achukiwe

Sio Zito na chama chake pekee, hata Samia, Mbowe wanachukiwa balaa

Kikipatikana chama na kiongozi anayejua uchungu wa kufiwa kwa kuwafariji kanda ya ziwa na kutowadhihaki atabeba kula zote

Mbowe anachukiwa kwa lipi?. Mtu alikiwa gerzani ametoka juzi. Msitengeneze Tanzania ya ukabila. Halafu usiseme Kanda ya ziwa Seema Geita hasa chato. Maana usisahau upinzani wanaungwa mkono Sana Kanda hiyo.
 
Nimefuatilia Ziara zao hao Act Wazalendo hawana sapoti kabisa. Hata vijiwe vyote muhimu hapa Mwanza wanamponda na kumuona kibaraka wa mafisadi aliyajaa unafiki. Watu wa kanda ya ziwa hawamtaki Zitto kabisa.

Angalia hata ziara zao hazina mvuto Zitto anapoteza Muda kabisa.
👇View attachment 2208901

Siyo Kanda ya Ziwa tu, ACT hata Kigoma kwao imekufa kabisa imebaki Zanzibar. Na Zitto anajikomba ili 2025 aachiwe majimbo ya Zanzibar maana ndicho alichobakiza.
 
Kanda ya ziwa Wana asili ya ukabila na ubaguzi.

Hawafai kuongoza taifa
 
Mbowe anachukiwa kwa lipi?. Mtu alikiwa gerzani ametoka juzi. Msitengeneze Tanzania ya ukabila. Halafu usiseme Kanda ya ziwa Seema Geita hasa chato. Maana usisahau upinzani wanaungwa mkono Sana Kanda hiyo.
Na mie nashangaa, Kanda ya ziwa ipi hiyo? Huko Mara, Shinyanga, ukerewe, na Kagera mbona miaka yote hupigia upinzani. Hata hapo Geita Mjini pamoja na kuiba ila ukiangalia Gap la kura ilikua 30,000 CCM kwa 17,000 za CHADEMA!!

So msigeneralise, Kanda ya ziwa haijawahi kuwa dominated na CCM
 
Wanaopoteza muda ni wafuasi wake Zitto lkn yeye zitto kama Zitto hakuna anachopoteza, malengo yake yakishatimia kitambo, subiri uchaguzi 2025 atakavyomwagiwa mapesa.
 
Kifo cha Magufuli kimeiumiza kanda ya ziwa sasa yeyeto anaye mdhihaki au kumponda Magufuli lazima achukiwe

Sio Zito na chama chake pekee, hata Samia, Mbowe wanachukiwa balaa

Kikipatikana chama na kiongozi anayejua uchungu wa kufiwa kwa kuwafariji kanda ya ziwa na kutowadhihaki atabeba kula zote
Sahihi na hii kuitwa sukuma gang ndiyo kabisa
 
Mbowe anachukiwa kwa lipi?. Mtu alikiwa gerzani ametoka juzi. Msitengeneze Tanzania ya ukabila. Halafu usiseme Kanda ya ziwa Seema Geita hasa chato. Maana usisahau upinzani wanaungwa mkono Sana Kanda hiyo.
Kwa asili watu wa kanda ya ziwa si wakabila (kwa maana ya ubaguzi) ila dhihaka iliyofanywa na inayoendelea kufanywa juu yao ndio inaowafikirisha zaidi

Upinzani uliungwa mkono miaka hiyo, leo nao hawakubiliki kama CCM tuu; haiitaji PhD kuelewa jambo hili, hivi watu wanadhihakiwa kutokana na asili zao (mfano wanaitwa wachunga ng'ombe, wakuja, washamba), wanatukaniwa mtu waliemheshimu, mpenda na kumwamini (JPM) then watawapendaje wanaofanya hivyo?

Usifikiri ni Geita tuu, ni pamoja na Mwanza, Kagera, Mara, Simiyu na Shinyanga

Tabora baadhi ya sehemu

Kwa Dar kuna Vingunguti, Tabata, Kinyerezi, Ulongoni, Ukonga, Kitunda, Gongo la Mboto, Chanika, nk.

Na usifikiri ni wasukuma tuu, ni pamoja na watu kutoka Mara (wakurya), wakerewe, wahaya, nk.
 
Mbowe anachukiwa kwa lipi?. Mtu alikiwa gerzani ametoka juzi. Msitengeneze Tanzania ya ukabila. Halafu usiseme Kanda ya ziwa Seema Geita hasa chato. Maana usisahau upinzani wanaungwa mkono Sana Kanda hiyo.
Mbowe amekuwa akimsingizia hayati Magufuli vitu vya hovyo Sana ndiyo maana anachukiwa
 
Na mie nashangaa, Kanda ya ziwa ipi hiyo? Huko Mara, Shinyanga, ukerewe, na Kagera mbona miaka yote hupigia upinzani. Hata hapo Geita Mjini pamoja na kuiba ila ukiangalia Gap la kura ilikua 30,000 CCM kwa 17,000 za CHADEMA!!

So msigeneralise, Kanda ya ziwa haijawahi kuwa dominated na CCM
Wewe ni mjinga endelea kujifariji kipindi hiki hali ni tofauti na haijawahi kuwako Sasa endelea na ngonjera zako
 
Nimefuatilia Ziara zao hao Act Wazalendo hawana sapoti kabisa. Hata vijiwe vyote muhimu hapa Mwanza wanamponda na kumuona kibaraka wa mafisadi aliyajaa unafiki. Watu wa kanda ya ziwa hawamtaki Zitto kabisa.

Angalia hata ziara zao hazina mvuto Zitto anapoteza Muda kabisa.
👇View attachment 2208901
Kanda ya ziwa gani? Acha uwongo hapa. Wale Wasukuma original siyo wabaguzi Wala siyo wakabila, ni watu wako very fair.

Tatizo liko kwa zile kabila ndogo ndogo pembeni ya Wasukuma kama wazinza, warongo, wasubi, wazilankende na wayango. Hizi vikabila ndiyo vinamshabikia sana Magufuli. Nahisi hata huyu Nyankurungu2020 anatoka kwenye jamii hiyo.
 
Back
Top Bottom