Kanda ya Ziwa: Tetemeko la Ardhi la ukubwa wa 4.5 kwa vipimo vya Richa latikisa


Hiyo 4.5 umeipataje mkuu, tufundishe namna ya kufanya hiyo hesabu
 
Hawajasema uelekeo wake?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ripoti yao litasema liikuwa liwe la 6.02 lakini kutokana na juhudi basi limepungua kasi wenyewe hasa baada ya tetemeko kujuwa yuko maeneo hayo!
 
Niko moro hapa bado halijapita ngoja tuendelee kusubiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…