Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Imekaa kama kusuta suta hivi.Ni vema ujumbe huu ungemuandikia muhusika maana unamjua.Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.
Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.
Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!
Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!
Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Acheni ujinga nyie, eti ndio kuna wanaume, kwahiyo Kanda zingine Kuna kina nani?
Mjane baba yako!Ni wajane.
Kwani nyie fisi mna nini?!Kweli wasukuma ni wa hovyo. Kanda ya ziwa mna nini nchi hii. Labda uchawi na kuua zeruzeru. Kinda ya watu wajinga zaidi Tanzania. Hebu nyamazeni vaeni tunguri zenu na hirizi. Hovyo kabisa
Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.
Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.
Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!
Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!
Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Mimi niko kinda ya ziwa lakini hoja yako umechanganya na harufu ya shetani aliyeibuka nchini kunzia 2015 imenuka na umeitia kinyaa. Kazikwe na chuma chako ndio maana umejaa ubaguzi unalalama tu, kafanye kaziLabda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.
Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.
Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!
Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!
Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Kweli wasukuma ndio hasa mlifiwa na dikteta JPMLabda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.
Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.
Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!
Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!
Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
kiukweli kuna ukweli flani katika andiko lako mungu wa mbinguni awe nawe amina! kwa wale wakiristo tukumbuke kwenda kusali siku ya leo.Mimi natoka kanda ya ziwa mkuu, JPM aliondoka mwenyewe kwa matatizo ya moyo ya zaidi ya miaka kumi (hofu ni covid 19).
Sio kila msiba ni mkono wa mtu, wengi tu wanakufa vifo vya kawaida. Tena tumshukuru Mungu tupunguze hizi kufuru aliweza kuishi na matatizo ya moyo kwa muda mrefu na kama asingejipa mawazo mengi kichwani mwake pengine mpaka leo tungekuwa nae.
Alipenda sana kuyachukua matatizo mengi ya wananchi na kuyafanya ya kwake binafsi. Mungu amrehemu.
Mimi natoka kanda ya ziwa mkuu, JPM aliondoka mwenyewe kwa matatizo ya moyo ya zaidi ya miaka kumi (hofu ni covid 19).
Sio kila msiba ni mkono wa mtu, wengi tu wanakufa vifo vya kawaida. Tena tumshukuru Mungu tupunguze hizi kufuru aliweza kuishi na matatizo ya moyo kwa muda mrefu na kama asingejipa mawazo mengi kichwani mwake pengine mpaka leo tungekuwa nae.
Alipenda sana kuyachukua matatizo mengi ya wananchi na kuyafanya ya kwake binafsi. Mungu amrehemu.
Sasa mkiwakataa sisi tuwasieiaje? Mtaishia hivyo hivyo wenzenu wanasiei kupetaLabda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.
Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.
Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!
Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!
Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Itapendeza Sana mkifanya hivyo usuri mna njaa kama zote huko.Hivi kwanini tusianzishe harakati za kujitenga tuwe nchi? jah bless lake zone
Njaa ikiwa kali zaidi hiyo mitungi wataiuza kama screpa..muda utaongea.ni aibu kubwa kwa waziri wa nishati kudanganya umma kwa kuwapa mitungi ya gesi tena wana ccm wenzake huku akisema zama zimebadilika tunataka kuondokana na nishati ya mkaa! hivi huyu jamaa anaona watanzania hawana akili unaweza kuondokana na nishati ya mkaa kwa kugawa mitingi ya gesi tena kwa wana ccm wenzako halafu hiyo mitungi na gesi yenyewe iliyoghari atanunulia nini! labda kama wanakaa na mitungi ndani kama picha
waziri badala ya kutafta suluhisho ya upandaji wa mafuta na gesi pamoja na umeme kukatikakatika yeye anazunguka na kugawa mitungi hii nchi ngumu sana aisee
Mademu kama wewe ndio mnaopaniki pole sana mwajumaAcheni ujinga nyie, eti ndio kuna wanaume, kwahiyo Kanda zingine Kuna kina nani?
Acheni ujinga wa ukabila nyinyi, hamna lolote la kuzidi labda ushamba tu ndo mnawazidi Kanda zingine.
Unajiona mjanja sana mwenyeweMademu kama wewe ndio mnaopaniki pole sana mwajuma
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.
Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.
Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!
Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!
Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Hivi umoja party bado ipo maana siisikii kabisa sasa!
UntrueMimi natoka kanda ya ziwa mkuu, JPM aliondoka mwenyewe kwa matatizo ya moyo ya zaidi ya miaka kumi (hofu ni covid 19).
Sio kila msiba ni mkono wa mtu, wengi tu wanakufa vifo vya kawaida. Tena tumshukuru Mungu tupunguze hizi kufuru aliweza kuishi na matatizo ya moyo kwa muda mrefu na kama asingejipa mawazo mengi kichwani mwake pengine mpaka leo tungekuwa nae.
Alipenda sana kuyachukua matatizo mengi ya wananchi na kuyafanya ya kwake binafsi. Mungu amrehemu.
Weka wazi ukweli unaoujua wote tuufahamu.Untrue