Kanda ya Ziwa Tulishawakataa wote walokataliwa na Hayati Magufuli

Kanda ya Ziwa Tulishawakataa wote walokataliwa na Hayati Magufuli

Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.

Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.

Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!

Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!

Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Imekaa kama kusuta suta hivi.Ni vema ujumbe huu ungemuandikia muhusika maana unamjua.
 
Kweli wasukuma ni wa hovyo. Kanda ya ziwa mna nini nchi hii. Labda uchawi na kuua zeruzeru. Kinda ya watu wajinga zaidi Tanzania. Hebu nyamazeni vaeni tunguri zenu na hirizi. Hovyo kabisa
Kwani nyie fisi mna nini?!
 
Endelea kubwabwaja tu kama kubwa jinga
Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.

Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.

Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!

Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!

Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
 
Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.

Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.

Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!

Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!

Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Mimi niko kinda ya ziwa lakini hoja yako umechanganya na harufu ya shetani aliyeibuka nchini kunzia 2015 imenuka na umeitia kinyaa. Kazikwe na chuma chako ndio maana umejaa ubaguzi unalalama tu, kafanye kazi
 
Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.

Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.

Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!

Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!

Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Kweli wasukuma ndio hasa mlifiwa na dikteta JPM
 
Mimi natoka kanda ya ziwa mkuu, JPM aliondoka mwenyewe kwa matatizo ya moyo ya zaidi ya miaka kumi (hofu ni covid 19).

Sio kila msiba ni mkono wa mtu, wengi tu wanakufa vifo vya kawaida. Tena tumshukuru Mungu tupunguze hizi kufuru aliweza kuishi na matatizo ya moyo kwa muda mrefu na kama asingejipa mawazo mengi kichwani mwake pengine mpaka leo tungekuwa nae.

Alipenda sana kuyachukua matatizo mengi ya wananchi na kuyafanya ya kwake binafsi. Mungu amrehemu.
kiukweli kuna ukweli flani katika andiko lako mungu wa mbinguni awe nawe amina! kwa wale wakiristo tukumbuke kwenda kusali siku ya leo.
 
Mimi natoka kanda ya ziwa mkuu, JPM aliondoka mwenyewe kwa matatizo ya moyo ya zaidi ya miaka kumi (hofu ni covid 19).

Sio kila msiba ni mkono wa mtu, wengi tu wanakufa vifo vya kawaida. Tena tumshukuru Mungu tupunguze hizi kufuru aliweza kuishi na matatizo ya moyo kwa muda mrefu na kama asingejipa mawazo mengi kichwani mwake pengine mpaka leo tungekuwa nae.

Alipenda sana kuyachukua matatizo mengi ya wananchi na kuyafanya ya kwake binafsi. Mungu amrehemu.

Nina mashaka na watu wengi kutojua kama JPM alikuwa na matatizo ya moyo ya muda mrefu mpaka kuwekewa mashine kumsaidia mapigo ya moyo nk.

Binafsi nilikuwa naiona risk na hatari aliyokuwa nayo vs matatizo yake yakiafya.
Aina ya ufanyaji kazi wa marehemu JPM ilikuwa inamuweka hatarini sana kutokana na matatizo yake ya kiafya.
 
Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.

Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.

Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!

Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!

Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!
Sasa mkiwakataa sisi tuwasieiaje? Mtaishia hivyo hivyo wenzenu wanasiei kupeta
 
ni aibu kubwa kwa waziri wa nishati kudanganya umma kwa kuwapa mitungi ya gesi tena wana ccm wenzake huku akisema zama zimebadilika tunataka kuondokana na nishati ya mkaa! hivi huyu jamaa anaona watanzania hawana akili unaweza kuondokana na nishati ya mkaa kwa kugawa mitingi ya gesi tena kwa wana ccm wenzako halafu hiyo mitungi na gesi yenyewe iliyoghari atanunulia nini! labda kama wanakaa na mitungi ndani kama picha

waziri badala ya kutafta suluhisho ya upandaji wa mafuta na gesi pamoja na umeme kukatikakatika yeye anazunguka na kugawa mitungi hii nchi ngumu sana aisee
Njaa ikiwa kali zaidi hiyo mitungi wataiuza kama screpa..muda utaongea.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Acheni ujinga nyie, eti ndio kuna wanaume, kwahiyo Kanda zingine Kuna kina nani?

Acheni ujinga wa ukabila nyinyi, hamna lolote la kuzidi labda ushamba tu ndo mnawazidi Kanda zingine.
Mademu kama wewe ndio mnaopaniki pole sana mwajuma


#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.

Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.

Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!

Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa, njozi zake bado zinaishi kwa Wana Kanda ya Ziwa!

Ieleweke tu kwamba, mgawa majiko na wenzio, Kanda ya Ziwa hamkubaliki!!

Sio kanda ya ziwa tu pekeake, nikwa wa Tanzania wote wenye akili na wazalendo.
 
Mimi natoka kanda ya ziwa mkuu, JPM aliondoka mwenyewe kwa matatizo ya moyo ya zaidi ya miaka kumi (hofu ni covid 19).

Sio kila msiba ni mkono wa mtu, wengi tu wanakufa vifo vya kawaida. Tena tumshukuru Mungu tupunguze hizi kufuru aliweza kuishi na matatizo ya moyo kwa muda mrefu na kama asingejipa mawazo mengi kichwani mwake pengine mpaka leo tungekuwa nae.

Alipenda sana kuyachukua matatizo mengi ya wananchi na kuyafanya ya kwake binafsi. Mungu amrehemu.
Untrue
 
Mimi kilichonishangaza waziri kuipigia promo kampuni ya Rostam(TAIFA) huku akizitenga kampuni zingine shindani.

NB:Kanda ya ziwa acheni ukabila hauna afya kwa taifa letu.
 
Back
Top Bottom