Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Bora walilie Chuo kikuu cha serikali ambacho hakuna kanda yoteWakati tunashauri kujenga chato ni upotevu wa hela na tulisema zile hela mlizojengea chato mngeboresha uwanja wa Mwanza mlikuja na kauli za kibabe sana. Mlitudhihaki kwa maneno makali sana. Huu uwanja ulikuwepo na ulikuwa very strategic na tulisema sana juu ya hili.
Shida mnajiziba masikio mnatawaliwa na ukanda.
Uliona wapi katika nchi zetu za kimaskini hizi kukawa na International Airports 2 kwa utofauti wa 127km (Air line)??
Kanda ya ziwa waombe Chuo Kikuu cha serikaliSiungi mkono hoja hii kwasababu uwanja wa ndege sio hitaji la walio wengi Mwanza. Ni hitaji la matajiri wachache napanda ndege. Wananchi waliowengi usafiri wetu ni barabara, sasa Busisi barabara inakwenda kukamilika. Doto Biteko huyo ndiye Waziri Mkuu ajaye, Makonda huyo anakuja kuingia Bungeni kuwa Waziri. Luhaga Mpina huyo kwa sasa anapiga sana kelele, soon atatupiwa fupa lenye bonge la nyama, atanyamaza!. 2025 kura zote Kanda ya Ziwa ni kule kule kwa siku zote!.
P
P
Matumizi mabaya ya fedha ummaYaan nyie wakati uwanja wa chato unajengwa mlikaa kimya, badala ya kupigia kelele ujenzi wa mwanza mkaacha Mzee akaenda kujenga
Leo nimemsikiliza Musukuma akizungumzia kuchelewesha kuhusu jengo la uwanja wa ndege wa Mwanza na miundo mbinu yake kuufanya uwe wa kimataifa.
Hali hii kwa sasa inatoa picha kama alivyosema Msukuma dharau kwa kanda ya ziwa haijalishi Makonda ni Mwenezi au Dotto ni Naibu Waziri Mkuu,kisiasa haitatosha kuwashawishi wananchi ambao ni wazi wanaonekana kutengwa kupitia uwanja huu, Songwe umejengwa, Arusha, Tanga,Dodoma,Tabora, Kigoma lakini kwenye mpango wa sasa uwanja huu haumo.
Ni nani anayeupiga vita. Rais kwa hili tunaomba uingilie kati kwa jinsi utakavyoona inafaa. Aidha barabara njia nne za kuingia jijini zimetupiliwa mbali hakuna anayezungumzia kwenye Mpango. Nadhani miji kama Mwanza Mbeya ni wakati wa kujenga njia nne kama ilivyo kwa Dar.
Kura ziko nyingi sana kwenye maeneo haya siyo ya kufanyia mzaha. Makonda pata maelezo ya miradi hii uondoe lawama.
Na vyote hivi vilijengwa kistrategia Kilimanjaro langu kuu la watalii, Julius Nyerere Lango kuu la kibiashara, Zanzibar lango kuu la utalii zanzibar na mdau wa muungano. Wasukuma acheni ukabila hii nchi ni ya woteeSongwe umejengwa, Arusha, Tanga,Dodoma,Tabora, Kigoma
Ukiacha Msalato, viwanja vya:
- Tanga
- Tabora
- Kigoma
- Arusha
Sio vizuri na havina facilities nzuri kama uwanja wa Mwanza, and none of them are international.
Sasa sijui argument yako ni nini? Kiwanja pekee ambacho recently kimejengwa international ni Msalato.
Hivi unajua Tanzania kuna viwanja vi 3 tu internafional?
- Dar es salaam
- Kilimannaro
- Zanzibar
?????????????????
Halafu mlivyo wajinga mnasema kabisa, eti Makonda kupewa cheo na waziri kuu msaidia ambao wanatoka kanda ya ziwa, haitoshi?
Kwani kanda ya ziwa wanapewa vyeo kwa sababu labda wanabembelezwa kitu gani? Wanaombwa nini au watu wa kanda ya ziwa?
Na vyote hivi vilijengwa kistrategia Kilimanjaro langu kuu la watalii, Julius Nyerere Lango kuu la kibiashara, Zanzibar lango kuu la utalii zanzibar na mdau wa muungano. Wasukuma acheni ukabila hii nchi ni ya wotee
ukabila haujawahi kumwacha mtu salama, ila mama ana akili mingi atawaweka sawa tuHao jamaa ni wajinga sijawahi kuona, na vyote vilijengwa akiwa Rais wa Kanda yao Nyerere!
Toka Nyerere avijenge, Kiwanja pekee international kimejengwa ni:
- Chato 'kanda ya ziwa'
- Msalato - wazo ma Magufuli kanda ya ziwa.
Sasa huyu tutusa analalamika nini?
Halafu yule mwehu anatumia Tsh 54 Bilion kujenga white elephant Chato. Bado Watanzania wanamuita mzalendo. Kweli ujinga Tanzania ni tatizo kubwa kuliko umaskini.Leo nimemsikiliza Musukuma akizungumzia kuchelewesha kuhusu jengo la uwanja wa ndege wa Mwanza na miundo mbinu yake kuufanya uwe wa kimataifa.
Hali hii kwa sasa inatoa picha kama alivyosema Msukuma dharau kwa kanda ya ziwa haijalishi Makonda ni Mwenezi au Dotto ni Naibu Waziri Mkuu,kisiasa haitatosha kuwashawishi wananchi ambao ni wazi wanaonekana kutengwa kupitia uwanja huu, Songwe umejengwa, Arusha, Tanga,Dodoma,Tabora, Kigoma lakini kwenye mpango wa sasa uwanja huu haumo.
Ni nani anayeupiga vita. Rais kwa hili tunaomba uingilie kati kwa jinsi utakavyoona inafaa. Aidha barabara njia nne za kuingia jijini zimetupiliwa mbali hakuna anayezungumzia kwenye Mpango. Nadhani miji kama Mwanza Mbeya ni wakati wa kujenga njia nne kama ilivyo kwa Dar.
Kura ziko nyingi sana kwenye maeneo haya siyo ya kufanyia mzaha. Makonda pata maelezo ya miradi hii uondoe lawama.
hawa jamaa wanatia hasira kweli, mkoa wa mwanza tu unazo stendi kubwa za kisasa mbili na huku mikoa mingine stendi ni barabaraniMpwa hawa jamaa wa kanda maalumu ni wabinafsi kweli, ni aibu kulilia viwanja vya ndege wakati maeneo mengine hata stendi za mabasi ni ishu...
ukabila na ubinafsi ni adui mkubwa wa maendeleoHalafu yule mwehu anatumia Tsh 54 Bilion kujenga white elephant Chato. Bado Watanzania wanamuita mzalendo. Kweli ujinga Tanzania ni tatizo kubwa kuliko umaskini.
View attachment 2809330
Imagine kama ile hela ya Chato angeiweka hapo Mwanza, ingekuwa ndiyo Airport kubwa kuzunguka majiji yaliyo pembezoni mwa lake Victoria
Very very soon, tutaanzia na chuo BOT, then Nyegezi, then Butimba.Kanda ya ziwa waombe Chuo Kikuu cha serikali
Sijaona andiko lolote kuhusiana na hivyo vyuo wala tamko la BO.Very very soon, tutaanzia na chuo BOT, then Nyegezi, then Butimba.
P
viwanja vya arusha na moshi ni vidogo kaka ni kwa ajili ya shughuli ndogondogo tu, tatizo lako wewe huna taarifa; ukiondoa kia, dar, msalato na zanzibar, uwanja unaofuata kwa ukubwa ni mwanza bila kuusahau international airport ya chatoMahitaji ya uwanja Mwanza ni takwa la kiuchumi, fikiria strategic position ya Mwanza na mchango wa jiji na uwanja huo kwenye uchumi wa Taifa kwa nini usiboreshwe kuwa uwanja wa kimataifa kulingana Ilani ya Uchaguzi. Hapa tusiingize hoja mfu tuzingatie maslahi mapana ya nchi. Angalia Kisumu intern airport wenzetu majirani wametupiku. Mseveni alishauri uwanja uboreshwe ili biashara katì ya Uganda,Kenya,Rwanda, Burundi na Tanzainia Mwanza ikiwa kama kitovu iweze kufanikiwa. Eneo hili lisikomolowe sababu ya uwanja Chatto vinginevyo mbona Arusha kuna kiwanja na Kia kuna kiwanja km 200 tu, na Moshi kuna kiwanja km 100 comparison hii ya Chatto na Mwanza haina mashiko. Uwanja wa Chatto ni wa mkoa wa Geita. Tunazungumzia Mwanza airport sura ya kitaifa. Kwa namna yoyote tusiingize siasa na ukabila kwenye maduala ya kitaifa, uwanja wa Mwanza ni suala la Uchumi alisema Adam Malima.