Hao wanatafuta uchizi kwa lazima ,haipiti wiki Kama hawajakamatwa ,watakua vichaa au marehemu,wakaombe msamaha ndio pona yao,chezea kote lakini sio turbenako
Huwa sijadili mambo ya maana na mtu punguani wa kiwango chako. Hutakiwi kuchangia hoja yangu. Najadiliana na watu wenye akili timamu tu.Huna akili. Kwahiyo umegeuka vyombo vyaa usalama sasa unatoa na ripoti kabisa
Wali taka kuiba warakaHabari wana jamvi.
Hii ndio taarifa juu ya tukio na maamuzi yaliuochkuliwa baada ya watu/ mtu kjvunja , kukufuru na kunajisi kanisa katoliki lililoko Buzirayombo.
View attachment 2737212
Huyo Faizafoxy, kauli zake na bila shaka matendo yake, yanaashiria ni uzao wa shetani. Yumkini ni yale majini, tunayosimliwa kuwa yanayochukua sura za wanadamu.Nilivyokusoma hapa nikashangaa, huyu bibi wa chuki kila siku, leo anajidai kubadilika?!Lakini nilipokuja kukusoma hapa, nikajua hamna kitu, bibi wa madrassa na chuki ni kama pete na kidole.
La Geita lilifungwa CCTV cameras za kutosha lakini jamaa walitumia utaalamu mkubwa kuziharibu zote na bado tukaambiwa aliyeharibu alikuwa kichaa. Kichaa gani anahatibu kamera kwanza na bado haonekani then anafanya uharibifu nyumba ya Ibadan?Makanisa yafungwe CCTV cameras aisee. Shetani ni pumbavu kabisa na hana akili.
wamenajisi kwa kufanya nini kingine?Habari wana jamvi.
Hii ndio taarifa juu ya tukio na maamuzi yaliuochkuliwa baada ya watu/ mtu kjvunja , kukufuru na kunajisi kanisa katoliki lililoko Buzirayombo.
View attachment 2737212
Inashangaza sana....Kuna raia wana akili mbovuDuh,,, saiv watu wananjaa yaan uvunje church ili ule ekarist😅
Kanisa Katoliki hakika linadhihirisha unyenyekevu wa moyo.
Ukisoma katika andiko hilo kuna sehemu wanahimiza. Naomba kunukuu;
"Kwa kipindi hicho jamii nzima ya waumini katika Jimbo la Rulenge - Ngara inahimizwa kusali,kufunga, kufanya toba na malipizi kwa Mwenyenzi Mungu ili abadilishe mioyo ya watu wenye nia ovu kwa mambo matakatifu"
Pamoja na najisi iliyofanyika na watu hao, kanisa haliwaombei laana. Kanisa haliwaombei kifo, wala haiitishi Albadiri kwa ajili ya kuwaombea mateso.
Bali kanisa linaomba ili Mwenyenzi Mungu aweze kubadili mioyo yao. Nia zao mbaya zikapate kutoweka na wapate kumrudia Mungu kwa moyo wa toba.
Hapa kanisa linaiishi neno la Mungu la kutotaka kulaani ili tusijelaaniwa.
Ee Mwenyenzi Mungu wasamehe watu hao na mioyo yao ikajihisi wenye kukosa na wapate kurudi kwako tena.
Amen.
Ficha Upumbavu wako!ccm ni wapumbavu sana wanafikir kutuma vibaka ndio itazuia kusoma waraka wa TEC.
Habari wana jamvi.
Hii ndio taarifa juu ya tukio na maamuzi yaliuochkuliwa baada ya watu/ mtu kjvunja , kukufuru na kunajisi kanisa katoliki lililoko Buzirayombo.
View attachment 2737212Mwambieni lile zee la upako kuwa PM leo alikuwa Tanga kwenye sherehe za kuwekwa wakfu askofu wa Jimbo Katoliki la Tanga, ana lipi la kusema
Hujioni na uchizi wako?Huwa sijadili mambo ya maana na mtu punguani wa kiwango chako. Hutakiwi kuchangia hoja yangu. Najadiliana na watu wenye akili timamu tu.
😅😅Hao ni ccm na makuwadi yao.