Kanisa Katoliki lapoteza Mapadri 25 na Watawa 60 kwa tatizo la upumuaji ndani ya miezi miwili

Kanisa Katoliki lapoteza Mapadri 25 na Watawa 60 kwa tatizo la upumuaji ndani ya miezi miwili

Mungu siyo Lisu
1614767330602.png
 
Kwa hiyo wewe unavyoona rate ya vifo kule marekani ni sawa na ya hapa kwetu?

Kifo hakifichiki, siyo kwamba hakuna waliokufa, wapo ila si kwa wingi mnaotka kutuaminisha
Ulikimbia hesabu huwezi kuelewa nachoongea kabisaa...
 
DIWANI NA TIMU YAKO MPE HELA CHIZI YOTE AWAJIBU HAWA MAASKOFU WA RC. UNAWEZA KUMTUMIA HATA COMMANDO MASHIMO, RASHIDI GWAJIMA, BILA KUMSAHAU YULE KIJANA ALIYEENDA KUGOMBEA JIMBO LA KANGI LUGOLA.
 
Acha kutuchonganisha na viongozi wetu wa kiroho kwa ushirikina wako! Kama ingekuwa swala la Imani.....basi tusingekuwa na hospitali....wala magereza wala kufuata sheria za barabarani...maana Mungu angefanya kila kitu.

Vijana wa siku hizi siasa zimewafukarisha akili.
Biblia inatamka wazi kuwa hukumu itaanzia nyumba ya Mungu sababu haimpi utukufu Mungu sasa hivi kwenye Corona wanasayansi ndio wanapewa utukufu na maaskofu masista wachungaji na mapadre tujiandae kuzika wengi zaidi ya hao kuanzia maaskofu mapadre wachungaji masista nk hawa waliokufa cha mtoto.

Narudia hukumu ya Mungu imeanza kanisani.Yeyote asiyekiri Mungu Kuwa Bwana na Mwokozi kwenye Corona ajiandae kuondoka na Corona.Watengeneze mambo yao saa yeyote wanaondoka
 


Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Padri Charles Kitima amesema kuwa ndani ya miezi miwili iliyopita zaidi ya mapadri 25, masista na manesi 60 na wenyeviti wawili wa Baraza la Walei wamefariki dunia kwa sababu mbalimbali ikiwemo changamoto ya upumuaji.

Ameongeza kuwa vifo vinaendelea na kuwataka Watanzania kuendelea kuchukua tahadhari na kuacha mzaha katika katika suala zima la Corona.

Huyu Mungu si hirizi, anataka kila binadamu awajibike na atumie uwezo wake kufikiri. Corona ipo, unaambiwa chukua tahadhari unasema mimi nasali. Mungu wetu anataka watu wawajibike, si kusema tu, tunasali - Ameongeza Padri Charles Kitima
SASA huyu kiongozi wangu Anataka wasife au ??

Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
 
We acha tu, nilikaa week mbili akili haina utulivu. Kwa sasa kidogo hata kazini napiga kazi kama kawaida. Kufiwa kusikie kwa mwenzio tu.
Pole sana mkuu, mi mwenyewe ndio hali imetengemaa sasa.
 


Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Padri Charles Kitima amesema kuwa ndani ya miezi miwili iliyopita zaidi ya mapadri 25, masista na manesi 60 na wenyeviti wawili wa Baraza la Walei wamefariki dunia kwa sababu mbalimbali ikiwemo changamoto ya upumuaji.

Ameongeza kuwa vifo vinaendelea na kuwataka Watanzania kuendelea kuchukua tahadhari na kuacha mzaha katika katika suala zima la Corona.

Huyu Mungu si hirizi, anataka kila binadamu awajibike na atumie uwezo wake kufikiri. Corona ipo, unaambiwa chukua tahadhari unasema mimi nasali. Mungu wetu anataka watu wawajibike, si kusema tu, tunasali - Ameongeza Padri Charles Kitima

Hawa si kila siku wanavaa barakoa, na mwingine juzi kavaa Eye shield kabisa!
 
Back
Top Bottom