Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Duniani watu wenye akili wanatafuta chanjo iko wapi. Sisi tunaambiwa nyungu !!Ana dawa kakataa kukupa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duniani watu wenye akili wanatafuta chanjo iko wapi. Sisi tunaambiwa nyungu !!Ana dawa kakataa kukupa?
Mungu siyo Lisu
Ulikimbia hesabu huwezi kuelewa nachoongea kabisaa...Kwa hiyo wewe unavyoona rate ya vifo kule marekani ni sawa na ya hapa kwetu?
Kifo hakifichiki, siyo kwamba hakuna waliokufa, wapo ila si kwa wingi mnaotka kutuaminisha
Leta hizo hesabu ili mimi niliyekimbia nizielewe!Ulikimbia hesabu huwezi kuelewa nachoongea kabisaa...
Mungu siyo Lissu.
Chanjo hujakatazwa vuka hapo Kenya uende uchanjweDuniani watu wenye akili wanatafuta chanjo iko wapi. Sisi tunaambiwa nyungu !!
Mkuu hata kama ni kutetea unachokiamini, hebu basi wakati mwingine changanya hata na akili kidogo 🤣 🤣Chanjo hujakatazwa vuka hapo Kenya uende uchanjwe
Nenda shule Mkuu sio muda wa kufundishwa huuLeta hizo hesabu ili mimi niliyekimbia nizielewe!
Dawa ipi ya corona? Ingekuwepo watu laki 5 wamvekufa usa?Kwan hajui dawa zinapatikana wapi? Amuulize rafiki yake mseven atamsaidia jinsi ya kuzipata
Mungu hawezi kutekeleza maombi ya chuki, ila Mungu angekuwa Lisu hata jana Magu angeshaondoka.Lisu ametoka wapi tena hapa wakati tuko kwenye maombi
Biblia inatamka wazi kuwa hukumu itaanzia nyumba ya Mungu sababu haimpi utukufu Mungu sasa hivi kwenye Corona wanasayansi ndio wanapewa utukufu na maaskofu masista wachungaji na mapadre tujiandae kuzika wengi zaidi ya hao kuanzia maaskofu mapadre wachungaji masista nk hawa waliokufa cha mtoto.Acha kutuchonganisha na viongozi wetu wa kiroho kwa ushirikina wako! Kama ingekuwa swala la Imani.....basi tusingekuwa na hospitali....wala magereza wala kufuata sheria za barabarani...maana Mungu angefanya kila kitu.
Vijana wa siku hizi siasa zimewafukarisha akili.
Aisee!Mungu siyo Lisu.
SASA huyu kiongozi wangu Anataka wasife au ??
Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Padri Charles Kitima amesema kuwa ndani ya miezi miwili iliyopita zaidi ya mapadri 25, masista na manesi 60 na wenyeviti wawili wa Baraza la Walei wamefariki dunia kwa sababu mbalimbali ikiwemo changamoto ya upumuaji.
Ameongeza kuwa vifo vinaendelea na kuwataka Watanzania kuendelea kuchukua tahadhari na kuacha mzaha katika katika suala zima la Corona.
Huyu Mungu si hirizi, anataka kila binadamu awajibike na atumie uwezo wake kufikiri. Corona ipo, unaambiwa chukua tahadhari unasema mimi nasali. Mungu wetu anataka watu wawajibike, si kusema tu, tunasali - Ameongeza Padri Charles Kitima
Hahahahahahaha alikuwa mfuasi wake LAKINIHatari na nusuView attachment 1716243
Yaani hapo ndio kwenye balaa sasa.Hapo utajua kiasi gani waumini wamekufa pia.mapadri 25 na hao masister 60 wamekutana na wakristo wangapi katika kutoa huduma.
Leta takwimu mkuu tuone jinsi tunavyokufa kulinganisha na usaNenda shule Mkuu sio muda wa kufundishwa huu
Pole sana mkuu, mi mwenyewe ndio hali imetengemaa sasa.We acha tu, nilikaa week mbili akili haina utulivu. Kwa sasa kidogo hata kazini napiga kazi kama kawaida. Kufiwa kusikie kwa mwenzio tu.
Mungu hawezi kutekeleza maombi ya chuki, ila Mungu angekuwa Lisu hata jana Magu angeshaondoka.
Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Padri Charles Kitima amesema kuwa ndani ya miezi miwili iliyopita zaidi ya mapadri 25, masista na manesi 60 na wenyeviti wawili wa Baraza la Walei wamefariki dunia kwa sababu mbalimbali ikiwemo changamoto ya upumuaji.
Ameongeza kuwa vifo vinaendelea na kuwataka Watanzania kuendelea kuchukua tahadhari na kuacha mzaha katika katika suala zima la Corona.
Huyu Mungu si hirizi, anataka kila binadamu awajibike na atumie uwezo wake kufikiri. Corona ipo, unaambiwa chukua tahadhari unasema mimi nasali. Mungu wetu anataka watu wawajibike, si kusema tu, tunasali - Ameongeza Padri Charles Kitima