Kanisa Katoliki lapoteza Mapadri 25 na Watawa 60 kwa tatizo la upumuaji ndani ya miezi miwili

Kanisa Katoliki lapoteza Mapadri 25 na Watawa 60 kwa tatizo la upumuaji ndani ya miezi miwili

Huyo padri atueleze kazi ya sala nini? mtu anasali rozali mpaka anakaribia kuzimia kwa kurudia rudia akisali Salamu Maria anasali nini wakati Mungu sio Hirizi au kinga? si aache ?
Mithali 1:32 "Maana kurudi nyuma kwao wajinga kutawaua, Na kufanikiwa kwao wapumbavu kutawaangamiza." Sasa usichukue hatua tegemea Mungu atakujia hapo ulipo kukuokoa au lala ndani usali tu mwaka mzima usiende kufanya kazi wala kutafuta chakula Mungu atakuletea chakula. Mungu huwa hajaribiwi
 
Hii nchi, unaweza ukasikia yale ya Open University..., Taasisi na Wadau wenzake kuita Kikao na kumwambia aombe msamaha wa kutoa hizi Takwimu...
 
Masista na mapadre hawachanganyiki sana na watu watakuwa Corona wanapeana wenyewe sababu wai huenda sana Roma italia kwa papa

Corona ingekuwa ipo wabanana kwenye daladala na mwendo kasi na masokoni na mikutano ya kisiasa wangekufa kama kuku lakini hakuna mitaani uswahilini hali shwari ndicho kitu cha ajabu.Wanakufa mapadre na masisita wanaoishi maisha ya kujifungia na kukaa mbali na watu wakizingatia social distance kati yao waitwa na Yesu na watu wa kawaida!!!!
Kuna watu wanasubiria vifo kwenye ule umati wa mazishi ya Maalim vile wengi hawakuvaa barakoa
 
Niseme wazi kipindi hiki ni kila muumini asimame na imani yake asitegemee Askofu, padre, mchungaji wala sista wengi wametelekeza Mungu kama hana maana wala msaada kipindi hiki cha corona
 
Tukifuata njia za kisayansi tunakufa,tukifanya maombi twafa,si bora ya kufa tu
 
tatizo linakuja namna ya kutengua kauli ama msimamo wa mwanzo kwamba Corona haipo sababu ilishamalizwa na maombi.
Hiyo kauli yake itaondoka na watanzania wengi sana
 
Niseme wazi kipindi hiki ni kila muumini asimame na imani yake asitegemee Askofu,padre,mchungaji wala sista wengi wametelekeza Mungu kama hana maana wala msaada kipindi hiki cha corona
Ingekuwa rahisi hvyo hata YESU angekubali ushauri wa shetani na kujirusha kwenye ile minara ya Yerusalemu maana shetani alimwambia YESU kwamba MUNGU angemwokoa asipate madhara,Ila YESU alimjibu shetani kwamba usimjaribu bwana MUNGU wako,na hilo likawa pigo kwa shetani.MUNGU hajaribiwi
 
Masista na mapadre hawachanganyiki sana na watu watakuwa Corona wanapeana wenyewe sababu wai huenda sana Roma italia kwa papa

Corona ingekuwa ipo wabanana kwenye daladala na mwendo kasi na masokoni na mikutano ya kisiasa wangekufa kama kuku lakini hakuna mitaani uswahilini hali shwari ndicho kitu cha ajabu.Wanakufa mapadre na masisita wanaoishi maisha ya kujifungia na kukaa mbali na watu wakizingatia social distance kati yao waitwa na Yesu na watu wa kawaida!!!!
KAMA WEWE UJAKUTWA NA MSIBA WA CORONA MSHUKURU MUNGU KISHA KAA KIMYA, WENYEWE WANAISHI HUKU KILIMANJARO HASWA MAENEO YA KARIBU NA HOSPITAL, WALIJIONEA WENYEWE HASWA MWEZI WA PILI WATU TUMEHUDHURIA MAZIKO MPAKA TUKACHOKA.

MIMI MWENYEWE BINAFSI NILIFIWA NA BABA MKUBWA KWA TATIZO HILO HILO NA WALITANGAZA KABISA MSIBANI.
 
Kwahiyo unataka na sisi tujiachie tu kwa vile Marekani wanakufa.
Kuna mtu kakwambia jiachie?

Ninacho mananisha hapa ni watu kama nyie kumlaumu mtu kama vile kawashikia akili au ana dawa kakataa kuwapa, wakati hili ni janga la kimataifa. Na hata huko kwa wenzetu ndio wamekufa wengi zaidi.
 
KAMA WEWE UJAKUTWA NA MSIBA WA CORONA MSHUKURU MUNGU KISHA KAA KIMYA, WENYEWE WANAISHI HUKU KILIMANJARO HASWA MAENEO YA KARIBU NA HOSPITAL, WALIJIONEA WENYEWE HASWA MWEZI WA PILI WATU TUMEHUDHURIA MAZIKO MPAKA TUKACHOKA.
MIMI MWENYEWE BINAFSI NILIFIWA NA BABA MKUBWA KWA TATIZO HILO HILO NA WALITANGAZA KABISA MSIBANI.
Mwenyezi MUNGU ampitishe kwenye machungu wanayopitia wengine,ili utu na uelewa umwingie.
 
Hao ni pamoja na kwamba walichukua tahadhali,

Kwa sisi ambao hatukuchua tahadhali tungetegemea sasa hivi vifo viwe mara tano ya hivyo?
@Crimea Bila takwimu utajua Tanzania imeshapoteza watu wangapi ??!!!. Hivi tumelaaniwa na kurogwa na nani ?! SIASA ?
 


Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Padri Charles Kitima amesema kuwa ndani ya miezi miwili iliyopita zaidi ya mapadri 25, masista na manesi 60 na wenyeviti wawili wa Baraza la Walei wamefariki dunia kwa sababu mbalimbali ikiwemo changamoto ya upumuaji.

Ameongeza kuwa vifo vinaendelea na kuwataka Watanzania kuendelea kuchukua tahadhari na kuacha mzaha katika katika suala zima la Corona.

Huyu Mungu si hirizi, anataka kila binadamu awajibike na atumie uwezo wake kufikiri. Corona ipo, unaambiwa chukua tahadhari unasema mimi nasali. Mungu wetu anataka watu wawajibike, si kusema tu, tunasali - Ameongeza Padri Charles Kitima

Hasa Ma-ccm hayasikii!!! M/kiti wao aliwabeza watawa waliokuwa wamevaa barakoa kujikinga na maambukizi.
 
kuna muda unafika unapata majibu kwamba sisi watanzania wengi wetu ni wajinga wajinga- reasoning yetu ina mashaka makubwa
Tatizo ni wanaotuongoza wana akili kama za nyumbu they can't on the right path
 
Jiwe ameshindwa kabisa kuukubali ukweli.

Ee mwenyezi Mungu mtenda miujiza nakuomba unichukulie huyu mwanasiasa anayewadanganya wananchi kuwa hakuna janga huku wanaendelea kufa tu.
Mchukue hata akawe mfagia choo huko.
Amen.
 
Ee mwenyezi Mungu mtenda miujiza nakuomba unichukulie huyu mwanasiasa anayewadanganya wananchi kuwa hakuna janga huku wanaendelea kufa tu.
Mchukue hata akawe mfagia choo huko.
Amen.
🙏 🙏 🙏 ❣️

Amen!
 
Katoliki wameanza kumpa za uso mwana Kondoo wao!

Sasa hivi nimeamini Sasa, kwamba Katoliki wameona liwalo na liwe! Enzi za Jakaya kama ndiyo ingekua hivi,nasema kabisa Katoliki wangekua wamefoka kweli kweli! Wangeishutumu sana Serikali ya Kikwete! Tena huyu Kitima ndiyo basi kabisa! Alikua anaponda sana Serikali ya Kikwete! Pengo pia,Kilaini akamtetea kwamba Jakaya ni chaguo la Mungu,wakamtupa Bukoba huko! Warumi noma sana
Na wameshaanza kumchanganya kweli kweli jamaa wa magogoni
 
Back
Top Bottom