Kanisa Katoliki lapoteza Mapadri 25 na Watawa 60 kwa tatizo la upumuaji ndani ya miezi miwili

Kanisa Katoliki lapoteza Mapadri 25 na Watawa 60 kwa tatizo la upumuaji ndani ya miezi miwili

Sababu za vifo ni "Changamoto ya kupumua"

FB_IMG_1614764131285.jpg


View attachment 1716265

Dar es Salaam. Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima amesema kuanzia Desemba 2020 hadi Februari 2021 mapadri zaidi ya 25, watawa zaidi ya 60 na wenyeviti wawili wa Baraza la Walei wamefariki dunia kwa sababu mbalimbali ikiwemo changamoto ya upumuaji.
 
Kati ya hao Mapdre 25, mmoja Ni kaka yangu baba mmoja mama mmoja. Rest in Peace Our first Born.
Msg zako za Whasap nazisoma Sana naona kama upo hai brother![emoji24][emoji24]
Pole sana.nawaza kwa sauti wale watoto wahudumu ambapo nimewahi kuwa si wanapeleka covid 19 nyumbani
 
Jiwe ameshindwa kabisa kuukubali ukweli
Ni yeye, jee wewe huijui ukweli? Sambaza ufahamu wako wa Covid 19 kwa kila umpendae na yeyote anae paswa kufahamishwa.

Wanasiasa wote hufanya wanayofaidika nayo na sio Jiwe pekee.
 
Aiseee sasa Kama Mungu si hirizi kwa nini mapadre na maaskofu katoliki husisitiza watu kumuomba Mungu wakati yeye si hirizi? au kinga au msaada unaoonekana tele wakati wa Mateso yawe ya Corona au vinginevyo? kanisa katoliki matapeli waumini wanaenda jumapili kufanya nini kanisani kila dominika wakati Mungu sio kinga yao na si hirizi? mkatoliki shituka .ina maana lengo watoe sadaka tu na kuondoka wakati huyo Mungu mnayesema mpe sadaka hana msaada kwao wala sio kinga yao?
Na wewe una mawazo ya kijiwe jiwe
 
Kati ya hao Mapdre 25, mmoja Ni kaka yangu baba mmoja mama mmoja. Rest in Peace Our first Born.
Msg zako za Whasap nazisoma Sana naona kama upo hai brother![emoji24][emoji24]
Polesana ndugu lakini kunawatu humu kwaajili ya buku 7 wakotayali kupinga kilakitu yani kunawakati najifikilia kunawatu ktk nchi hii wanaouwezo wakuishi bila yaubongo kichwani
 
Kati ya hao Mapdre 25, mmoja Ni kaka yangu baba mmoja mama mmoja. Rest in Peace Our first Born.
Msg zako za Whasap nazisoma Sana naona kama upo hai brother![emoji24][emoji24]
Pole sana mkuu.
 
Ni yeye, jee wewe huijui ukweli? Sambaza ufahamu wako wa Covid 19 kwa kila umpendae na yeyote anae paswa kufahamishwa.

Wanasiasa wote hufanya wanayofaidika nayo na sio Jiwe pekee.
🙏 🙏 🙏 ❣️
 
Masista na mapadre hawachanganyiki sana na watu watakuwa Corona wanapeana wenyewe sababu wai huenda sana Roma italia kwa papa

Corona ingekuwa ipo wabanana kwenye daladala na mwendo kasi na masokoni na mikutano ya kisiasa wangekufa kama kuku lakini hakuna mitaani uswahilini hali shwari ndicho kitu cha ajabu.

Wanakufa mapadre na masisita wanaoishi maisha ya kujifungia na kukaa mbali na watu wakizingatia social distance kati yao waitwa na Yesu na watu wa kawaida!!!!
 
Marekani wamekufa, Italia wamekufa, wazungu wengi wamekufa na wanaendelea kufa. Hawa ndiyo wataalamu na wanasayansi wa dunia, wanajua kujihami kuliko sisi, na watu makini na wenye maendeleo kuliko sisi. Hawa watu wameweka lockdown lakini korona imewafuata mpaka majumbani, hata viongozi wa nchi zao wamepatwa na huu ugonjwa. Swali ni Je? Nini unaweza kuwa utatuzi? Tusaidiane kutafakari tusiache misimamo ya kisiasa itutawale.
Wewe ushauri wako ni upi mkuu?
 
Kumbuka pia population ya Marekani ni zaidi ya watu 332,000,000 (milioni mia tatu thelethini na mbili). Jaribu kuweka uwiano wa waliokufa na population yake, kwa Marekani na kwa Tanzania
Hao ni pamoja na kwamba walichukua tahadhali,

Kwa sisi ambao hatukuchua tahadhali tungetegemea sasa hivi vifo viwe mara tano ya hivyo?
 
Mkuu inaelekea una mawazo na fikra finyu sana.Sikuwahi kuwaza kama bado kuna watu wenye sampuli yako duniani 🤣🤣 .Nimemwelewa Nyerere kwann alipiga sana vita ujinga na kuwachukia mno wapumbavu.
Huyo padri atueleze kazi ya sala nini? mtu anasali rozali mpaka anakaribia kuzimia kwa kurudia rudia akisali Salamu Maria anasali nini wakati Mungu sio Hirizi au kinga? si aache ?

Huyu padre tamko lake la kipagani.
 
Hao ni pamoja na kwamba walichukua tahadhali,

Kwa sisi ambao hatukuchua tahadhali tungetegemea sasa hivi vifo viwe mara tano ya hivyo?
Sasa utajuaje vifo ni mara 5 au 10 wakati watawala hawatoi taarifa? Serikali ya US wanawajibika kwa wananchi wao kwa kutoa taarifa sahii-huku kwetu ni siasa tu hata kwenye mambo ya kitaalam
 
Si kuna katazo la kuongelea mambo ya Corona, Katibu huna habari hii?
 
... what a saddest moment! Wapumzike kwa amani. Corona ipo; wananchi tuchukue tahadhari tujiepushe na kauli za wanasiasa matapeli! Ukifa umekufa wewe ni simamnzi kwa familia yako huyo anayekudanganya hakuna Corona wala hatakuwa na msaada wowote kwa familia yako in your absence!

Jikinge na uwakinge wengine; jali uhai wako na wa wengine utakuwa umetimiza kwa matendo amri isemayo USIUE.
Kanisa limepoteza Imani hivyo wanavuna walichopanda

Tunasahau hata wimbi la Kwanza hatukulishinda kwa nguvu zetu.

Petro alianza kuzama majini baada ya kupoteza imani
Muongo wewe !!. Corona uliishinda wapi ?!. Sema watu walijipa matumaini hewa. Achana na wanasiasa

Waulize Brazil waliifanyia Corona usanii kama wa kwetu , Leo hii wanajuta . Hata Rais wao hawataki kumsikia
 
AISEE TAKWIMU NI KUBWA SANA HIZI NA VIONGOZI BADO HAWATAKI KU ADMIT KUWA UGONJWA UPO ILI TUCHUKUE TAHADHARI.

HUKO WALIKO WANAONA AIBU KUKUBALIANA NA UKWELI KUWA CORONA INAUA WAPENDWA WETU.
 
Back
Top Bottom