Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Kumbuka pia population ya Marekani ni zaidi ya watu 332,000,000 (milioni mia tatu thelethini na mbili). Jaribu kuweka uwiano wa waliokufa na population yake, kwa Marekani na kwa TanzaniaMarekani wamekufa watu nusu milioni. Vipi kule nako ukweli ukoje?