Zile za kushona unapaswa kuwa nazo nne kwenye mkoba. Unakua na kifuko cha safi na chafu. Ukishapata breakfast na kuvaa barakoa huigusi tena. Unaitoa kabla ya kula lunch, una nawa mkono na kula. Baada ya kula una nawa mikono na kutoa barakoa safi unavaa.Barakoa unafua?
Swadakta“Mwamini Mungu, lakini mfunge vizuri Ngamia wako”-Mtume Muhammad S.A.W
Mungu huwa halipi maombi bali hulipa jitihada!Kupiga maombi ya nguvu wakati hakuna mipango wala hatua(Actions) sahihi,stahiki na madhubuti za kupambana na Corona ni kumkejeli Mungu.
Peleka hukoo hayo mambo yako ya ushirikina.Kanisa limepoteza Imani hivyo wanavuna walichopanda.
Tunasahau hata wimbi la Kwanza hatukulishinda kwa nguvu zetu.
Petro alianza kuzama majini baada ya kupoteza imani.
Elimu ni changamoto!! Hao nusu million ni chini ya 5% ya watu wote waliougua corona!! Ina maana kma wasingechukua hatua wangekufa zaidi ya 10m kma ilivyokua enzi za black plague!!Marekani wamekufa watu nusu milioni. Vipi kule nako ukweli ukoje?
Zile za kushona unapaswa kuwa nazo nne kwenye mkoba. Unakua na kifuko cha safi na chafu. Ukishapata breakfast na kuvaa barakoa huigusi tena. Unaitoa kabla ya kula lunch, una nawa mkono na kula. Baada ya kula una nawa mikono na kutoa barakoa safi unavaa.
Jioni ukirudi nyumbani unazifua zote na asubuhi unazipiga pasi.
Kuna watu wanayo moja au mbili ipo kwenye pochi..haifuliwi hiyo wiki inapitaZile za kushona unapaswa kuwa nazo nne kwenye mkoba. Unakua na kifuko cha safi na chafu. Ukishapata breakfast na kuvaa barakoa huigusi tena. Unaitoa kabla ya kula lunch, una nawa mkono na kula. Baada ya kula una nawa mikono na kutoa barakoa safi unavaa.
Jioni ukirudi nyumbani unazifua zote na asubuhi unazipiga pasi.
Kwahyo kwakua Malaria inaua watu DRC ssi hatuna haja ya kutumia neti? Hvi hzi reasoning huwa mnatoa wapi!!Pale Vatcan wamekufa wangapi?
Na bado hawajapata korona. Mbona hilo husemi!?Kuna watu wanayo moja au mbili ipo kwenye pochi..haifuliwi hiyo wiki inapita
Ni lawama ya kitoto kama unaamini mtu mmoja kwa afya yako.Tatizo ni pale tunapotegemea mawazo ya mtu mmoja! Kuamua; Tubadili katiba kwanza.
Takwimu zipi zinatisha kama hutoa mlinganisho nanchi zingine zenye vifo kutokana na korona? Je, unazo takwimu za wafu wangapi kwa korona na si ugonjwa mwingine wa kupumua?Takwimu zinatisha.
Wacha unafiki mzee mwenzangu. Unatumia dini/Imani kwa sababu huna namna inabidi umtetee jiwe kadri ya ujira wako unavyotaka. Lakini ukweli ni kwamba wewe na mimi tunajua Imani mnayoizungumzia hapa ni ushirikina usio na mantiki…..deep down mioyoni mwenu mnajua watu wanapoteza uhai pasipokuwa na ulazima.Biblia inatamka wazi kuwa hukumu itaanzia nyumba ya Mungu sababu haimpi utukufu Mungu sasa hivi kwenye Corona wanasayansi ndio wanapewa utukufu na maaskofu masista wachungaji na mapadre tujiandae kuzika wengi zaidi ya hao kuanzia maaskofu mapadre wachungaji masista nk hawa waliokufa cha mtoto .Narudia hukumu ya Mungu imeanza kanisani.Yeyote asiyekiri Mungu Kuwa Bwana na Mwokozi kwenye Corona ajiandae kuondoka na Corona.Watengeneze mambo yao saa yeyote wanaondoka
Teh... usipoifua huna tofauti na asie vaa barakoaNa bado hawajapata korona. Mbona hilo husemi!???
Kama kweli wanajali wasimamishe mikutaniko ya jumuiya. Kitubio kitafutiwe aina nyingine ya kuungama
Misa zipunguzwe au zisimame kwa muda kuepusha kusambaa kwa ugonjwa
Na viongozi wako,nao wanawasikiliza dola ya kilumi.
... unasemaje huo muongozo mpya?Tumsifu yesu kristu, umeona muongozo mpya wa ibada au haujauona?
Acha uongo wwe. TAG wawe na wachungaji wengi kuliko mapadri wa RC! Are you insane?Sio fake tuzo ilitolewa na watu waamini maombi kuwa yana nguvu Wa Tanzania Assemblie of God Ni kanisa kubwa lina wachungaji wengi kuliko mapadre wa kanisa katoliki sababu kila mitaa mijini na vijiji kuna Kanisa la TAG lakini hawajazika mchungaji hata mmoja kwa Corona toka Corona ianze wanakufa mapadre na masista wenye imani haba ya uwezo wa Mungu kuwa aweza dhibiti Corona!!