Kanisa Katoliki lapoteza Mapadri 25 na Watawa 60 kwa tatizo la upumuaji ndani ya miezi miwili

Kanisa Katoliki lapoteza Mapadri 25 na Watawa 60 kwa tatizo la upumuaji ndani ya miezi miwili

Barakoa unafua?
Zile za kushona unapaswa kuwa nazo nne kwenye mkoba. Unakua na kifuko cha safi na chafu. Ukishapata breakfast na kuvaa barakoa huigusi tena. Unaitoa kabla ya kula lunch, una nawa mkono na kula. Baada ya kula una nawa mikono na kutoa barakoa safi unavaa.

Jioni ukirudi nyumbani unazifua zote na asubuhi unazipiga pasi.
 
Kanisa limepoteza Imani hivyo wanavuna walichopanda.

Tunasahau hata wimbi la Kwanza hatukulishinda kwa nguvu zetu.

Petro alianza kuzama majini baada ya kupoteza imani.
Peleka hukoo hayo mambo yako ya ushirikina.

Mnamsingizia Mungu na imani kwa misimamo ya ajabu ajabu ambayo haina mantiki bali kujitwalia utukufu nyimgi wenyewe huku watanzania wakizidi kupukutika.

Usipotoshe au kujitoa ufahamu,tangu korona ilipoingia Tanzania haijawahi kuisha,ilikuwepo! Kilichofanyika ni kuacha kupima watu na kuacha kutoa takwimu za maambukizi mapya na vifo ili kuficha tatizo kwa kisingizio cha kuzuia hofu na taharuki.

Baada ya kusitisha uchukuaji wa hatua za kujikinga kwa kufuata miongozo ya kitaalamu,na kugeukia miujiza na ushirikina,ugonjwa wa korona ukandelea kusambaa bila udhibiti wowote

Ushahidi kwamba korona haikuondoka ni taarifa za watanzania wengi waliokuwa wanasafiri nje ya nchi kukutwa na virusi hivyo baada ya kuchukuliwa vipimo.
 
Marekani wamekufa watu nusu milioni. Vipi kule nako ukweli ukoje?
Elimu ni changamoto!! Hao nusu million ni chini ya 5% ya watu wote waliougua corona!! Ina maana kma wasingechukua hatua wangekufa zaidi ya 10m kma ilivyokua enzi za black plague!!

Sasa Tz takwimu huna!! Fatality vs survival rate hauna alafu unakuja na kejeli kwa US ilihali mnategemea wawape ARV kuepusha mamillion ya ndugu zako waliokua wanapukutika kule Nyang'hwale!! Btw wamepata chanjo nyie mmepata nni so far?

Shida ya Tz ujuaji mwingi wkt hmna linalofanyika.
 
Zile za kushona unapaswa kuwa nazo nne kwenye mkoba. Unakua na kifuko cha safi na chafu. Ukishapata breakfast na kuvaa barakoa huigusi tena. Unaitoa kabla ya kula lunch, una nawa mkono na kula. Baada ya kula una nawa mikono na kutoa barakoa safi unavaa.

Jioni ukirudi nyumbani unazifua zote na asubuhi unazipiga pasi.


Watu wangelikuwa na discipline ya nidhamu kama yako, ukweli si uongo, tungelikuwa na wanadamu hai sasa hivi duniani bilioni 197 -- exactly sawa kabisa na madola ya Elon Musk -- huyu Msauzi wa Tesla & Planet Mars asiyependa kabisa kusikia habari za chanjo ya corona!!!
 
Zile za kushona unapaswa kuwa nazo nne kwenye mkoba. Unakua na kifuko cha safi na chafu. Ukishapata breakfast na kuvaa barakoa huigusi tena. Unaitoa kabla ya kula lunch, una nawa mkono na kula. Baada ya kula una nawa mikono na kutoa barakoa safi unavaa.

Jioni ukirudi nyumbani unazifua zote na asubuhi unazipiga pasi.
Kuna watu wanayo moja au mbili ipo kwenye pochi..haifuliwi hiyo wiki inapita
 
Kama kweli wanajali wasimamishe mikutaniko ya jumuiya. Kitubio kitafutiwe aina nyingine ya kuungama

Misa zipunguzwe au zisimame kwa muda kuepusha kusambaa kwa ugonjwa
 
Pale Vatcan wamekufa wangapi?
Kwahyo kwakua Malaria inaua watu DRC ssi hatuna haja ya kutumia neti? Hvi hzi reasoning huwa mnatoa wapi!!

Ukiona wamekufa watu laki huku kuna facility zote za madawa then tambua kuna malaki wengine wamesurvive!! Otherwise rate ya kifo ingekua twice kma hatua isingechukuliwa.

Hya yote tungesolve kama mngekua mnaweka takwimu wazi..... Mnaficha za kwenu alafu mnachekelea za wengine!!
 
Kwahiyo baada ya kutoa hizo takwimu amesemaje kuhusu mikusanyiko yetu ya kiibada? Tuendelee au tupumzike kidogo ibada tuzifuatilie kwa njia za mawasiliano masafa?
 
Takwimu zinatisha.
Takwimu zipi zinatisha kama hutoa mlinganisho nanchi zingine zenye vifo kutokana na korona? Je, unazo takwimu za wafu wangapi kwa korona na si ugonjwa mwingine wa kupumua?
 
Biblia inatamka wazi kuwa hukumu itaanzia nyumba ya Mungu sababu haimpi utukufu Mungu sasa hivi kwenye Corona wanasayansi ndio wanapewa utukufu na maaskofu masista wachungaji na mapadre tujiandae kuzika wengi zaidi ya hao kuanzia maaskofu mapadre wachungaji masista nk hawa waliokufa cha mtoto .Narudia hukumu ya Mungu imeanza kanisani.Yeyote asiyekiri Mungu Kuwa Bwana na Mwokozi kwenye Corona ajiandae kuondoka na Corona.Watengeneze mambo yao saa yeyote wanaondoka
Wacha unafiki mzee mwenzangu. Unatumia dini/Imani kwa sababu huna namna inabidi umtetee jiwe kadri ya ujira wako unavyotaka. Lakini ukweli ni kwamba wewe na mimi tunajua Imani mnayoizungumzia hapa ni ushirikina usio na mantiki…..deep down mioyoni mwenu mnajua watu wanapoteza uhai pasipokuwa na ulazima.

Mbona hulali nyumbani usiende kazini kwamba Imani yako itakushibisha? mbona huachi kwenda hospitalini kwamba Imani itakuponya? Mbona huachi kufunga mkanda wa gari kwamba Imani itakuponya? Mbona wenye HIV hawaachi kutumia dawa kwamba Imani itawaponya? Wote mnajua kabisa..mnaongea nonsense...Kukwepa majukumu.

Sasa sijui Jiwe akilazimishwa (na matakwa ya uchumi wa ulimwengu) akakubali hiyo chanjo sijui watetezi wa huu ushirikina mtaficha wapi nyuso zenu.

JPM ni Mseminari mwenzangu. Dini anaijua na wote tunajua tunatakiwa kufanya nini.

Ushauri: Tuvae barakoa. Chanjo ikija tuitumie na tuchukue tahadhari katika yote tunayoyafanya. Uhai hauna mbadala. Kijazi amekufa. waliobaki na majonzi na maumivu ni familia yake. Kwa sasa Bashiri ndo anatumia ile Vieiteee iliyokuwa inamsubiri nje ya mlango.

Sasa wewe endela kushupaza shingo. Usiseme hamkuambiwa!
 
Kama kweli wanajali wasimamishe mikutaniko ya jumuiya. Kitubio kitafutiwe aina nyingine ya kuungama

Misa zipunguzwe au zisimame kwa muda kuepusha kusambaa kwa ugonjwa

Tumsifu yesu kristu, umeona muongozo mpya wa ibada au haujauona?
 
Sio fake tuzo ilitolewa na watu waamini maombi kuwa yana nguvu Wa Tanzania Assemblie of God Ni kanisa kubwa lina wachungaji wengi kuliko mapadre wa kanisa katoliki sababu kila mitaa mijini na vijiji kuna Kanisa la TAG lakini hawajazika mchungaji hata mmoja kwa Corona toka Corona ianze wanakufa mapadre na masista wenye imani haba ya uwezo wa Mungu kuwa aweza dhibiti Corona!!
Acha uongo wwe. TAG wawe na wachungaji wengi kuliko mapadri wa RC! Are you insane?

TAG hajafa hata mchungaji mmoja? Real?

Hebu acheni kudownplay hili janga ili wanaohimiza wengine kuchukua hatua za kujikinga kuokoa maisha ya wengine waendelee kufanya.
 
Back
Top Bottom