Kanisa Katoliki mnazingua, michango imekuwa kero


Ni Kanisa lote. Hili halina Parokia wala Kigango.

Kanisa linatia aibu kwa michango holela.
 
B
Bosi hii umeandika na ukaisoma kweli? Huyo anaigiza ufukara ila siyo fukara. Halafu hatutakiwi kuwa fukara. Yesu alifanyika masikini ili tuwe matajiri. Umasikini siyo sifa. Ila huyu siyo fukara
 
Hamia huko wanakotoa sadaka za kujimaliza..!!!
 
Hata wenye vitambi inawahusu,[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Bora nyie sis Hk kwetu tunasadaka inaitwa kujimaliza…… watu tunajimaliza bila kupend

Hiyo kujimaliza kwa kinamwamposa
Hapana siku hizi zipo mpaka katoliki. kwetu huku bunju wanaiita zaka ya kujipukutisha. Mtu mpaka unaogopa kwenda kusali haya sio mafundisho tuliyopewa, yanaibuka tu
Zamani tulikua tunawacheka walokole ila sasa wameyaleta na kwetu huku
 
Hapana siku hizi zipo mpaka katoliki.
Parking kwangu huku bunju wanaiita zaka ya kujipukutisha. Mtu mpaka unaogopa kwenda kusali haya sio mafundisho tuliyopewa, yanaibuka tu
Zamani tulikua tunawacheka walokole ila sasa wameyaleta na kwetu huku
Kumbe watu wanajipukutisha na hawasemi watu mna siri😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…