Nilipo-bold!
Hiyo line umeiandika ukiwa timamu au?kwamba baada ya kuujua ukweli huo ukweli ukawaambia rudini mkalipize kisasi/mkafanye uhuni kwa wale waliowaibia!
KwaninI huo ukweli haukuwaambia wasamehe ili wazidi kuneemeka?
Ulisha sema kweli ya kusilimu , hasira inakujaa na unarudi kulipa kisasiWatu wanaficha unga kwenye sanamu la yesu na Maria
Mexico drug smugglers make Jesus statue of cocaine
U.S. customs officials have seized a statue of Jesus Christ made from plaster mixed with cocaine -- the latest sophisticated attempt to smuggle drugs from Mexico.www.reuters.com
Am proud Catholic na ninajivunia Imani yangu na viongozi wangu Dini.Una jengine?Kumbe unajuwa halafu unataka ushahidi wa kazi gani? Lakini katika Uislamu Hakuna ma Padri na wachungaji wala hatuongozwi na Roho Mtakatifu
Wengine hawa
Padri Paul Njoka ampa mimba binti na kumteka
huyu padri alikua ni mwalimu wangu pale Visiga enzi izo.....hongera padri kwa katoto! h Skendo ya ngono inaitikisa Kanisa la Katoliki, Parokia ya Mburahati lililopo wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam na kusababisha mgawanyiko mkubwa kwa waumini.Uchunguzi uliofanywa na mwandishi wetu...www.jamiiforums.com
Ulisha sema kweli ya kusilimu , hasira inakujaa na unarudi kulipa kisasi
Aya mengine sio point ya msingi
Simple ni kwamba ukisilimu unakuwa possessed by the devil
Am proud Catholic na ninajivunia Imani yangu na viongozi wangu Dini.Una jengine?
Vipi mmemlisha ?Hao wavamiaji wakikamatwa kila mmoja alishwe kilo 40 ya nyama ya nguruwe[emoji205]
Wameumbuka kama kawaidaNilijuwa mtaanzia huko kwa chuki zenu dhidi ya uislamu
Wavamizi wamejulikana!?Wameumbuka kama kawaida
Am Proud Catholic na niko very proud na Mapadre na Viongozi wangu wa Imani.Huwezi kunidrag kwenye upuuzi wa kukashf imani za wengine,sikulelewa hivyo na misingi ya Iman yangu inanikataza.Mbona umeanza kubabaika?
Ni mmoja tu na anashikiliwa na policeWavamizi wamejulikana!?
Baada ya kupeana rikizo sasa mmeamua kukomoana wenyeweIwekwe wazi bila kufichwafichwa kwa hofu ya uchochezi.
Hao wahalifu si wakristo, mkristo hawawezi kuingia kanisa lolote na kuharibu vilivyomo humo.
Pia hao si wapani, hao wahalifu itakuwa ni wale masheitwaan maana wao huwa hawana hofu kuingia nyumba za ibada za wengine na kufanya uharibifu
Tatizo huwa wanakurupuka kwa sababu wanazozijua waoKwa mtazamo wangu haya Ni matokeo ya uchu wa madaraka na kutengeneza makundi ndani ya kanisa,sidhani Kama Imani ya pili imehusika hapa!
Miaka ya mwanzoni mwa 90,nikiwa mdogo nilishawahi shuhudia ngumi kanisani flani la Anglican kisa hawamtaki askofu mpya kwa kigezo Cha ukabila
Mwenyezi Mungu atujalie hekima tu.Tatizo huwa wanakurupuka kwa sababu wanazozijua wao
Ni mkumbo au chuki tu
Migambo inaruka na kukanyagana yenyeweNarudia tena kuandika hakuna mkristo wa dhehebu lolote anayeweza kuingia kwenye kanisa la wengine na kufanya uharibifu.
Kama kuna tofauti imetokea miongoni mwa viongozi kwa viongozi, viongozi kwa waumini au waumini kwa waumini hakuna mshirika atakayefikia uamuzi wa kwenda kuingia kanisani kufanya uharibifu huo. Hata kama ni vibaka, ni kibaka gani huyo asiye na hofu na Mungu?
Huyo kibaka au mwizi na jambazi amekulia wapi kiasi cha kukosa hata mafundisho ya watoto ya shule ya jumapili? Kwanza kanisa ni mahali patakatifu na ni nyumba ya kumuabudu Mungu.
Hata wavuta bangi na walevi wanaheshimu nyumba za kuabudia
AmiinMwenyezi Mungu atujalie hekima tu.
Maisha yanazidi kuwa magumuKuna sehemu nimesoma humu humu leo. Watu wasiojilikana wameiba sadaka huko kanisa katoliki Machame!!??
Huku tena kanisa limevamiwa. Tena kipindi hiki cha kwaresma!!??
Nafikiri kuna hali isiyo ya kawaida
Bora walioiba sadaka unaweza kusema ni njaa. Lakini hawa waliovunja vitu nadhani wana ugonvi na Mungu direct.
Kamanda ETUGRUL BEY umeandika haqi kabisa....Kuna watu humu ni wepesi Sana WA kujaji mambo,Yani kitu cha Kwanza ni lawama Kwa waislamu, je Una uhakika gani kwamba sio tukio la kiuhalifu?
Pili kama waislamu ndio wamefanya hivyo basi waadhibiwe Kwa mujibu wa sheria kwasababu Uislamu unachukia Sana mambo kama hayo.
Enzi za Mtume wasio waislamu waliachwa kuabudu katika nyumba za ibada Bila matatizo yoyote, kwani Uislamu uko wazi hakuna kulazimisha mtu kuingia katika Dini.
Na hata enzi za Mtume vile vile pale waislamu waliookuwa wanateswa na washirikina WA makka, Mtume aliwaambia nendeni Ethiopia kuna Mfalme ambaye ni mkristo lakini anapenda haki na wala hawadhulumu watu,kwahiyo hii inaonyesha ni kiasi
gani Uislamu upo Kati Kwa Kati na hauna fikra potofu na siku zote unasimamia katika haki.