Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia February, 26 2023

Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia February, 26 2023

Watu wanaficha unga kwenye sanamu la yesu na Maria

Ulisha sema kweli ya kusilimu , hasira inakujaa na unarudi kulipa kisasi
Aya mengine sio point ya msingi

Simple ni kwamba ukisilimu unakuwa possessed by the devil
 
Kumbe unajuwa halafu unataka ushahidi wa kazi gani? Lakini katika Uislamu Hakuna ma Padri na wachungaji wala hatuongozwi na Roho Mtakatifu

Wengine hawa

Am proud Catholic na ninajivunia Imani yangu na viongozi wangu Dini.Una jengine?
 
Ulisha sema kweli ya kusilimu , hasira inakujaa na unarudi kulipa kisasi
Aya mengine sio point ya msingi

Simple ni kwamba ukisilimu unakuwa possessed by the devil

Ni kweli kwani shetani ameweza kumvunja mguu, mungu
 
Pia ulinzi wa haya makanisa hauleweki unakuta kanisa Lina thamani kubwa alafu linalindwa na vizee vyenye umri mrefu ingetakiwa yatumiwe makampuni ya ulinzi
 
Kwa mtazamo wangu haya Ni matokeo ya uchu wa madaraka na kutengeneza makundi ndani ya kanisa,sidhani Kama Imani ya pili imehusika hapa!
Miaka ya mwanzoni mwa 90,nikiwa mdogo nilishawahi shuhudia ngumi kanisani flani la Anglican kisa hawamtaki askofu mpya kwa kigezo Cha ukabila
 
Mbona umeanza kubabaika?
Am Proud Catholic na niko very proud na Mapadre na Viongozi wangu wa Imani.Huwezi kunidrag kwenye upuuzi wa kukashf imani za wengine,sikulelewa hivyo na misingi ya Iman yangu inanikataza.

Haya endelea na hao wengine mbagazane mpaka mshindi apatikane apewe trophy[emoji4]
 
Iwekwe wazi bila kufichwafichwa kwa hofu ya uchochezi.

Hao wahalifu si wakristo, mkristo hawawezi kuingia kanisa lolote na kuharibu vilivyomo humo.

Pia hao si wapani, hao wahalifu itakuwa ni wale masheitwaan maana wao huwa hawana hofu kuingia nyumba za ibada za wengine na kufanya uharibifu
Baada ya kupeana rikizo sasa mmeamua kukomoana wenyewe
 
Kwa mtazamo wangu haya Ni matokeo ya uchu wa madaraka na kutengeneza makundi ndani ya kanisa,sidhani Kama Imani ya pili imehusika hapa!
Miaka ya mwanzoni mwa 90,nikiwa mdogo nilishawahi shuhudia ngumi kanisani flani la Anglican kisa hawamtaki askofu mpya kwa kigezo Cha ukabila
Tatizo huwa wanakurupuka kwa sababu wanazozijua wao
Ni mkumbo au chuki tu
 
Narudia tena kuandika hakuna mkristo wa dhehebu lolote anayeweza kuingia kwenye kanisa la wengine na kufanya uharibifu.

Kama kuna tofauti imetokea miongoni mwa viongozi kwa viongozi, viongozi kwa waumini au waumini kwa waumini hakuna mshirika atakayefikia uamuzi wa kwenda kuingia kanisani kufanya uharibifu huo. Hata kama ni vibaka, ni kibaka gani huyo asiye na hofu na Mungu?

Huyo kibaka au mwizi na jambazi amekulia wapi kiasi cha kukosa hata mafundisho ya watoto ya shule ya jumapili? Kwanza kanisa ni mahali patakatifu na ni nyumba ya kumuabudu Mungu.

Hata wavuta bangi na walevi wanaheshimu nyumba za kuabudia
Migambo inaruka na kukanyagana yenyewe
 
Kuna sehemu nimesoma humu humu leo. Watu wasiojilikana wameiba sadaka huko kanisa katoliki Machame!!??
Huku tena kanisa limevamiwa. Tena kipindi hiki cha kwaresma!!??
Nafikiri kuna hali isiyo ya kawaida
Bora walioiba sadaka unaweza kusema ni njaa. Lakini hawa waliovunja vitu nadhani wana ugonvi na Mungu direct.
 
Kuna sehemu nimesoma humu humu leo. Watu wasiojilikana wameiba sadaka huko kanisa katoliki Machame!!??
Huku tena kanisa limevamiwa. Tena kipindi hiki cha kwaresma!!??
Nafikiri kuna hali isiyo ya kawaida
Bora walioiba sadaka unaweza kusema ni njaa. Lakini hawa waliovunja vitu nadhani wana ugonvi na Mungu direct.
Maisha yanazidi kuwa magumu
Sadaka ziwafikie masikini kwa sana la sivyo hayataisha haya mambo
Pia waangalie kama kuna uadilifu baina yao
Kuna mengi ya kuangalia ila ukweli huwa unafichwa sana
 
Kuna watu humu ni wepesi Sana WA kujaji mambo,Yani kitu cha Kwanza ni lawama Kwa waislamu, je Una uhakika gani kwamba sio tukio la kiuhalifu?

Pili kama waislamu ndio wamefanya hivyo basi waadhibiwe Kwa mujibu wa sheria kwasababu Uislamu unachukia Sana mambo kama hayo.

Enzi za Mtume wasio waislamu waliachwa kuabudu katika nyumba za ibada Bila matatizo yoyote, kwani Uislamu uko wazi hakuna kulazimisha mtu kuingia katika Dini.

Na hata enzi za Mtume vile vile pale waislamu waliookuwa wanateswa na washirikina WA makka, Mtume aliwaambia nendeni Ethiopia kuna Mfalme ambaye ni mkristo lakini anapenda haki na wala hawadhulumu watu,kwahiyo hii inaonyesha ni kiasi
gani Uislamu upo Kati Kwa Kati na hauna fikra potofu na siku zote unasimamia katika haki.
Kamanda ETUGRUL BEY umeandika haqi kabisa....

Katika suratul baqara mwenyezi mungu asema laa ikra fii din yaani hakuna kulazimishana katika dini wala huwezi kumlazimisha mtu kuingia katika uislma au kumfosi muislam kufanya jambo flani la dini...

Hata enzi za mtume kama ulivyosema ilikuwa ni haram kumpiga na hadi sasa ni haram kumpiga mtu vita haliyakuwa yupo katika jumba lake la ibada

Watu wasiwe negative sana hata sie waislam misktini huwa twaibiwa mbona sema sisi majambo yetu maranyingi yaishia huko huko miskitini ni nadra kusikia lakini kwaibiwa haswa!

Tusiwe negative jamani
 
Back
Top Bottom