Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona msikitin tunaibiwa sana viatu na spika, wezi hawana cha kuogopaKama nakuona unavyochekelea.Vipi hakuna haja ya kukemea hili?
Huyo ni Brian Deacon. Sio Yesu.wamevunja na mguu wa yesu.
Ungekuwa wewe ungeingia kuiba mikeka, hao wameambiwa kuna baadhi ya vyombo ni vya dhahabu ndo maana wamevunja ili kujaribu kama ni dhahabu kweli.Kumbe hawakujua wenye hayo masanamu ni majambazi kuliko wao.Na kwamba vya dhahabu vipo ulaya siku nyingi.JAGI LIKISHAWEKWA UMBO LA DHAHABU LISUBIRIE NINI TENA MPITIMBI.Kwa nini ni makanisa tu? Haijawahi kutokea kuna wahalifu wameingia katika yale masinagogi au yale mahekalu na kufanya uharibifu. Washenzi hao wakidekezwa na kufichwafichwa kisiasa wataendeleza ushetani wao kwa kuingia kwenye makanisa mengine
Mnaibiwa viatu si kuvunjiwa maspika na mimbali na majenezaMbona msikitin tunaibiwa sana viatu na spika, wezi hawana cha kuogopa
Kemea kitendo hicho basi sheikh.
Tungekemea ila mashambulizi yametupiwa kwa Waislam na huu ni ujuha wa baadhi ya watu kuhukumu kablaKemea kitendo hicho basi sheikh.
Logic inasema waliofanya hayo ni waislam.Ngoja tusubiri uchunguzi yatathibitika na nitakukumbushaTungekemea ila mashambulizi yametupiwa kwa Waislam na huu ni ujuha wa baadhi ya watu kuhukumu kabla
Kukemea ni sawa na waliofanya hivyo ni washenzi tu ila tabia ya ubaguzi wa dini ndio mbaya
Utaona mjadala unabadilika ghafla baada ya comments kadhaa
Nimependa sana jibu lako.Watu walioenda shule wana reasoning kabla ya kufanya maamuzi.
Ni rahisi kudhania ni wapole.
Nijuavyo makanisa katoliki yanakuaga na walinzi, tena si mmoja, maana ni eneo kubwa,,Kwamba walisikia Kuna Mali wakaibe au.
Ila kama wamekamatwa watatajana.
Hatari sanawamevunja na mguu wa yesu.
Nakuona unavyotumia nguvu kubwa kuutetea uislam
Nakuelewa sana usijali.Najua namna mtu anavyojisikia pale ambapo kila siku dini anayotumia muda mwingi kuihubiri kwa maneno mazurimazuri na nukuu mbalimbali za misahafu inapojionesha kihalisi kupitia matendo.Huo ndo uislam tunaouna mtaani katika matendoSijatumia bomu la atomic [emoji13][emoji14]ni ukweli tu umekushituwa
Kwani kuutetea ni dhambiNakuona unavyotumia nguvu kubwa kuutetea uislam
HahahahaAngewazuia kwanza
Muda utasema.Kwani kuutetea ni dhambi
Leta ushahidi kama Uislamu unahusika hapo
Acheni chuki za kijinga
Hizo sadaka waweke cctv ili muache dhana
SawaMuda utasema.
Du!aiseeUsikute ni mapadre walipageuza kuwa uwanja wa masumbwi.
Mi siwaamini kabisa mapadre wa kikatoliki. Wamekuwa walevi, wazinzi na wanyang'anyi.
Kuna paroko mmoja anafanya biashara ya pombe ni mlevi mbwa na anatembea na wake za watu.