Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia February, 26 2023

Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia February, 26 2023

Baadaye Mtu Anaokota Makopo Ama Kawa First Mental In Tanzania
Watu Wanahaha Kunamsua Inashindikana
 
Kwa nini ni makanisa tu? Haijawahi kutokea kuna wahalifu wameingia katika yale masinagogi au yale mahekalu na kufanya uharibifu. Washenzi hao wakidekezwa na kufichwafichwa kisiasa wataendeleza ushetani wao kwa kuingia kwenye makanisa mengine
Ungekuwa wewe ungeingia kuiba mikeka, hao wameambiwa kuna baadhi ya vyombo ni vya dhahabu ndo maana wamevunja ili kujaribu kama ni dhahabu kweli.Kumbe hawakujua wenye hayo masanamu ni majambazi kuliko wao.Na kwamba vya dhahabu vipo ulaya siku nyingi.JAGI LIKISHAWEKWA UMBO LA DHAHABU LISUBIRIE NINI TENA MPITIMBI.
 
Kemea kitendo hicho basi sheikh.

Ni kweli tendo hilo ni baya kufanyika mahali popote , na si vizuri kuanza kumshutumu mtu au watu wa dini nyengine , kwani yako matokeo mengi ya kihalifu ambayo hufanywa ndani ya makanisa yakiwahusisha waumini na viongozi wa kanisa .

Kama kuharibiwa watoto au hili tokeo la kijangili huko Katavi, walificha meno ya tembo kanisani

Jeshi la Polisi Mkoani Katavi kwa kushirikiana na Askari wa Tanapa wa Hifadhi ya wanyama ya Katavi wame wamemkamata mchungaji wa Kanisa la Moroviani Kata ya Usevya Tarafa ya Mpimbwe Wilaya ya Mlele akiwa na mtu mmoja ambao wajina yao yamehifadhiwa wakiwa na meno ya tembo 11 yenye thamani ya shilingi milioni 90 wakiwa wameyahifadhi ndani ya Kanisa.
 
Tungekemea ila mashambulizi yametupiwa kwa Waislam na huu ni ujuha wa baadhi ya watu kuhukumu kabla

Kukemea ni sawa na waliofanya hivyo ni washenzi tu ila tabia ya ubaguzi wa dini ndio mbaya
Utaona mjadala unabadilika ghafla baada ya comments kadhaa
Logic inasema waliofanya hayo ni waislam.Ngoja tusubiri uchunguzi yatathibitika na nitakukumbusha
 
Sijatumia bomu la atomic [emoji13][emoji14]ni ukweli tu umekushituwa
Nakuelewa sana usijali.Najua namna mtu anavyojisikia pale ambapo kila siku dini anayotumia muda mwingi kuihubiri kwa maneno mazurimazuri na nukuu mbalimbali za misahafu inapojionesha kihalisi kupitia matendo.Huo ndo uislam tunaouna mtaani katika matendo
 
Usikute ni mapadre walipageuza kuwa uwanja wa masumbwi.

Mi siwaamini kabisa mapadre wa kikatoliki. Wamekuwa walevi, wazinzi na wanyang'anyi.

Kuna paroko mmoja anafanya biashara ya pombe ni mlevi mbwa na anatembea na wake za watu.
Du!aisee
 
Back
Top Bottom