Rhz4567
JF-Expert Member
- Mar 16, 2018
- 4,893
- 6,599
Duh shekh imebidi nicheke tuwamevunja na mguu wa yesu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh shekh imebidi nicheke tuwamevunja na mguu wa yesu.
[emoji38] [emoji23] [emoji38] nimeuona hadi hurumawamevunja na mguu wa yesu.
mwenzio kavunjwa mguu unacheka?Duh shekh imebidi nicheke tu
Gaidi lipo katika uborawamevunja na mguu wa yesu.
Tuache masikhara watu kuvamia kanisa na kuiba na kuharibu mali za kanisa haija kaa sawa hata kidini na kiutu.mwenzio kavunjwa mguu unacheka?
Nilijuwa mtaanzia huko kwa chuki zenu dhidi ya uislamuItakua siasa kali za ki al shabab.
Povu linakutoka kweli yani emu kunywa maji kidogoKwa nini ni makanisa tu? Haijawahi kutokea kuna wahalifu wameingia katika yale masinagogi au yale mahekalu na kufanya uharibifu. Washenzi hao wakidekezwa na kufichwafichwa kisiasa wataendeleza ushetani wao kwa kuingia kwenye makanisa mengine
Narudia tena kuandika, hakuna mkristo wa dhehebu lolote anayeweza kwenda kwenye kanisa la wengine kufanya uharibifu na haiwezekani mshirika wa mahali anaposali anayeweza kuchukua hatua za kuharibu vitu vya kanisani anakosali labda awe na akili mbovu.Tumia akili kidogo uliyobarikiwa kabla ya kukomenti, adui wa mtu ni mtu mwenyewe.
Acha vyombo husika viliishughulikie kwanza
Unachofanya ni kuchochea tatizo tu.
Hizo ndo Mali wanazozitaka na ni Muhimu kwaoHawo vibaka hawajuwi kama mle ndani hamna mali zaidi ya Bibilia na Sacraments.
narudia tena kuandika, hakuna mkristo wa dhehebu lolote anayeweza kwenda kwenye kanisa la wengine kufanya uharibifu na haiwezekani mshirika wa mahali anaposali anayeweza kuchukua hatua za kuharibu vitu vya kanisani anakosali labda awe na akili mbovu. Hata wavuta bangi na walevi wanapaogopa sana kanisani. Kwa asili kanisa ni nyumba ya kuabudia Mungu hakuna aliyeweza kufanya uhuni ndani yake, na kama walifanikiwa kufanya uhuni cha moto walikipata bila mikonn ya wanadamu. Kibaka au jambazi gani lisilo na hofu za kuingia kwenye nyumba za ibada za wengine kufanya ukora? Washirikina tu wenyewe wanapaogopa kama moto. Hawa watakuwa ni wahuni wale wanaona wana mungu wao wa machafuko
Hujui kitu watu wanaibiwa kila siku viatu, wezi hawana cha kuogopaWakatoliki wapole Sanaa, ingekuwa nyumba ya ibada ya wale wengine mitaa ingefungwaa kwa maandamano
Hizo ndo Mali wanazozitaka na ni Muhimu kwao
Angewazuia kwanzaMungu awasamehe
Kama nakuona unavyochekelea.Vipi hakuna haja ya kukemea hili?Angewazuia kwanza
Kemea kitendo hicho basi sheikh.Jee kama kanisa lilificha unga au silaha mahali ,hiyo haiwezekani?