Kanisa la Tanzania linapitia kipindi kigumu sana. Mungu alinusuru

Kiukweli ni changamoto sanaa aiseee!
 
Mungu aingilie kati
 

Tumsifu Yesu Kristo Tate Mkuu

Watu wanasahau kwamba makanisa na misikiti inaendeshwa kwa sadaka na kutoa sadaka ni maelekezo ya Mungu bila shurti
 
Kazi tunayo kuna muda watu wanakabiliwa na changamoto kiasi kwamba hawaelewi wanataka nini ili watatue hizo changamoto

Watajaribu kila njia na mbinu wanayojulishwa ndiyo sababu kubwa ya jamii kubwa kuyumba kiimani.
 
Tumsifu Yesu Kristo Tate Mkuu

Watu wanasahau kwamba makanisa na misikiti inaendeshwa kwa sadaka na kutoa sadaka ni maelekezo ya Mungu bila shurti
INJILI NI KUFUKA, KUZIKWA NA KUFUFUKA KWA YESU KRISTO.
TUBUNI UFALME WA MUNGU UMEKARIBIA... AMIN, OKOKA N.K

sadaka bila injili ya kuacha dhambi+kazi ya msalaba ni uhuni mtupu!
mama D
 
Ni sahihi kwa mtazamo wakonkwa kuwa unaangalia wachungaji na watumishi maarufu ila sisi huku vijijini bado tunapiga Injili na Mambo yanaendelea.
Safi sana mkuu. Barikiwa.

Injili iende mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…