mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
INJILI NI KUFUKA, KUZIKWA NA KUFUFUKA KWA YESU KRISTO.
TUBUNI UFALME WA MUNGU UMEKARIBIA... AMIN, OKOKA N.K
sadaka bila injili ya kuacha dhambi+kazi ya msalaba ni uhuni mtupu!
mama D
Kuhubiri injili ya kuacha dhambi na kazi ya msalaba na kuyaishi yale tunayoyahubiri kama wahubiri ndio njia pekee ya kweli na uzima.
Vinginevyo hata sadaka tunazotoa au zinazopokelewa makanisani zinaweza kuwa machukizo mbele za muumba.
Maana zipo taratibu za kutoa Sadaka kama agizo lisilo shurti.