Kanisa la Tanzania linapitia kipindi kigumu sana. Mungu alinusuru

Kanisa la Tanzania linapitia kipindi kigumu sana. Mungu alinusuru

Hizi ndio changamoto za kanisa la Tanzania. Tuzidi kumuomba Mungu.

1. Mikutano ya The Big Octoba na The Big Novemba iliyokuwa inahuhubiri kuacha dhambi na kumrudia Kristo imekufa.

2. Mwamposa na Suguye wanauza vifaa vya uponyaji mafuta, maji, keki na vitambaa badala ya kuhubiri watu waache dhambi, pia hawataki kufungua matawi mikoani na kupanda makanisa.

3.RC nao wamechachamaa kwa michango kuanzia kwenye jumuiya hadi Parokiani. Huna hela huzikwi.

4. Mwakasege naye amechachamaa na masomo ya sadaka mwanzo mwisho, mfano semina ya Mbeya (26-30 Oct, 2022) somo ni sadaka tu hakuna kingine.

5. KKKT nao hawaeleweki wachungaji wanaowaiga wapentekosti/walokole ndio wanapata umaarufu mfano Kimaro na Mgogo wale wanaohubiri kilutheriluther hawana chao wala umaarufu.

6. TAG/EAGT hawana wainjilisti wakitaifa kama kina Moses Kulola wamebakia wapigaji tu.

7.Viongozi was dini kugombania mialiko sherehe za kitaifa ili wakalambe asali no aibu.

INAUMA SA
 
Hizi ndio changamoto za kanisa la Tanzania. Tuzidi kumuomba Mungu.

1. Mikutano ya The Big Octoba na The Big Novemba iliyokuwa inahuhubiri kuacha dhambi na kumrudia Kristo imekufa.

2. Mwamposa na Suguye wanauza vifaa vya uponyaji mafuta, maji, keki na vitambaa badala ya kuhubiri watu waache dhambi, pia hawataki kufungua matawi mikoani na kupanda makanisa.

3.RC nao wamechachamaa kwa michango kuanzia kwenye jumuiya hadi Parokiani. Huna hela huzikwi.

4. Mwakasege naye amechachamaa na masomo ya sadaka mwanzo mwisho, mfano semina ya Mbeya (26-30 Oct, 2022) somo ni sadaka tu hakuna kingine.

5. KKKT nao hawaeleweki wachungaji wanaowaiga wapentekosti/walokole ndio wanapata umaarufu mfano Kimaro na Mgogo wale wanaohubiri kilutheriluther hawana chao wala umaarufu.

6. TAG/EAGT hawana wainjilisti wakitaifa kama kina Moses Kulola wamebakia wapigaji tu.

7.Viongozi was dini kugombania mialiko sherehe za kitaifa ili wakalambe asali no aibu.

INAUMA SANA
Point no 4, Refer sadaka aloitoa Mungu kumtoa Yesu Kristo, Ibrahimu kumtoa Isaka. Hivyo basi huoni ya kuwa Mungu mwenyewe ndio muanzilishi wa Sadaka???

Sadaka ni divine invitation, Kamsome Kornelio, Dorcas na Daudi.
 
Point no 4, Refer sadaka aloitoa Mungu kumtoa Yesu Kristo, Ibrahimu kumtoa Isaka. Hivyo basi huoni ya kuwa Mungu mwenyewe ndio muanzilishi wa Sadaka???

Sadaka ni divine invitation, Kamsome Kornelio, Dorcas na Daudi.
Ukiwa huna sadaka huna chako si ndio? Upako na Karama za Mungu zinauzwa?

Sadaka ziendane na mafundisho sahihi ya INJILI ikiwemo kukemea DHAMBI.

YESU ALIKUFA PALE MSALABANI HIYO NDIO SADAKA KUBWA KULIKO ZOTE. DAMU YA YESU INANENA MEMA.
 
Hiyo namba 3, waumini tuko imara sana. Maana michango yote tunayochanga ni kwa ajili ya kulitegemeza Kanisa la Mungu.

Halafu ifikie wakati tuwe wakweli! Hakuna binadamu asiyeishi katika Jumuiya! Sasa kama wewe jumuiya yako ni ya wavuta bangi, inakuwaje tena unataka uzikwe na jumuiya nyingine?
Mungu hawezi kulitegemeza mwenyewe kanisa lake mpaka afanyiwe na binaadam!?
 
Mtuache wakatoliki michango yetu ni ya kufanya mambo ya maendeleo. Na injili lazima iwezeshwe utaenda kuhubiri injili kwa miguu. Mahema, vipaza sauti , viti vinalipiwa vyote hivyo. Muacheni Mwakasege achape injili.
Yesu alifanya injili bila vipaza Sauti, Vito, wala kutumia magari

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Na bado huo ni mwanzo tu, [emoji23][emoji23]

Tukiwaambia kuwa mwisho wa dini zote umekaribia mnapinga, itafika wakati hizi imani za watu weupe zitakuwa kwenye nakala za historia na hadithi za kuchekesha maana watu wanazidi kuamka kiakili, uku wale waliokuwa wakishika hizo dini(wachungaj&wafuasi) kuwa chanzo cha maovu.

Angalia hata dalili zinaonesha wazi,

Anguko la dini linaambatana na maovu kuongezeka ndan ya hizo dini, ubakaji, ulawiti, uuwaji, wizi wa pesa, rushwa, mitengano na mifarakano ya wao kwa wao mfano mifarakano hata kwa wanaojiita wakristo kwa wakristo, waislam kwa waislam, na hawa wote watakuja kusalenda kwa wanaemuita mpagani, maana mpagani ndiye mwenye unafuu kimaadili na kitabia[emoji23].

Mwisho wa hizi dini pia utaambatana na wafuasi kupungua ktk nyumba za ibada, huku watu wakijari zaidi Nguvu za upako kulko mafundsho, jambo litakalopelekea madhehebu yenye asili ya ukatoric na ulutheri kupungukiwa waumini na madhehebu ya kilokole kupata wafuasi wengi, na wafuasi hawa wakishamalizana na miujiza pia watazikimbia hizi iman na kubaki vuguvugu ama wapagan kama mnavyowaita.

Itafika wakati viongozi wa makanisa watailaumu serikali ipambane na kuibuka kwa manabii&makongamano&mikutano ya wana upako wanaoiba waumini makanisan sabbu ya miujiza,[emoji23].

Viongoz wa madhehebu watafanya vikao kunusuru hili jambo lkn hawataweza[emoji23].

Bila kusahau ongezeko la vijana wasiojari mambo ya dini na kuhoji undani wa dini, hilo ndilo litazimaliza hizi dini mazima, maana hawa vijana wakizipuuza dini unadhani watoto wa hawa vijana watafuata lipi?, [emoji23][emoji23] muda si mrefu haya yatatokea amini usiamin, na baada ya Kifo cha dini, UFAHAMU MPYA wa watu utainuka ndipo ule mwisho utafika, na mwisho wenyewe ndio ile hukumu ya maovu na haki iliyofichwa na hao wana dini wa uongo
1666166384932.jpg
 
Hizi ndio changamoto za kanisa la Tanzania. Tuzidi kumuomba Mungu.

1. Mikutano ya The Big Octoba na The Big Novemba iliyokuwa inahuhubiri kuacha dhambi na kumrudia Kristo imekufa.

2. Mwamposa na Suguye wanauza vifaa vya uponyaji mafuta, maji, keki na vitambaa badala ya kuhubiri watu waache dhambi, pia hawataki kufungua matawi mikoani na kupanda makanisa.

3.RC nao wamechachamaa kwa michango kuanzia kwenye jumuiya hadi Parokiani. Huna hela huzikwi.

4. Mwakasege naye amechachamaa na masomo ya sadaka mwanzo mwisho, mfano semina ya Mbeya (26-30 Oct, 2022) somo ni sadaka tu hakuna kingine.

5. KKKT nao hawaeleweki wachungaji wanaowaiga wapentekosti/walokole ndio wanapata umaarufu mfano Kimaro na Mgogo wale wanaohubiri kilutheriluther hawana chao wala umaarufu.

6. TAG/EAGT hawana wainjilisti wakitaifa kama kina Moses Kulola wamebakia wapigaji tu.

7.Viongozi was dini kugombania mialiko sherehe za kitaifa ili wakalambe asali no aibu.

INAUMA SANA
Ulitusikia sisi wakatoliki tunalalamika? Uzuri kila hela tunayochanga tunaiona kazi yake!
 
Ondoa Hapo namba 3 umekosea.Tunaona shule hospitali vyuo n.k vyote hivi vinatoa huduma katika jamii wakati huo mapadre si watu matajiri kama ilivyo kwa wengine na injili inahubiriwa kama kawaida.
Acha kuwatetea matapel, nyie wakatoric ndio hatar hata kwa taifa, mnafanya biashara kupitia mgongo wa dini

Mnajifanya kufungua magenge yenu ya huduma za kijamii kupitia majina ya watakatifu wenu ili mpige pesa za wateja, bila kusahau ktk mashule yenu ndipo lilipo chimbo la mafunzo ya usodoma, tunawajua ninyi ni wafanya biashara, mngekuwa na moyo wa kusaidia mngejikita na mayatima, wagonjwa na wajane, lkn badala yake mna huduma za gharama zenye ubaguzi na wizi, ninyi pia ni shirika la ujasusi wa kuiba data za taifa, kiufupi dhehebu lenu ndilo mama wa uongo yakifuatia hayo magenge mengine ya ulokole na usabato, wote ninyi kifo chenu cha makanisa kipo karibu
 
Acha kuwatetea matapel, nyie wakatoric ndio hatar hata kwa taifa, mnafanya biashara kupitia mgongo wa dini

Mnajifanya kufungua magenge yenu ya huduma za kijamii kupitia majina ya watakatifu wenu ili mpige pesa za wateja, bila kusahau ktk mashule yenu ndipo lilipo chimbo la mafunzo ya usodoma, tunawajua ninyi ni wafanya biashara, mngekuwa na moyo wa kusaidia mngejikita na mayatima, wagonjwa na wajane, lkn badala yake mna huduma za gharama zenye ubaguzi na wizi, ninyi pia ni shirika la ujasusi wa kuiba data za taifa, kiufupi dhehebu lenu ndilo mama wa uongo yakifuatia hayo magenge mengine ya ulokole na usabato, wote ninyi kifo chenu cha makanisa kipo karibu
Utakuwa ama mfuasi wa yule kahaba E.White au mvaa kobazi uliyetukuka.
Huku niliko RC wanamiliki vituo vingi vya watoto yatima.
Hyo tuhuma ya khs sodomy toa ushahidi humu usiwe mnafiki n tasisi au shule ipi wanafundisha hyo mambo ya homosexuality
 
Utakuwa ama mfuasi wa yule kahaba E.White au mvaa kobazi uliyetukuka.
Huku niliko RC wanamiliki vituo vingi vya watoto yatima.
Hyo tuhuma ya khs sodomy toa ushahidi humu usiwe mnafiki n tasisi au shule ipi wanafundisha hyo mambo ya homosexuality
Mm sina dini na umeona hapo nimeandika kifo cha dini, nikimaanisha hata madhehebu yote ndani ya hizo dini.

Siwezi kupoteza muda kukuelewesha maana ukweli unauona mwenyewe dhehebu lako ndilo kinara wa maovu, and soon litakuwa pia kinara wa kupoteza ushawishi kwa jamii, tunza hii siku utakumbuka baada ya kifo cha ilo dhehebu lako, , tafuta ukweli achana na uongo wa kidini
 
Hizi ndio changamoto za kanisa la Tanzania. Tuzidi kumuomba Mungu.

1. Mikutano ya The Big Octoba na The Big Novemba iliyokuwa inahuhubiri kuacha dhambi na kumrudia Kristo imekufa.

2. Mwamposa na Suguye wanauza vifaa vya uponyaji mafuta, maji, keki na vitambaa badala ya kuhubiri watu waache dhambi, pia hawataki kufungua matawi mikoani na kupanda makanisa.

3.RC nao wamechachamaa kwa michango kuanzia kwenye jumuiya hadi Parokiani. Huna hela huzikwi.

4. Mwakasege naye amechachamaa na masomo ya sadaka mwanzo mwisho, mfano semina ya Mbeya (26-30 Oct, 2022) somo ni sadaka tu hakuna kingine.

5. KKKT nao hawaeleweki wachungaji wanaowaiga wapentekosti/walokole ndio wanapata umaarufu mfano Kimaro na Mgogo wale wanaohubiri kilutheriluther hawana chao wala umaarufu.

6. TAG/EAGT hawana wainjilisti wakitaifa kama kina Moses Kulola wamebakia wapigaji tu.

7.Viongozi was dini kugombania mialiko sherehe za kitaifa ili wakalambe asali no aibu.

INAUMA SANA
umepiga bomu zito sana hakuna mtu atapona hapo... a compromised Gospel produces compromised fruits..
 
Acha kuwatetea matapel, nyie wakatoric ndio hatar hata kwa taifa, mnafanya biashara kupitia mgongo wa dini

Mnajifanya kufungua magenge yenu ya huduma za kijamii kupitia majina ya watakatifu wenu ili mpige pesa za wateja, bila kusahau ktk mashule yenu ndipo lilipo chimbo la mafunzo ya usodoma, tunawajua ninyi ni wafanya biashara, mngekuwa na moyo wa kusaidia mngejikita na mayatima, wagonjwa na wajane, lkn badala yake mna huduma za gharama zenye ubaguzi na wizi, ninyi pia ni shirika la ujasusi wa kuiba data za taifa, kiufupi dhehebu lenu ndilo mama wa uongo yakifuatia hayo magenge mengine ya ulokole na usabato, wote ninyi kifo chenu cha makanisa kipo karibu
Naona una hasira nao sana!
 
Ukiwa huna sadaka huna chako si ndio? Upako na Karama za Mungu zinauzwa?

Sadaka ziendane na mafundisho sahihi ya INJILI ikiwemo kukemea DHAMBI.

YESU ALIKUFA PALE MSALABANI HIYO NDIO SADAKA KUBWA KULIKO ZOTE. DAMU YA YESU INANENA MEMA.
Halafu nasikia sadaka inapelekwa ikiwa kwenye bahasha yenye jina la mtoaji
 
Mkuu mengine siwezi kuzungumzia..ila suala la sadaka sio option...Watu wanachoma milions kidimbwi + matumizi ya hovyo kwenye sherehe kama bday alafu akiskia kuhusu mchango au sadaka tu hata kutoa 10000 anahisi kama anapigwa..Mahusiano na Mungu sio rahisi kihivyo lazima uinvest..after all ni maamuzi yako pia...Kumtolea Mungu sadaka mtu hataki,kusaidia ndugu,marafiki,familia na wengine ambao ana uwezo wa kusaidia hataki pia sasa mtu huyo anakaa kundi lipi?
Watu wako tayari kuchoma pesa zao kwa mambo ya kidunia lakini hawataki kumrudishia Mungu shukrani na haohao wanategemea Mungu atende miujiza kwenye maisha yao..Its Not Fair at All.
Umenena vema na ukweli mtupu ,watu wameamua kukaza fuvu hawaambiliki
 
Fafanua kidogo mwana wa ufalme.
Yesu Kristo hakuja kufungua majengo ama taasisi ziitwazo Kanisa. Kimsingi Kanisa ni kusanyiko - congregation - eklesia. Kristo alikuja kutangaza habari njema ya ufalme wa Mungu. Taasisi zilizojiita "Kanisa" ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu, lakini mpango wa Mungu kumtafuta mwanadamu ni kufa na kufufuka kwa Yesu Kristo.

Tumeitwa kuwa ufalme wa makuhani:

Ufunuo wa Yohana 5:9
Nao waimba wimbo mpya wakisema, Wastahili wewe kukitwaa hicho kitabu na kuzifungua muhuri zake; kwa kuwa ulichinjwa, ukamnunulia Mungu kwa damu yako watu wa kila kabila na lugha na jamaa na taifa,

Ufunuo wa Yohana 5:10

ukawafanya kuwa ufalme na makuhani kwa Mungu wetu; nao watamiliki juu ya nchi.

Hawa ni wana wa ufalme wa makuhani kwa Mungu, kutoka dunia yote. Kumbuka Kristo katika mafundisho yake aliongelea agenda moja tu, UFALME WA MUNGU. Ili kuwa raia wa ufalme wa Mungu ni lazima uzaliwe huko, ndio maana ya kuzaliwa mara ya pili. Mungu ni Roho na ufalme wake ni wa kiroho. Huwezi kuwa mwana wa ufalme kwa jinsi ya kimwili bali kwa kuutiisha mwili ni kumfanya Roho atawale. Hili ndio aina ya Kanisa aliloacha Kristo, Kanisa la wamwabuduo halisi.

Makanisa mengi leo hii yapo kimwili tu huku yakijiita wana wa Mungu. Sio kila ajiitaye Mkristo ni mwana wa Mungu, church membership haikufanyi kuwa mwana. Ndio hizo taratibu na sheria nyingi za makanisa. Makanisa ya mali na mafanikio, makanisa yanayolilia milki za dunia. Hayo yanekoma kuwa makanisa ya Mungu aliye hai, ekklesia
 
Hizi ndio changamoto za kanisa la Tanzania. Tuzidi kumuomba Mungu.

1. Mikutano ya The Big Octoba na The Big Novemba iliyokuwa inahuhubiri kuacha dhambi na kumrudia Kristo imekufa.

2. Mwamposa na Suguye wanauza vifaa vya uponyaji mafuta, maji, keki na vitambaa badala ya kuhubiri watu waache dhambi, pia hawataki kufungua matawi mikoani na kupanda makanisa.

3.RC nao wamechachamaa kwa michango kuanzia kwenye jumuiya hadi Parokiani. Huna hela huzikwi.

4. Mwakasege naye amechachamaa na masomo ya sadaka mwanzo mwisho, mfano semina ya Mbeya (26-30 Oct, 2022) somo ni sadaka tu hakuna kingine.

5. KKKT nao hawaeleweki wachungaji wanaowaiga wapentekosti/walokole ndio wanapata umaarufu mfano Kimaro na Mgogo wale wanaohubiri kilutheriluther hawana chao wala umaarufu.

6. TAG/EAGT hawana wainjilisti wakitaifa kama kina Moses Kulola wamebakia wapigaji tu.

7.Viongozi was dini kugombania mialiko sherehe za kitaifa ili wakalambe asali no aibu.

INAUMA SANA
Una hoja tena nzito
 
Back
Top Bottom