basi naomba kanisa limhoji ndugu Mafwele na ashike Biblia mbele ya baraza la kanisa aape kama kweli hahusiki na tuhuma zinazotajwa dhidi yake.🥺🤔🙇🏿♂Ni wazi kuwa huyu ndugu Mafwele ni mshiriki wa kanisa la Waadventista Wasabato.
Kwakuwa mwongozo wao wa kanisa unasema kuwa kuvunja moja ya amri 10 za Mungu ni kosa linaloweza pelekea adhabu dhidi yako, basi naomba kanisa limhoji ndugu Mafwele na ashike Biblia mbele ya baraza la kanisa aape kama kweli hahusiki na tuhuma zinazotajwa dhidi yake.
Ikiwa anahusika basi kanisa limwondoe katika kitabu cha ushirika kama mwongozo unavyosema na kumpa muda wa kujirekebisha na akijirekebisha abatizwe tena na kuwa kiumbe kipya.
Aidha waumini wake wengine ndugu Lengai Ole Sabaya, Boniphace Jacob, Cyprian Musiba, Mzee Wassira, Dr. Ryoba na wengine wachukuliwe hatua kwa usawa kama alivyo chukuliwa hatua Lady Jaydee kipindi alivyo amua kujihusisha na muziki wa kidunia.
Kanisa la Waadventista Wasabato limepiga marufuku waumini wake kujihusisha na mambo ya siasa, watajwa hapo juu na wengine ambao sijawataja wamehusika mojakwamoja katika siasa.
Ellen G. White is not the authority of the church, neno lake sio amri, yeye alikuwa muumini kama wewe na mimi.Ellen G. White amekataa waumini kufanya siasa, amesema kazi pekee waliyonayo ni kueneza ujumbe wa malaika watatu.
Kua mwaminifu, Mtii Mungu zishike Sheria za Nchi, Heshimu jamii mwisho Enjoy haya makanisa ni miradi ya watu utayataabikia sana na mwisho yatakusaliti na hayajawahi kua ja msaada wa kueleweka kwenye maisha zaidi ya kuaminishana umoja wa kinafiki.Naunga mkono hoja.
Na jee; akiwa mwadilifu roho ya unabii inasemaje kwa hilo?Naweza pata nukuu? Kwataarifa yako roho ya unabii inakataza mpaka bima za maisha na kujiunga kwenye vyama vya wafanyakazi. Imeonya juu ya kujihusisha na siasa, na mama White anasema endapo wewe utapiga kura na huyo uliyempigia akawa corrupt basi utakuwa umeshiriki uovu huo.
Bro we ni msabato??Naweza pata nukuu? Kwataarifa yako roho ya unabii inakataza mpaka bima za maisha na kujiunga kwenye vyama vya wafanyakazi. Imeonya juu ya kujihusisha na siasa, na mama White anasema endapo wewe utapiga kura na huyo uliyempigia akawa corrupt basi utakuwa umeshiriki uovu huo.
Huyo sisi hatumtambui, labda huko upande wa piliHakimu na mwenye mamlaka wanasema ni Allah, mwenyeezi Mungu tu, ndiye anaweza kufanya tofauti na makanisa
Hujanielewa, nimesema alikuwa muumini kama mimi na wewe haimanishi nimemvua unabii wake au nimeshusha vyeo, lahasha ila nilichosema Mama White sio authority, authority ni Yesu pekee.Kwahiyo huamini kuwa alikuwa nabii? Hakuna sehemu yoyote ambayo ameshauri watu wajihusishe na siasa
Mmmmh! 1. Kuwa mwaminifu✅Kua mwaminifu, Mtii Mungu zishike Sheria za Nchi, Heshimu jamii mwisho Enjoy haya makanisa ni miradi ya watu utayataabikia sana na mwisho yatakusaliti na hayajawahi kua ja msaada wa kueleweka kwenye maisha zaidi ya kuaminishana umoja wa kinafiki.
Kuepuka uzushi na sababu kanisa halikuweko huko vichakaniSawa. Je, ni kila kosa hufanyika hadharani kwa mujibu wa kanisa? Je, kwa mfano mtu amebakwa vichakani/porini huko kusiko na aliyeshuhudia tukio; sio sahihi kwamba aliyebakwa anasimama kuwa ndiye shahidi #1 wa kuaminika? Unamchukuliaje Sativa.
Wao si mahakama, kuna mipaka of which kanisa mamlaka yake yanaishia wapiNi wazi kuwa huyu ndugu Mafwele ni mshiriki wa kanisa la Waadventista Wasabato.
Kwakuwa mwongozo wao wa kanisa unasema kuwa kuvunja moja ya amri 10 za Mungu ni kosa linaloweza pelekea adhabu dhidi yako, basi naomba kanisa limhoji ndugu Mafwele na ashike Biblia mbele ya baraza la kanisa aape kama kweli hahusiki na tuhuma zinazotajwa dhidi yake.
Ikiwa anahusika basi kanisa limwondoe katika kitabu cha ushirika kama mwongozo unavyosema na kumpa muda wa kujirekebisha na akijirekebisha abatizwe tena na kuwa kiumbe kipya.
Aidha waumini wake wengine ndugu Lengai Ole Sabaya, Boniphace Jacob, Cyprian Musiba, Mzee Wassira, Dr. Ryoba na wengine wachukuliwe hatua kwa usawa kama alivyo chukuliwa hatua Lady Jaydee kipindi alivyo amua kujihusisha na muziki wa kidunia.
Kanisa la Waadventista Wasabato limepiga marufuku waumini wake kujihusisha na mambo ya siasa, watajwa hapo juu na wengine ambao sijawataja wamehusika mojakwamoja katika siasa.
Mwimbaji yupi huyo?Hilo ndo kanisa la sasa linapuuza ukweli mwingi kwa kisingizio cha ushahidi usio na shaka mnapeana mimba hovyo humo kanisani na kwayani na bado mnasali na kuhudumu kwa kisingizio cha ushahidi wapuuzi kweli nyie.
Yule mwimnaji mpaka anakufa akizini na familia na kanisa likijua lakin hakuwahi hata kuulizwa, Kibunda baba.
Sawa endelea kuokotwa ukitosheka utapumzika, Watu wamepigwa tangu enzi za Dr Livingston na hakuna cha maana kanisa limefanya hushtuki?Mmmmh! 1. Kuwa mwaminifu✅
2. Mtii Mungu✔️✔️✔️
3. Zishike Sheria za nchi ☑️ it is subjective
4. Heshimu Jamii ☑️ It is subjective
5. Enjoy✔️
6. Haya makanisa ni miradi ya watu...............kuaminishana umoja wa kinafiki ✖️
Hili swali sitokujibu, Marehem hasemwi vibaya.Mwimbaji yupi huyo?
Akasema pia kwamba,katiba ni kitabu tuuuuu.Misikiti nayo imchululie hatua kiongozi yeyote anaye vaa majuba huku akisema kifo ni kifo. Kana kwamba anashangilia
Kweli kabisa. Ndiyo maana mimi uwa naona hata Jefu siyo wa kumwamini sana ukiwa sebuleni kwake.Hakuna mkate mgumu mbele ya chai buana.
Kwenye ile comment haujamsema vibaya eh?Hili swali sitokujibu, Marehem hasemwi vibaya.
Mwimbaji gani vileeHilo ndo kanisa la sasa linapuuza ukweli mwingi kwa kisingizio cha ushahidi usio na shaka mnapeana mimba hovyo humo kanisani na kwayani na bado mnasali na kuhudumu kwa kisingizio cha ushahidi wapuuzi kweli nyie.
Yule mwimnaji mpaka anakufa akizini na familia na kanisa likijua lakin hakuwahi hata kuulizwa, Kibunda baba.
As per vitabu vinavyotumika kanisan.Note: Vyeo vya kuteuliwa ndo Uchawa na Mkono wa CCM, lakini vyeo vya kuchaguliwa na wananchi ndo vyeo vyeo kutumikia Umma.
Hapo unasemaje?