Kanuni mpya Kikokotoo Inaondoa ubabe wa NSSF. Siasa za Magufuli ziliwabeba waonevu NSSF

Kanuni mpya Kikokotoo Inaondoa ubabe wa NSSF. Siasa za Magufuli ziliwabeba waonevu NSSF

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,321
Reaction score
2,106
Mwaka 2014 Sheria ya iliyokuwa SSRA ilianza kutumika kulipa mafao na ikasaidia sana kupandisha mafao ya Mfuko wa NSSF na iliyokuwa PPF ambayo ilikuwa inawanyonya kisheenziii wastaafu kabla ya 2014 Julai. Hata baada ya Kanuni hiyo Mfuko wetu wa NSSF uliendelea kuwanyonya wastaafu wengi kwa kigezo eti wale walioingia kabla ya Mwaka 1998 eti walikuwa wakifanyiwa conversion ya michango yao ya kila mwezi kwa wakati huo na kupunguzwa sana.

Kwa mfano, mtu ambaye hata kufikia mwaka 1998 alikwa tarayai kafanya kazi miaka 20 ambayo ni asawa na miezi 240 alikuwa anapunguziwa hiyo miezi hadi kuonekana eti ni miezi isiyozidi 90. Kwa hiyo unakuata mstaafu kapoteza hadi miezi 130 ya utumishi wake katika kulipwa pensheni.

Pamoja na Kanuni hiyo kutaja miezi lakini NSSF wao walikuwa wakiendelea kuwapunja wastaafu kwa kubadili miezi hiyo na kuifanya kuwa michache na imetokea wastaafu wengi sana NSSF wamepoteza pensheni zao kwa sababu ya utaratibu huo wa conversion. Mtu wa NSSF unakuta kafanya kazi miaka mingi lakini pensheni yake unakuta ni kiduchu mno kisa hiyo hiyo conversion formula.

Shangazi yangu alistaafu mwaka 2016 lkn kwa kipindi cha nyuma ya miaka 20 huko kabla ya mwaka 1998 ilichukuliwa miezi 240 na kubadilishwa na kuwa miezi 89 kwa hiyo wakachukua miezi ya kuanzia mwaka Julai 1998 na hiyo miezi 89 na kumlipa pensheni kwa upungufu wa miezi 131 na bila hata aibu tulipofuatilia walikuwa wanakenua kenua meno tu na kutujibu kunya kwa kuwa wakati huo Erio alikuwa anaweza kukaa na kula dinner na Mwendazake Ikulu bila kizuizi chochote.

Nimeangalia Kanuni ya sasa pia haiongelei suala la NSSF kutumia conversion formula lkini kwa kuwa wanafikiri wananchi hatuoni inawezekana kabisa wakaendelea hivyo hivyo kutunyonya kupitia conversion formla.

Rais Samia pls ongelea na hili kwani tambua kuwa wakati mwingine watendaji hawa wa Mifuko wana roho mbaya sana wanasababisha Serikali yako ichukiwe kwa ajili tu ya kufanya makusudi. These people of pension funds are real bad people.
 
Watumishi wa serikali tabu ndo ipo kwenye kikokotoo unapewa 33% kama fedha ya mkupuo na 67% inayobaki unapewa kama pensheni yani kama una kitita cha 100m unapewa 33,000,000 hio 67,000,000 unapewa kama pensheni...bila hili swala kurekebishwa watumishi wa umma wataendelea kufuja sana rasilimali za serikali...
 
Kwani wafanyakazi hamuwezi kuacha kazi mkaanzq kujitafutia fedha wenyewe kupitia biashara na kilimo? Mbona mnateseka sana
Hivi mnavyoandika comment kama hizi huwa mnafikiria kweli nyie motiveni supika? Kila mtu akiacha kazi akaenda kwenye kilimo na biashara, watoto shuleni watafundishwa na nani?, wagonjwa mahospitali watatibiwa na nani?
 
Mi naomba nieleweshe kuhusu hii michango na malipo yake!

Kama kwa muda wote wa utumishi wangu nimechangia kwa miezi isiyopungua 400 jumla ya sh 200m jumla!

Ninapostaafu, unanipaje hiyo pesa yangu uliyokaa nayo kwa miaka isiyopungua 30?

Biashara zote wanazofanyia, gawiwo kwa watoa mtaji ikoje?

Kwanini nisipewe michango yangu yote kwa mkupuo wao wakabaki na faida waliyoizalisha kutokana na bulungutu hilo?
 
Mwaka 2014 Sheria ya iliyokuwa SSRA ilianza kutumika kulipa mafao na ikasaidia sana kupandisha mafao ya Mfuko wa NSSF na iliyokuwa PPF ambayo ilikuwa inawanyonya kisheenziii wastaafu kabla ya 2014 Julai. Hata baada ya Kanuni hiyo Mfuko wetu wa NSSF uliendelea kuwanyonya wastaafu wengi kwa kigezo eti wale walioingia kabla ya Mwaka 1998 eti walikuwa wakifanyiwa conversion ya michango yao ya kila mwezi kwa wakati huo na kupunguzwa sana. Kwa mfao mtu ambaye hata kufikia mwaka 1998 alikwa tarayai kafanya kazi miaka 20 ambayo ni asawa na miezi 240 alikuwa anapunguziwa hiyo miezi hadi kuonekana eti ni miezi isiyozidi 90. Kwa hiyo unakuata mstaafu kapoteza hadi miezi 130 ya utumishi wake katika kulipwa pensheni.

Pamoja na Kanuni hiyo kutaja miezi lakini NSSF wao walikuwa wakiendelea kuwapunja wastaafu kwa kubadili miezi hiyo na kuifanya kuwa michache na imetokea wastaafu wengi sana NSSF wamepoteza pensheni zao kwa sababu ya utaratibu huo wa conversion. Mtu wa NSSF unakuta kafanya kazi miaka mingi lakini pensheni yake unakuta ni kiduchu mno kisa hiyo hiyo conversion formula.

Shangazi yangu alistaafu mwaka 2016 lkn kwa kipindi cha nyuma ya miaka 20 huko kabla ya mwaka 1998 ilichukuliwa miezi 240 na kubadilishwa na kuwa miezi 89 kwa hiyo wakachukua miezi ya kuanzia mwaka Julai 1998 na hiyo miezi 89 na kumlipa pensheni kwa upungufu wa miezi 131 na bila hata aibu tulipofuatilia walikuwa wanakenua kenua meno tu na kutujibu kunya kwa kuwa wakati huo Erio alikuwa anaweza kukaa na kula dinner na Mwendazake Ikulu bila kizuizi chochote.

Nimeangalia Kanuni ya sasa pia haiongelei suala la conversion formula lkini kwa kuwa wanafikiri wananchi hatuoni inawezekana kabisa wakaendelea hivyo hivyo. Mama Samia pls ongelea na hili kwani tambua kuwa wakati mwingine watendaji hawa wa Mifuko wana roho mbaya sana wanasababisha Serikali yako ichukiwe kwa ajili tu ya kufanya makusudi. They people of pension funds are real bad people.
Hujui madhara ya mfumo mpya, ungalijua usingeshadadia.
Subirini kilio
 
Kumbuka JPM hakuridhia kikokotoo.
Alitoa miaka 5 kiangaliwe upya.
Mpaka anafariki miaka mitano ilikuwa haijafika.
Kama umefanyiwa uhuni pole.
JPM asilaumiwe kwa hili
Mpuuz mmoja wewe, kwani aliyefanya marekebisho ya sheria kutoka mtu kuchukua 100% ya mafao yake mpaka 25% ni nani kama sio JPM!
Mtetee kwa kadri uwezavyo lakini he was a devil in so many aspects!
 
Hivi mnavyoandika comment kama hizi huwa mnafikiria kweli nyie motiveni supika? Kila mtu akiacha kazi akaenda kwenye kilimo na biashara, watoto shuleni watafundishwa na nani?, wagonjwa mahospitali watatibiwa na nani?
Hawaelewi wanachokisema. Anazungumza kilimo lakin anasahau kuna watumishi wapo kwenye viwanda na bohari za madawa kumsaidia yeye, watoto wake wapo shule walimu wanamfundishia na kumuondolea ujinga, yeye mwenyewe akipata mimba anakwenda kujifungulia hospitali anazalishwa na manesi (watumishi), wakimuibia anakimbilia polisi na mahakamani n.k sasa chukulia wote hawa wanakwenda kulima nani atakuwa mnunuzi?
 
Hawaelewi wanachokisema. Anazungumza kilimo lakin anasahau kuna watumishi wapo kwenye viwanda na bohari za madawa kumsaidia yeye, watoto wake wapo shule walimu wanamfundishia na kumuondolea ujinga, yeye mwenyewe akipata mimba anakwenda kujifungulia hospitali anazalishwa na manesi (watumishi), wakimuibia anakimbilia polisi na mahakamani n.k sasa chukulia wote hawa wanakwenda kulima nani atakuwa mnunuzi?
mkuu, achana na huyo jamaa, Biblia inawaita watu wa dizaini hiyo kuwa ni wapumbavu.


YESU NI BWANA
 
Mi naomba nieleweshe kuhusu hii michango na malipo yake!

Kama kwa muda wote wa utumishi wangu nimechangia kwa miezi isiyopungua 400 jumla ya sh 200m jumla!

Ninapostaafu, unanipaje hiyo pesa yangu uliyokaa nayo kwa miaka isiyopungua 30?

Biashara zote wanazofanyia, gawiwo kwa watoa mtaji ikoje?

Kwanini nisipewe michango yangu yote kwa mkupuo wao wakabaki na faida waliyoizalisha kutokana na bulungutu hilo?
Hii ndio hoja ambayo viongozi wa Vyama vya wafanyakazi walipaswa wakomae nayo, lakin wamepigwa upofu hawaoni faida inayotengenezwa na mifuko kupitia pesa za wastaafu. Mimi nimeanza kazi nikiwa na miaka 24, panapo majaaliwa nitatumikia taifa kwa 36 yrs wanakaa na pesa zangu kwa kipindi hicho chote na wanatengeneza faida kubwa sana. Vyama vya wafanyakazi wasimame kupigania haki za wafanyakazi. Kama kuna watu waliokwapua mapesa kwenye mifuko, wasakwe hao na wafilisiwe ila sio kumpa mzigo myumishi kumshikia pesa yake ati utamlipa pole pole wakati hujui mkataba wake wa maisha na Mungu wake
 
Kumbuka JPM hakuridhia kikokotoo.
Alitoa miaka 5 kiangaliwe upya.
Mpaka anafariki miaka mitano ilikuwa haijafika.
Kama umefanyiwa uhuni pole.
JPM asilaumiwe kwa hili
Hujanielewa kabisa wewe! JPM kwa kushirikiana na hao vigogo wa Mifuko wa Enzi hizo ndiyo waliibinuliaa SSRA huko! Mojawapo ya issue ni hata Mifuko wenyewe hawakupenda kikokotoo cha SSRA ambacho hamna kilichokwepwa kwani mama amekirudisha kwa maboresho ambayo kwa wengine ni hasi na kwa wengine ni chanya!
 
Mwaka 2014 Sheria ya iliyokuwa SSRA ilianza kutumika kulipa mafao na ikasaidia sana kupandisha mafao ya Mfuko wa NSSF na iliyokuwa PPF ambayo ilikuwa inawanyonya kisheenziii wastaafu kabla ya 2014 Julai. Hata baada ya Kanuni hiyo Mfuko wetu wa NSSF uliendelea kuwanyonya wastaafu wengi kwa kigezo eti wale walioingia kabla ya Mwaka 1998 eti walikuwa wakifanyiwa conversion ya michango yao ya kila mwezi kwa wakati huo na kupunguzwa sana. Kwa mfao mtu ambaye hata kufikia mwaka 1998 alikwa tarayai kafanya kazi miaka 20 ambayo ni asawa na miezi 240 alikuwa anapunguziwa hiyo miezi hadi kuonekana eti ni miezi isiyozidi 90. Kwa hiyo unakuata mstaafu kapoteza hadi miezi 130 ya utumishi wake katika kulipwa pensheni.

Pamoja na Kanuni hiyo kutaja miezi lakini NSSF wao walikuwa wakiendelea kuwapunja wastaafu kwa kubadili miezi hiyo na kuifanya kuwa michache na imetokea wastaafu wengi sana NSSF wamepoteza pensheni zao kwa sababu ya utaratibu huo wa conversion. Mtu wa NSSF unakuta kafanya kazi miaka mingi lakini pensheni yake unakuta ni kiduchu mno kisa hiyo hiyo conversion formula.

Shangazi yangu alistaafu mwaka 2016 lkn kwa kipindi cha nyuma ya miaka 20 huko kabla ya mwaka 1998 ilichukuliwa miezi 240 na kubadilishwa na kuwa miezi 89 kwa hiyo wakachukua miezi ya kuanzia mwaka Julai 1998 na hiyo miezi 89 na kumlipa pensheni kwa upungufu wa miezi 131 na bila hata aibu tulipofuatilia walikuwa wanakenua kenua meno tu na kutujibu kunya kwa kuwa wakati huo Erio alikuwa anaweza kukaa na kula dinner na Mwendazake Ikulu bila kizuizi chochote.

Nimeangalia Kanuni ya sasa pia haiongelei suala la conversion formula lkini kwa kuwa wanafikiri wananchi hatuoni inawezekana kabisa wakaendelea hivyo hivyo. Mama Samia pls ongelea na hili kwani tambua kuwa wakati mwingine watendaji hawa wa Mifuko wana roho mbaya sana wanasababisha Serikali yako ichukiwe kwa ajili tu ya kufanya makusudi. They people of pension funds are real bad people.
Ninakumbuka miaka ya Kikwete madarakani Prof. Shivji aliwahi kulalamika kuhusu wafanyakazi wanaochangia NSSF kudhulumiwa mishahara yao, ni kwamba mfanyakazi amechangia NSSF kwa muda wa miaka 30 lakini anapostaafu analipwa kikomo cha miaka 15 tu! Hiyo michango iliyozidi miaka 15 inapotea! Pamoja na Pro. Shivji kuongelea hilo Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi pamoja na wafanyakazi waliliona swala hilo haliwahusu! Ndivyo watanzania tulivyo kutokujali haki zetu.
 
Back
Top Bottom