Kanuni mpya Kikokotoo Inaondoa ubabe wa NSSF. Siasa za Magufuli ziliwabeba waonevu NSSF

Kanuni mpya Kikokotoo Inaondoa ubabe wa NSSF. Siasa za Magufuli ziliwabeba waonevu NSSF

Mpuuz mmoja wewe, kwani aliyefanya marekebisho ya sheria kutoka mtu kuchukua 100% ya mafao yake mpaka 25% ni nani kama sio JPM!
Mtetee kwa kadri uwezavyo lakini he was a devil in so many aspects!
Halafu akajishtukia mwenyewe!
 
Hujui madhara ya mfumo mpya, ungalijua usingeshadadia.
Subirini kilio
Wewe ndiyo hujui! Tena hujui kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Kwani wafanyakazi hamuwezi kuacha kazi mkaanzq kujitafutia fedha wenyewe kupitia biashara na kilimo? Mbona mnateseka sana
Wao wameamua kujitafutia fedha kwa njia hiii, wewe kama ni mkulima au mfanyabiashara ni juu Yako. Kila mtu akiwa mkulima na mfanyabiashara mtamuuzia nani basi?. Jikite kuwashauri na kuwa andaa watoto na jamii Yako wasiwe wafanyakazi.
 
Ninakumbuka miaka ya Kikwete madarakani Prof. Shivji aliwahi kulalamika kuhusu wafanyakazi wanaochangia NSSF kudhulumiwa mishahara yao, ni kwamba mfanyakazi amechangia NSSF kwa muda wa miaka 30 lakini anapostaafu analipwa kikomo cha miaka 15 tu! Hiyo michango iliyozidi miaka 15 inapotea! Pamoja na Pro. Shivji kuongelea hilo Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi pamoja na wafanyakazi waliliona swala hilo haliwahusu! Ndivyo watanzania tulivyo kutokujali haki zetu.
NSSF ya Dau, Kahyarara na hata Erio ilikuwa ya kikatili sana. Hebu tumwone na huyu Msukuma Masha kama naye ana roho mbaya kama wenzake!
 
Wao wameamua kujitafutia fedha kwa njia hiii, wewe kama ni mkulima au mfanyabiashara ni juu Yako. Kila mtu akiwa mkulima na mfanyabiashara mtamuuzia nani basi?. Jikite kuwashauri na kuwa andaa watoto na jamii Yako wasiwe wafanyakazi.
Hata wakulima sasa wanaweza kuchangia!
 
The bottom line ni kwamba mashirika haya ya kijamii hasa NSSF yanajinufaisha yenyewe tu badala ya wafanyakazi, yanawatesa sana wastaafu na kuwasababishia msongo mkubwa wa mawazo. Kibaya zaidi wafanya kazi wao hawana hata chembe cha huruma inapofika wakati wa wastaafu kufuatilia mafao yao. Wanawafanya kama watoto wadogo, wanawadhalilisha na kuwapa lugha za kijeuri sana wakati wakitafuta haki zao. Hakuna maelezo au utaratibu unaoeleweka wa jinsi ya kupata na kujua mahesabu yanavyopigwa hadi kukupatia mafao yako

NSSF Mungu anawaona
 
Mpuuz mmoja wewe, kwani aliyefanya marekebisho ya sheria kutoka mtu kuchukua 100% ya mafao yake mpaka 25% ni nani kama sio JPM!
Mtetee kwa kadri uwezavyo lakini he was a devil in so many aspects!
Dogo acha matusi toa hoja.
Alisema liangaliwe upya baada ya wadau kuligomea na alitoa miaka 5. Sasa kama bado miaka 5 kufika unamlaumu vipi?
Maana yake kikotoo bado hakijaanza kufanyiwa kazi.

Basi umeliwa na wajanja tu.
 
Wewe ndiyo hujui! Tena hujui kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
We sjui unalazimisha kutumia ubongo upi.
Iko hivi,
Unalipwa special lumpsam 33 unaona ni kubwa.
Ila monthly pension inapungua.
Bahati mbaya hyo lumpsam umpate Bi Aisha zikiisha wafwa maana ile monthly itakua kiduchu.

Ni bora upate 25 theni hyo 75 upate monthly

Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
 
Niliwaambia wakati mnashangilia 23.3% muangalie vilevile mkupuo wa 33%.Nilichotahadharisha subiri atakayestaafuu 1st July 22 atatoa majibu.Kwa waliokuwa PPF au NSSF tangu zamani hawana tatizo ila waliokuwa mifuko mingine wataelewa maana ya 30% mkupuo baada hiyo 1st july.
 
Hujanielewa kabisa wewe! JPM kwa kushirikiana na hao vigogo wa Mifuko wa Enzi hizo ndiyo waliibinuliaa SSRA huko! Mojawapo ya issue ni hata Mifuko wenyewe hawakupenda kikokotoo cha SSRA ambacho hamna kilichokwepwa kwani mama amekirudisha kwa maboresho ambayo kwa wengine ni hasi na kwa wengine ni chanya!
Maboresho yapi? Yaani hawa CCM kwa aslimia 33 kati yamia. Nisaidieni ikitokea umekufa hata mwaka bado hiyo 67% inaenda wapi
 
The bottom line ni kwamba mashirika haya ya kijamii hasa NSSF yanajinufaisha yenyewe tu badala ya wafanyakazi, yanawatesa sana wastaafu na kuwasababishia msongo mkubwa wa mawazo. Kibaya zaidi wafanya kazi wao hawana hata chembe cha huruma inapofika wakati wa wastaafu kufuatilia mafao yao. Wanawafanya kama watoto wadogo, wanawadhalilisha na kuwapa lugha za kijeuri sana wakati wakitafuta haki zao. Hakuna maelezo au utaratibu unaoeleweka wa jinsi ya kupata na kujua mahesabu yanavyopigwa hadi kukupatia mafao yako

NSSF Mungu anawaona
Kama kweli vile! Iliafaa kabisa wabadilishwe wote wote wote kabisa!
 
Niliwaambia wakati mnashangilia 23.3% muangalie vilevile mkupuo wa 33%.Nilichotahadharisha subiri atakayestaafuu 1st July 22 atatoa majibu.Kwa waliokuwa PPF au NSSF tangu zamani hawana tatizo ila waliokuwa mifuko mingine wataelewa maana ya 30% mkupuo baada hiyo 1st july.
Tehe tehe!
 
We sjui unalazimisha kutumia ubongo upi.
Iko hivi,
Unalipwa special lumpsam 33 unaona ni kubwa.
Ila monthly pension inapungua.
Bahati mbaya hyo lumpsam umpate Bi Aisha zikiisha wafwa maana ile monthly itakua kiduchu.

Ni bora upate 25 theni hyo 75 upate monthly

Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
Hapana monthly inapungua kidogo na lumpsum inaongezeka
 
Dogo acha matusi toa hoja.
Alisema liangaliwe upya baada ya wadau kuligomea na alitoa miaka 5. Sasa kama bado miaka 5 kufika unamlaumu vipi?
Maana yake kikotoo bado hakijaanza kufanyiwa kazi.

Basi umeliwa na wajanja tu.
Haupo Tanzania nini?
 
Hivi mnavyoandika comment kama hizi huwa mnafikiria kweli nyie motiveni supika? Kila mtu akiacha kazi akaenda kwenye kilimo na biashara, watoto shuleni watafundishwa na nani?, wagonjwa mahospitali watatibiwa na nani?
Watu wamekariri, ni kuwasamehe tu
 
Back
Top Bottom