DOKEZO Kapuya Sekondari ipunguze viboko hali ni mbaya

DOKEZO Kapuya Sekondari ipunguze viboko hali ni mbaya

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Uyui

Member
Joined
Nov 11, 2022
Posts
24
Reaction score
20
Wizara iangalie upya mtindo wa viboko mashuleni, waalimu wamekuwa wanapiga viboko mashuleni mpaka basi.

Kuna shule moja ipo Kaliua inaitwa Kapuya Sekondari, ina piga viboko balaaa. Mwanangu jana kaja kapigwa viboko 48 yuko hoi tena ni form one, anajengewa mazingira ya hofu ili aache shule kosa 1, viboko 10 na kuendelea hii aikubaliki.

DED, DAS, DSEO, DAO, REO Mr Kaponda wako kimya, ina maaana mpaka mtoto afe ndio zichukuliwe hatua? Mkuu wa shule yupo Alikemei hili mpaka mwanafunzi afie shule?

TAMISEMI NA WIZARA YA ELIMU INGILIENI HILI.
 
Wewe ni mzazi mjuaji,viboko 48 hata ng'ombe lazima akufe.Juzi nikuwa halmashauri nikakutana na mzazi mjuaji kama wewe ,yeye analalamikia kuwa walimu wamefukuza binti yake,afisa elimu kupiga simu kwa mkuu wa shule kambiwa mambo tofauti na wala hakuna taarifa za mtoto kufukuzwa shule.

Ninyi wazazi wapuuzi sana,hivi kwa karne hii kuna mwalimu anapenda kupiga piga vitoto vyenu eti!!?
 
Acha mtoto achapwe akili ije

Hawa vijana wengi hawana maadili kupelekea mpaka kuingiliana kinyume cha maumbile (sio huyo wa kwako)
Sasa viboko 49 acha viendelee umesema viboko hujasema kosa lake ingawa umesema moja viboko 10 si inategemeana na magnitude ya kosa. Kama je, alitaka kuchoma bweni??

Viboko vinasaidia mzazi amini hili ninalokwambia

Acha achapwe
 
Acha mtoto achapwe akili ije
Hawa vijana wengi hawana maadili kupelekea mpaka kuingiliana kinyume cha maumbile (sio huyo wa kwako)
Sasa viboko 49 acha viendelee umesema viboko hujasema kosa lake ingawa umesema moja viboko 10 si inategemeana na magnitude ya kosa. Kama je, alitaka kuchoma bweni??
Viboko vinasaidia mzazi amini hili ninalokwambia
Acha achapwe
Hata kama ana kosa viboko zaid ya 40 ni hatari kwa maisha ya mwanadamu, labda kama waalimu wa siku hizi wanavuta bange
 
Wewe ni mzazi mjuaji,viboko 48 hata ng'ombe lazima akufe.Juzi nikuwa halmashauri nikakutana na mzazi mjuaji kama wewe ,yeye analalamikia kuwa walimu wamefukuza binti yake,afisa elimu kupiga simu kwa mkuu wa shule kambiwa mambo tofauti na wala hakuna taarifa za mtoto kufukuzwa shule.


Ninyi wazazi wapuuzi sana,hivi kwa karne hii kuna mwalimu anapenda kupiga piga vitoto vyenu eti!!?
Tena nyie ambao ndio mnaanza kazi huwa mnapenda sana kuchapa chapa wanao mkuu hvyo viboko ili uone raha.
 
Mambo ya kuongeza chumvi hayo,mtoto anahimilije viboko vyote hivyo?
Hata hivyo watoto waache kutenda makosa yanayoepukika ili wasichapwechapwe hovyo.
Wazazi leeni wanenu vizuri ili wakienda mashuleni,wasilete usumbufu.
 
Mambo ya kuongeza chumvi hayo,mtoto anahimilije viboko vyote hivyo?
Hata hivyo watoto waache kutenda makosa yanayoepukika ili wasichapwechapwe hovyo.
Wazazi leeni wanenu vizuri ili wakienda mashuleni,wasilete usumbufu.
nani kakwambia kwamba mtoto akifanya usumbufu arundikiwe viboko?!
 
Acha toto lako litolewe ujinga likileta ubishi walimu pigeni tena. Inaonekana ubishi umeanzia kwa mzazi wake na uongouongo. Viboko 48 mtoto anahesabuje?
 
Wizara iangalie upya mtindo wa viboko mashuleni, waalimu wamekuwa wanapiga viboko mashuleni mpaka basi.

Kuna shule moja ipo Kaliua inaitwa Kapuya Sekondari, ina piga viboko balaaa. Mwanangu jana kaja kapigwa viboko 48 yuko hoi tena ni form one, anajengewa mazingira ya hofu ili aache shule kosa 1, viboko 10 na kuendelea hii aikubaliki.

DED, DAS, DSEO, DAO, REO Mr Kaponda wako kimya, ina maaana mpaka mtoto afe ndio zichukuliwe hatua? Mkuu wa shule yupo Alikemei hili mpaka mwanafunzi afie shule?

TAMISEMI NA WIZARA YA ELIMU INGILIENI HILI.
Juma kaponda atakuhamishia kalola sec kuwa makini jombaaa
 
Acha mtoto achapwe akili ije

Hawa vijana wengi hawana maadili kupelekea mpaka kuingiliana kinyume cha maumbile (sio huyo wa kwako)
Sasa viboko 49 acha viendelee umesema viboko hujasema kosa lake ingawa umesema moja viboko 10 si inategemeana na magnitude ya kosa. Kama je, alitaka kuchoma bweni??

Viboko vinasaidia mzazi amini hili ninalokwambia

Acha achapwe
Au alipeleka tabia za kufirania shulen kwann asipigwe

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wazazi kama hawa uarabuni hunyongwa!! Badala ya kumpongeza mwalimu unakuja jf unalialia, nenda kashtaki ikibidi!!
 
Back
Top Bottom