Uchaguzi 2020 Karagwe: DC aamuru kujengwa jukwaa lingine ili litumiwe na Waziri Mkuu, asema jukwaa la awali ambalo ni la kudumu limetiwa najisi na Tundu Lissu

Ufalme wao umegawanyika waache wahangaike
 
Matumizi mabaya ya mali za umma, in africa wanasiasa ni wajinga sana
 
kwanza unaanzaje kumlinganisha waziri Mkuu wa nchi na Lisu?! ni aibu kabisa!!
 
Lakini si ni ukweli huo,ata hivyo CCM hela ipo wacha watengeneze jukwaa jingine wapishane na pepo mchafu kigulu. Mtu anayetaka watu watoane damu ili tu apate madaraka huyo anapepo wachafu au ana jin bin laden.
 
Naomba kuuliza Waziri Mkuu anazunguka kuomba kura yeye kama nani kwenye huu Uchaguzi?
Wagombea wanaotambuliwa kitaifa ni Makamu wa Rais na Rais....huyu Majaliwa anatumia pesa za umma bila aibu aiseee
 
Izi bangi sijui uwa wanavutia wapi Hawa viumbe
 
Subiri uone kama Majaliwa atavuta umati hiyo kesho.
 


Tume ya Taifa ya Uchaguzi,

Dc anahusikaje kuandaa JUKWAA LA KAMPENI?

Taaluma yake ni ipi?

Hakuna Mainjinia huko Karagwe?

Kwa mujibu wa MAADILI YA UCHAGUZI Watumishi wa UMMA hawaruhusiwi kushiriki kwenye JUKWAA LA KAMPENI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…