Karata nzuri iliyobaki kwa Mbowe ni kufanya maridhiano na Lissu, asisubiri aibu kuu siku ya uchaguzi

Karata nzuri iliyobaki kwa Mbowe ni kufanya maridhiano na Lissu, asisubiri aibu kuu siku ya uchaguzi

Mikopo Consultant

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2024
Posts
529
Reaction score
1,150
Mbowe anazungumzia maridhiano na CCM na Samia, ila kwa hali ilivyo sasa, hiyo nguvu ya kuridhiana na CCM aitumie kuridhiana na Tundu Lissu, tena afanya hivyo walau wiki mbili kabla ya uchaguzi, na baada ya hayo maridhiano, atangaze kujitoa kugombea na kumuunga mkono Tundu Lissu.

Hiyo kwangu ndo karata nzito aliyobakiwa nayo Freeman Mbowe ambayo itampa ushindi wa kustaafu kwa heri ndani ya chama.

Kuna member mmoja JamiiForums ameweka vizuri sana kwamba, 'Huu uchaguzi wa sasa wa Chadema, ni uchaguzi mmoja ambao una chaguzi mbili ndani yake kwa wakati mmoja, kwasababu ni uchaguzi wa kumchagua mwenyekiti na pia ni uchaguzi wa kuchagua mustakabali wa Chadema.'

Public sentiment tayari inaonesha Tundu Lissu ana support nzito sana ya wapenzi na mashabiki, hivo Tundu Lissu amebeba mustakabali wa CHADEMA.

Mbowe ana uwezo wa kifedha ku force kupata kura za wajumbe kwa namna anayojua yeye, ila baada ya hapo, ategemee uwanja usio na mashabiki. Nyakati za siasa za sasa zimebadilika sana kiasi kwamba, Mbowe is irrelevant kwenye siasa za hizi nyakati. Inawezekana Mbowe ana leadership skills ila hizi siasa kwa nyakati hizi, zinamuhitaji zaidi TAL, na hichi ndicho angetakiwa kutafakari kwa kina kabla ya kuchukua fomu kwa mara ya tano.

Wakati haupo upande wa Mbowe kwa sasa
 
Suluhu itapatikana kwenye sanduku la kura na hakuna mbadala wa hilo. Kama Lissu ana hakika anaungwa mkono basi asubiri uchaguzi ufanyike.


Lissu anatakiwa ajue kuwa kama anataka kuwa mwenyekiti ni lazima ashawishi wajumbe / wapiga kura kwa hoja zenye mashiko na siyo kulalamika na kutoa tuhuma ambazo ni za kusadikika..
 
Mbowe anazungumzia maridhiano na CCM na Samia, ila kwa hali ilivyo sasa, hiyo nguvu ya kuridhiana na CCM aitumie kuridhiana na Tundu Lissu, tena afanya hivyo walau wiki mbili kabla ya uchaguzi, na baada ya hayo maridhiano, atangaze kujitoa kugombea na kumuunga mkono Tundu Lissu.

Hiyo kwangu ndo karata nzito aliyobakiwa nayo Freeman Mbowe ambayo itampa ushindi wa kustaafu kwa heri ndani ya chama.

Kuna member mmoja JamiiForums ameweka vizuri sana kwamba, 'Huu uchaguzi wa sasa wa Chadema, ni uchaguzi mmoja ambao una chaguzi mbili ndani yake kwa wakati mmoja, kwasababu ni uchaguzi wa kumchagua mwenyekiti na pia ni uchaguzi wa kuchagua mustakabali wa Chadema.'

Public sentiment tayari inaonesha Tundu Lissu ana support nzito sana ya wapenzi na mashabiki, hivo Tundu Lissu amebeba mustakabali wa CHADEMA.

Mbowe ana uwezo wa kifedha ku force kupata kura za wajumbe kwa namna anayojua yeye, ila baada ya hapo, ategemee uwanja usio na mashabiki. Nyakati za siasa za sasa zimebadilika sana kiasi kwamba, Mbowe is irrelevant kwenye siasa za hizi nyakati. Inawezekana Mbowe ana leadership skills ila hizi siasa kwa nyakati hizi, zinamuhitaji zaidi TAL, na hichi ndicho angetakiwa kutafakari kwa kina kabla ya kuchukua fomu kwa mara ya tano.

Wakati haupo upande wa Mbowe kwa sasa
Inawajua wapiga kura wa Chadema wa kumchangua Mwenyekiti Taifa? Kwa taarifa yako, Mbowe alianza kuweka watu wake tangu chaguzi za awali ndani ya chama. Lissu amekuwa kushtuka ngazi ya Kanda baada ya watu wake wote kuenguliwa! Ahahahahaha!!

Hata Workmate wangu Wenje kutangaza kugombea Umakamu Mwenyekiti ni process ile ile ya kumuondoa Lissu na watu wake. Mbowe kachanga karata zake vizuri na Lissu kaingia kwenye mfumo! Ahahahahaha!!

Baada ya uchaguzi, kuna watu watajifanya wamejitoa Chadema na maneno kibao, lakini chama kitabaki kama TLP, CUF, CCM, CHAUMA na vinginevyo ila Lissu atakuwa kwishne labda aanzishe chama chake!!!
 
Kuna member mmoja JamiiForums ameweka vizuri sana kwamba, 'Huu uchaguzi wa sasa wa Chadema, ni uchaguzi mmoja ambao una chaguzi mbili ndani yake kwa wakati mmoja, kwasababu ni uchaguzi wa kumchagua mwenyekiti na pia ni uchaguzi wa kuchagua mustakabali wa Chadema.'
Huu ndio ukweli wenyewe, na wajumbe watakaokuwa na jukumu la kufanya kazi hii bila shaka wanao uelewa huu vizuri vichwani mwao na siyo kwenye matumbo yao.
 
Inawajua wapiga kura wa Chadema wa kumchangua Mwenyekiti Taifa? Kwa taarifa yako, Mbowe alianza kuweka watu wake tangu chaguzi za awali ndani ya chama. Lissu amekuwa kushtuka ngazi ya Kanda baada ya watu wake wote kuenguliwa! Ahahahahaha!!

Hata Workmate wangu Wenje kutangaza kugombea Umakamu Mwenyekiti ni process ile ile ya kumuondoa Lissu na watu wake. Mbowe kachanga karata zake vizuri na Lissu kaingia kwenye mfumo! Ahahahahaha!!

Baada ya uchaguzi, kuna watu watajifanya wamejitoa Chadema na maneno kibao, lakini chama kitabaki kama TLP, CUF, CCM, CHAUMA na vinginevyo ila Lissu atakuwa kwishne labda aanzishe chama chake!!!
Trust me akishinda Mbowe zaidi ya 50% ya wana chadema wataacha kupiga kura wala kushiriki mikutano. Mtu anayeweza leta amsha amsha mpya kwa upinzani ni Lissu pekee. Hili mbona liko wazi sijui kwanini nyie mashabiki wa Mbowe hamuoni.

Same to Lipumba ilikua wasi Seif alikua ana ushawishi zaidi ila akalazimisha sasa CUF imekufa kapata nini? Ona Mbatia na NCCR? Mbowe akilazimisha basi ajue atakataliwa wazi wazi hadi apinduliwe.
 
Mbowe anazungumzia maridhiano na CCM na Samia, ila kwa hali ilivyo sasa, hiyo nguvu ya kuridhiana na CCM aitumie kuridhiana na Tundu Lissu, tena afanya hivyo walau wiki mbili kabla ya uchaguzi, na baada ya hayo maridhiano, atangaze kujitoa kugombea na kumuunga mkono Tundu Lissu.

Hiyo kwangu ndo karata nzito aliyobakiwa nayo Freeman Mbowe ambayo itampa ushindi wa kustaafu kwa heri ndani ya chama.

Kuna member mmoja JamiiForums ameweka vizuri sana kwamba, 'Huu uchaguzi wa sasa wa Chadema, ni uchaguzi mmoja ambao una chaguzi mbili ndani yake kwa wakati mmoja, kwasababu ni uchaguzi wa kumchagua mwenyekiti na pia ni uchaguzi wa kuchagua mustakabali wa Chadema.'

Public sentiment tayari inaonesha Tundu Lissu ana support nzito sana ya wapenzi na mashabiki, hivo Tundu Lissu amebeba mustakabali wa CHADEMA.

Mbowe ana uwezo wa kifedha ku force kupata kura za wajumbe kwa namna anayojua yeye, ila baada ya hapo, ategemee uwanja usio na mashabiki. Nyakati za siasa za sasa zimebadilika sana kiasi kwamba, Mbowe is irrelevant kwenye siasa za hizi nyakati. Inawezekana Mbowe ana leadership skills ila hizi siasa kwa nyakati hizi, zinamuhitaji zaidi TAL, na hichi ndicho angetakiwa kutafakari kwa kina kabla ya kuchukua fomu kwa mara ya tano.

Wakati haupo upande wa Mbowe kwa sasa
🌤️🙋‍♂️✍️🎯👌👍👏👊🤝🙏
 
Suluhu itapatikana kwenye sanduku la kura na hakuna mbadala wa hilo. Kama Lissu ana hakika anaungwa mkono basi asubiri uchaguzi ufanyike.


Lissu anatakiwa ajue kuwa kama anataka kuwa mwenyekiti ni lazima ashawishi wajumbe / wapiga kura kwa hoja zenye mashiko na siyo kulalamika na kutoa tuhuma ambazo ni za kusadikika..
Ni hivi, ni kipi Tundu Lisu anataka kufanya ndani ya cdm akiwa mwenyekiti ameshakisema, ni juu ya wajumbe kuamua watakavyo, lakini kwa mahitaji ya wakati Tundu Lisu ndio sahihi. Nyie wajumbe mpeni Mbowe ni haki yenu, lakini akishinda Mbowe cdm itakuwa kama TLP. Hakuna kitu kobaya kama kupambana na wakati.
 
Trust me akishinda Mbowe zaidi ya 50% ya wana chadema wataacha kupiga kura wala kushiriki mikutano. Mtu anayeweza leta amsha amsha mpya kwa upinzani ni Lissu pekee. Hili mbona liko wazi sijui kwanini nyie mashabiki wa Mbowe hamuoni.

Same to Lipumba ilikua wasi Seif alikua ana ushawishi zaidi ila akalazimisha sasa CUF imekufa kapata nini? Ona Mbatia na NCCR? Mbowe akilazimisha basi ajue atakataliwa wazi wazi hadi apinduliwe.
Sahihi kabisa, ni kama Mbowe kashindwa kusoma alama za nyakati, na kwa bahati cdm ndio chama chenye wafuasi wengi wapenda mabadiliko. Kitendo cha Mbowe kuwa mwenyekiti tena kwa njia ya hongo ndio kitaenda kuimaliza cdm.
 
Trust me akishinda Mbowe zaidi ya 50% ya wana chadema wataacha kupiga kura wala kushiriki mikutano. Mtu anayeweza leta amsha amsha mpya kwa upinzani ni Lissu pekee. Hili mbona liko wazi sijui kwanini nyie mashabiki wa Mbowe hamuoni.

Same to Lipumba ilikua wasi Seif alikua ana ushawishi zaidi ila akalazimisha sasa CUF imekufa kapata nini? Ona Mbatia na NCCR? Mbowe akilazimisha basi ajue atakataliwa wazi wazi hadi apinduliwe.
Una uhakika hakuna wataojiunga wengine?
 
Una uhakika hakuna wataojiunga wengine?
Wajiunge kwa Mbowe? Haupo serious kabisa. Vijana wengi wanakimbilia CCM sababu wanajua kupata uongozi au teuzi ni mteremko kuliko upinzani maana hauna assurance. Sasa hii perception sio nzuri inahitaji tubadili upepo ili vijana wakimbilie chadema kama enzi zile za 2009-13 ambapo kadi za chadema ziligombaniwa kila kona.

Na mtu pekee kuwezesha hilo ni Tundu Lissu.
 
Back
Top Bottom