Kinjeketile
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 999
- 1,683
Kweli mnajua kutegeneza ndiyo maana Wabelgiji wamemtengeneza Msaliti Lissu.
Weka za kwako ulizopiga tuone.Nimenyoosha mikono mnajua kuedit picha. Nilikuwepo Karatu hakuna watu wengi hivyo! Kweli Magufuli ameshashinda anasubiri kuapishwa. Karatu nilikuwepo hakuna watu kama hao wewe muongo mkubwa!
karatu umeenda kufanya nini wewe kunguniLeo nimeamini kumbe picha mnategeneza! Nilikuwepo Karatu hakuna umati wa watu kama hawa sanasana kulikuwa na waendesha pikipiki wanapita mitaani kweli nyinyi ni kiboko kwa kuedit picha. Nilikuwa nasikia tu kuwa huwa mnatengeneza picha leo nimehakikisha mwenyewe!
Nimeona msafara wa Tundu Lissu akisindikizwa na police jioni hii kutoka karatu kwenda Moshi aisee.
Speed ya magari ni kubwa mno naomba Rais wetu mtarajiwa usalama wake uangaliwe kwa umakini.
Wasije kumtengenezea ajali maana maadui ni wengi mno na walishamtishia kwenye simu Kumfanyia kitu kibaya kingine.
Rais wetu ashauriwe vizuri wanaotembea naye magari yapunguze mwendo maana mwendo unakuwa mkali mno.
Usalama wa Rais unakuwa mdogo Sana nashauri uangaliwe utaratibu mzuri wa yeye kuwai anakoenda usalama ni muhimu kuliko kitu chochote.
Picha za Slaa 2010!! Ha ha haaaaaa, mwenyekiti wa CCM hana aibu!Karatu imesimama muda huu na habari ni Tundu Lissu
Picha: Mgombea urais wa Jamhuri ya muungano kupitia CHADEMA akipita Karatu kuelekea wilayani Hai ambapo atakuwa na mkutano wa kampeni kesho. Umati mkubwa wa watu unejitokeza barababrani kumsalimu huku akitarajiwa kurejea Karatu siku za baadaye kwa mkutano wa kampeni.
View attachment 1584481
View attachment 1584489
View attachment 1584502
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ukiona mnavyojifaragua humu unaishia kucheka tu,Weka hapa hayo manyomi. Hapo wala hatoi hotuba bali anaenda zake Hai kwa kimbunga kingine.
Wewe umeanza kufuatilia siasa baada ya Lisu kutoka ubelgiji.Moto wa LISSU mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA hauximiki!!
Kuna mjinga mmoja toka nzi wa KIJANI anayefikiri Polepole Sana anakiita ati Chama Cha Mbowe!!!
Pambaf....!!
Hata wewe umeanza kufuatilia siasa baada ya Lisu kutoka ubelgijiView attachment 1584816Wana JF wenzangu wakubwa kwa wadogo, kuna kitu kinaitwa Environmental research, utafiti wa kimazingira. Watu wanaoishi na makada wa ccm wamethibitisha hali hii ambayo haijawahi kutokea ndani ya chama cha mapinduzi, kuwa takribani kila kada wa ccm ndani ya dakika tano anamfikiria Tundu Lissu eidha kwa mabaya au mema.
Hakuna hata kada yoyote wa ccm ambaye ameweza kukaa kwa muda mrefu bila kumuwazi Tundu Lissu. Mjomba wangu ambaye ni kada maarufu na mfia ccm amedai kuwa Tundu Lissu anamsababishia presha maana akimuwazia tu moyo unashituka, hivyo anamkosesha raha maana ana wasi wasi na jinsi anavyoungwa mkono na watu wengi. Mbaya zaidi ni pale anapoona baadhi ya makada wenzake kumuongelea vizuri kwamba Tundu Lissu ni msafi na ndiye anayemkabili Mh. Magu vilivyo.
Baba yangu mdogo yeye ni kada mtiifu wa CCM lakini wanatofautiana sana na mjomba wangu kwa kumuwaza Lissu kila mara kama mkombozi na mwenye uthubutu wa kumsema Mh.Magu bila kuogopa, maana baba mdogo anasema kuwa Magu anafanya kazi vizuri lakini ana kauli na kiburi cha kufikiri yeye ndio mtanzania anayejua mambo yote kuliko wengine na mwenye uchungu kuliko wote kitu ambacho anasema siyo kweli. Jambo lingine baba mdogo anasema ndani ya ccm wapo watu wengi ambao wanampenda Lissu kwa sababu hana tuhuma halafu amekuwa akitetea rasilimali na wananchi siku zote. Utafiti wa kimazingira umeonyesha makada wa ccm wanamuwazia Lissu sana kila baada ya 1-5 hadi tano lazima wafanye hivyo.
Hitimisho ni kwamba hakuna aliyetarajia ndani ya chama cha mapinduzi kama angetokea mtu yeyote katika uchaguzi huu ambaye angeweza kuleta changamoto kama Lissu anavyofanya leo. Kila mmoja alitarajia kuwa ccm isingeweza kutumia nguvu kubwa kunadi mgombea wao, ila mambo yamekuwa tofauti na matarajio. Hali ilivyo sasa inatisha maana kuna wasi wasi kwamba Lissu anaweza kuchukua nchi ndio maana imeanza kutumika nguvu kubwa ya vyombo vya dola na tume ya uchaguzi. Kumbuka mwanzoni mwa kampeni, mgombea wa Urais ccm alidai picha za mafuriko ya Lissu ni za 2015, makada wengine wakasema ni zakuedit, leo wanadai wanaofurika kwa Lissu siyo wapiga kura maana hawajaandikishwa. Lissu makada wa ccm wanakuwaza sana.
Lisu bado mtoto mdogo sana yuleWapi John Joseph Pombe Magufuli?
Kesha ziona hizi picha? Ajue ya kwamba tarehe 28 Okt, 2020 asbh na mapema atakuwa ameiaga Ikulu[emoji3577][emoji3577]
Slaa wa 2010 huyu hapa. Tazama kisha niambie huyo Lisu wako anaingia mara ngapi hapo? View attachment 1584828Picha za Slaa 2010!! Ha ha haaaaaa, mwenyekiti wa CCM hana aibu!
Mtaelewa tu!Hahahha.. Bavicha vichwa ngumu
Yes huyo ndo Rais,anapiga kotekote field na mitandaoni.Rais wa jamii forum,twitter,Facebook,instra
Uchakataji wako wa taarifa una mushkeriAkipewa eskoti kosa asipopewa napo kosa