Jane usiwe JUHA, kuna nini hapo cha kuchakachua. Make a release of yourself, relax, otherwise you are going to suffer a heart attack!Jaribu kuzoom hiyo picha ya kwanza muelewe nini maana ya kuchakachua. Tafadhali naomba mzoom
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jane usiwe JUHA, kuna nini hapo cha kuchakachua. Make a release of yourself, relax, otherwise you are going to suffer a heart attack!Jaribu kuzoom hiyo picha ya kwanza muelewe nini maana ya kuchakachua. Tafadhali naomba mzoom
Lissu asimamishwe kupiga kampeni zake , hii si sawaKaratu imesimama muda huu na habari ni Tundu Lissu
View attachment 1584481
View attachment 1584489
View attachment 1584502
Karibu sana mkuuLeo lissu kashindwa kufanya mikutano Arusha na Hai mmeamua kuja na picha ya kuchakachua
Yupo njiani anaelekea Hai. Mitego ya jana tumeipangua kwa ustadi mkubwa.Leo lissu kashindwa kufanya mikutano Arusha na Hai mmeamua kuja na picha ya kuchakachua
Asanteni jamaniYupo njiani anaelekea Hai. Mitego ya jana tumeipangua kwa ustadi mkubwa.
Jane usiwe JUHA, kuna nini hapo cha kuchakachua. Make a release of yourself, relax, otherwise you are going to suffer a heart attack!
why bother what's not yours.Jaribu kuzoom hiyo picha ya kwanza muelewe nini maana ya kuchakachua. Tafadhali naomba mzoom
Chadema acheni kusomba watu kwenye maroli ili muudanganye umma wa watanzania.Karatu imesimama muda huu na habari ni Tundu Lissu
Picha: Mgombea urais wa Jamhuri ya muungano kupitia CHADEMA akipita Karatu kuelekea wilayani Hai ambapo atakuwa na mkutano wa kampeni kesho. Umati mkubwa wa watu unejitokeza barababrani kumsalimu huku akitarajiwa kurejea Karatu siku za baadaye kwa mkutano wa kampeni.
View attachment 1584481
View attachment 1584489
View attachment 1584502
Hawezi kusuffer heart attack ,kama ww ambaye huna ufahamu wa mathematics. Katika watu waliohudhuria ni1.Wangapi watapiga kura?2.Wangapi wamejiandikisha?3.Wangapi ,watapigia cdm?Kuwa na mahesabu mkononi,kwa kuwa hizi no issue za hesabu tu.Kama ulisoma history ndio matatizo ya kudai wot e no wapiga kura was cdm.Jane usiwe JUHA, kuna nini hapo cha kuchakachua. Make a release of yourself, relax, otherwise you are going to suffer a heart attack!
Tulia wewe. Humo ndani tunaelewa kila kituNingekuwa chadema ningewashauri nguvu zao wazielekeze Karatu, Musoma, iringa ,Mbeya labda na Arusha wakitaimu kabla Lema hajachukua mzigo kwani ameshaanza kulegea na kuuza jimbo kwake sio shida na hata hivyo watu wameshamchoka